Good-bye
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 1,085
- 1,812
Asante sanaHao sio tu kuwaamini hata kuwa nao kwenye mahusiano ni mkosi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sanaHao sio tu kuwaamini hata kuwa nao kwenye mahusiano ni mkosi
Pia usimwamini mwanamme na binadamu kadhalikaKwema Humu?
Kama kichwa Cha Habari Kiinavyosema Aisee Hawa Wanawake kamwe usije kuwaamini kabisa Nina Jamaa yangu yamemkuta mambo mazito.
Jamaa Alimuoa Huyu binti mrembo miaka 4 iliyopita Baada ya hapo maisha mengine yakaendelea.
Sasa juzi kaja kupigwa tukio na Huyu binti Aliyemuoa Ni Hivi Walienda bank kutoa Pesa walivyomaliza Jamaa akampa Pesa ya matumiz mkewe Akampa na ATM card akamwambia arudi nayo nyumbani Yeye anaelekea kwenye mishe zake Wakaagana Kila mtu akasepa.
Kumbe mkewe hakurudi nyumbani akaenda Bank kwenye tawi jingine kabisa Akatoa Pesa Kama 1.5m (Namba za Siri za Akaunti ya mmewe alikua Anazijua) akasepa zake na kutokomea kusikojulikana.
kwa Sasa Mwanamke hajulikani alipo kwa ndugu zake hayupo Simu zake hazipatikani Jamaa Bado Anamtafuta mkewe tayari Ameenda kuripoti polisi na Amechukua RB.
Mwisho: Mwanamke pekee wa kumuamini Ni Mama yako tu
Kwa nini unasema hivyoKuna mwamba anajiita mzabzab atakuja na thread nimeokota embedodo chini ya mnazi kumbe kaokota jambaz🤣
Hatari kabisa kaa nao mbaliHao sio tu kuwaamini hata kuwa nao kwenye mahusiano ni mkosi
Mhm singlemom wanavyojua kugawa gawaTafuta singelmom aliyechoka na maisha weka ndani huku ukimjali mwanae, hao wengine (chuchu saa 6) waishie kua michepuko tu, utakuja kunshukuru badae
Tulia dawa iwakolee, waache waongee negatively tu 🤣🤣Mke wangu namuachia 240m anaitunza na nakula kila kitu kipo sawa. Siyo fahari kila siku kuwa na mada za kuwadunisha wanawake. Ni mama zetu hawa mbali na kuwa wake zetu. Tusitunge tuu vistori vya kuvutia audience tupate comments bali tujifunze kupanda mbegu njema. Huu mwenendo unahamasisha ubaya na hatimaye ukatili dhidi ya wanawake.
Kumbuka pia mama yako ni mwanamke wa mtu pia.Kwema Humu?
Mwisho: Mwanamke pekee wa kumuamini Ni Mama yako tu
Eti nashangaa,Kaiba Tsh 1.5m , huyo mwanamke siyo mrembo, mke unamwachia mpak ,40Million , mnaishi fresh tuu
Kwani mama yako ni mwanaume nawe ni mwanaume?Kwema Humu?
Kama kichwa Cha Habari Kiinavyosema Aisee Hawa Wanawake kamwe usije kuwaamini kabisa Nina Jamaa yangu yamemkuta mambo mazito.
Jamaa Alimuoa Huyu binti mrembo miaka 4 iliyopita Baada ya hapo maisha mengine yakaendelea.
Sasa juzi kaja kupigwa tukio na Huyu binti Aliyemuoa Ni Hivi Walienda bank kutoa Pesa walivyomaliza Jamaa akampa Pesa ya matumiz mkewe Akampa na ATM card akamwambia arudi nayo nyumbani Yeye anaelekea kwenye mishe zake Wakaagana Kila mtu akasepa.
Kumbe mkewe hakurudi nyumbani akaenda Bank kwenye tawi jingine kabisa Akatoa Pesa Kama 1.5m (Namba za Siri za Akaunti ya mmewe alikua Anazijua) akasepa zake na kutokomea kusikojulikana.
kwa Sasa Mwanamke hajulikani alipo kwa ndugu zake hayupo Simu zake hazipatikani Jamaa Bado Anamtafuta mkewe tayari Ameenda kuripoti polisi na Amechukua RB.
Mwisho: Mwanamke pekee wa kumuamini Ni Mama yako tu
Nimekuja boss nambieMjep njoo nikuambie kitu.
Nilikumiss tu mlongo.Nimekuja boss nambie
Asante mlongoNilikumiss tu mlongo.