Kamwe Usimuamini Mwanamke

Kamwe Usimuamini Mwanamke

Kwema Humu?

Kama kichwa Cha Habari Kiinavyosema Aisee Hawa Wanawake kamwe usije kuwaamini kabisa Nina Jamaa yangu yamemkuta mambo mazito.

Jamaa Alimuoa Huyu binti mrembo miaka 4 iliyopita Baada ya hapo maisha mengine yakaendelea.

Sasa juzi kaja kupigwa tukio na Huyu binti Aliyemuoa Ni Hivi Walienda bank kutoa Pesa walivyomaliza Jamaa akampa Pesa ya matumiz mkewe Akampa na ATM card akamwambia arudi nayo nyumbani Yeye anaelekea kwenye mishe zake Wakaagana Kila mtu akasepa.

Kumbe mkewe hakurudi nyumbani akaenda Bank kwenye tawi jingine kabisa Akatoa Pesa Kama 1.5m (Namba za Siri za Akaunti ya mmewe alikua Anazijua) akasepa zake na kutokomea kusikojulikana.

kwa Sasa Mwanamke hajulikani alipo kwa ndugu zake hayupo Simu zake hazipatikani Jamaa Bado Anamtafuta mkewe tayari Ameenda kuripoti polisi na Amechukua RB.


Mwisho: Mwanamke pekee wa kumuamini Ni Mama yako tu
Pia usimwamini mwanamme na binadamu kadhalika
 
Mke wangu namuachia 240m anaitunza na nakula kila kitu kipo sawa. Siyo fahari kila siku kuwa na mada za kuwadunisha wanawake. Ni mama zetu hawa mbali na kuwa wake zetu. Tusitunge tuu vistori vya kuvutia audience tupate comments bali tujifunze kupanda mbegu njema. Huu mwenendo unahamasisha ubaya na hatimaye ukatili dhidi ya wanawake.
 
Mke wangu namuachia 240m anaitunza na nakula kila kitu kipo sawa. Siyo fahari kila siku kuwa na mada za kuwadunisha wanawake. Ni mama zetu hawa mbali na kuwa wake zetu. Tusitunge tuu vistori vya kuvutia audience tupate comments bali tujifunze kupanda mbegu njema. Huu mwenendo unahamasisha ubaya na hatimaye ukatili dhidi ya wanawake.
Tulia dawa iwakolee, waache waongee negatively tu 🤣🤣
 
Huwezi kukaa na mwanamke miaka 4 kwa uzuri kabisa ,ukitimiza mahitaji yako ka isemavyo biblia ,then akuibie 1.5 ,mwanaume ndio tatizo na amepata alichostahili! Wanawake ninwavumilivu sana Kama kaamua kumuibia something is wrong somewhere.

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Kwema Humu?

Kama kichwa Cha Habari Kiinavyosema Aisee Hawa Wanawake kamwe usije kuwaamini kabisa Nina Jamaa yangu yamemkuta mambo mazito.

Jamaa Alimuoa Huyu binti mrembo miaka 4 iliyopita Baada ya hapo maisha mengine yakaendelea.

Sasa juzi kaja kupigwa tukio na Huyu binti Aliyemuoa Ni Hivi Walienda bank kutoa Pesa walivyomaliza Jamaa akampa Pesa ya matumiz mkewe Akampa na ATM card akamwambia arudi nayo nyumbani Yeye anaelekea kwenye mishe zake Wakaagana Kila mtu akasepa.

Kumbe mkewe hakurudi nyumbani akaenda Bank kwenye tawi jingine kabisa Akatoa Pesa Kama 1.5m (Namba za Siri za Akaunti ya mmewe alikua Anazijua) akasepa zake na kutokomea kusikojulikana.

kwa Sasa Mwanamke hajulikani alipo kwa ndugu zake hayupo Simu zake hazipatikani Jamaa Bado Anamtafuta mkewe tayari Ameenda kuripoti polisi na Amechukua RB.


Mwisho: Mwanamke pekee wa kumuamini Ni Mama yako tu
Kwani mama yako ni mwanaume nawe ni mwanaume?
 
Back
Top Bottom