Good-bye
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 1,085
- 1,812
Kabisa kabisamaigizo yamezidi uhalisia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa kabisamaigizo yamezidi uhalisia
hakuna anayekubali kuwa yeye!Kabisa kabisa
inategemeana na mazingiraHao wote ni makopo,sasa kadi ya bank mwanaume unashindwaje kutembea nayo
hUyo mwanamke alikuwa na mpango muda mrefu 1.5 siyo ya kumtorosha
inategemeana na mazingira
Kweli kabisaHaku
Mazingira gani yanayofanya wewe mwanaume ushindwe kutembea na card yako ya benki kisha mwanamke wako aweze?
Huyo jamaa ndio walewale wa kusajili mshahara uingie kwa wake zao, kisha wake zao ndio wapange matumizi, SIMPS.
Nyie ndio mnatuogopesha. Sasa cheki huyo kakimbia na hela ya mumeweIla tuwe wawaz hali ya kimahusiano yaogopesha sana sikuhiz
Mkuu unayafahamu maisha ya watanzania walio wengi. Hiyo siyo Hela ya kuidharau. MKUU. Ni Hela nyingi sana Kwa walipa Kodi wanyonge.Kweli naye huyo dada njaa sasa milion 1.5 itamfikisha wapi si baada ya week 2 hana kitu na ndoa hana na polisi wako on her trail.
Maana akisema apange chumba anunue na.godoro ishaanza katika
kumpa kadi aipeleke nyumbani sio kosa, kosa ni mwanamke kujua namba ya siri!Haku
Mazingira gani yanayofanya wewe mwanaume ushindwe kutembea na card yako ya benki kisha mwanamke wako aweze?
Huyo jamaa ndio walewale wa kusajili mshahara uingie kwa wake zao, kisha wake zao ndio wapange matumizi, SIMPS.
Kwamba Card ni nzito kiasi kwamba inatakiwa ipelekwe nyumbani huku wewe ukielekea sehemu nyingine?kumpa kadi aipeleke nyumbani sio kosa, kosa ni mwanamke kujua namba ya siri!
Hao sio tu kuwaamini hata kuwa nao kwenye mahusiano ni mkosiSiyo singlemom huyo? Maana humu singlemom ndo wenye changamoto
Sasa milioni na nusu ni hela ya kukufanya ukimbie familia kweliKwema Humu?
Kama kichwa Cha Habari Kiinavyosema Aisee Hawa Wanawake kamwe usije kuwaamini kabisa Nina Jamaa yangu yamemkuta mambo mazito.
Jamaa Alimuoa Huyu binti mrembo miaka 4 iliyopita Baada ya hapo maisha mengine yakaendelea.
Sasa juzi kaja kupigwa tukio na Huyu binti Aliyemuoa Ni Hivi Walienda bank kutoa Pesa walivyomaliza Jamaa akampa Pesa ya matumiz mkewe Akampa na ATM card akamwambia arudi nayo nyumbani Yeye anaelekea kwenye mishe zake Wakaagana Kila mtu akasepa.
Kumbe mkewe hakurudi nyumbani akaenda Bank kwenye tawi jingine kabisa Akatoa Pesa Kama 1.5m (Namba za Siri za Akaunti ya mmewe alikua Anazijua) akasepa zake na kutokomea kusikojulikana.
kwa Sasa Mwanamke hajulikani alipo kwa ndugu zake hayupo Simu zake hazipatikani Jamaa Bado Anamtafuta mkewe tayari Ameenda kuripoti polisi na Amechukua RB.
Mwisho: Mwanamke pekee wa kumuamini Ni Mama yako tu
🤣🤣🤣☹️hakuna anayekubali kuwa yeye!
Kadri siku zinavyosogea sura halisi inaanza kuja, mpaka hapo mahusiano yenu yanakuwa yanapumulia mashine