Kamwe Usimuamini Mwanamke

Kamwe Usimuamini Mwanamke

ATM Card mwisho 1m kwa siku ilikuwaje hapo ?? Au hii ni bingo movie ?
Inategenea , benki au aina ya kadi , Crdb kwa mfano kadi yoyote daily limit ni 2mil .kuna kadi zinatoa 5 mil na kuna hadi zinazotoa 25 mil
Black or silver atm cards ni dalili ya ukwasi kwenye akaunti hapewi kila mtu
 
1.5 kwa akili hizo za kijinga hapa saa hii hela haipo tena.

Atarudi kusema ni shetani tu.
 
Kwema Humu?

Kama kichwa Cha Habari Kiinavyosema Aisee Hawa Wanawake kamwe usije kuwaamini kabisa Nina Jamaa yangu yamemkuta mambo mazito.

Jamaa Alimuoa Huyu binti mrembo miaka 4 iliyopita Baada ya hapo maisha mengine yakaendelea.

Sasa juzi kaja kupigwa tukio na Huyu binti Aliyemuoa Ni Hivi Walienda bank kutoa Pesa walivyomaliza Jamaa akampa Pesa ya matumiz mkewe Akampa na ATM card akamwambia arudi nayo nyumbani Yeye anaelekea kwenye mishe zake Wakaagana Kila mtu akasepa.

Kumbe mkewe hakurudi nyumbani akaenda Bank kwenye tawi jingine kabisa Akatoa Pesa Kama 1.5m (Namba za Siri za Akaunti ya mmewe alikua Anazijua) akasepa zake na kutokomea kusikojulikana.

kwa Sasa Mwanamke hajulikani alipo kwa ndugu zake hayupo Simu zake hazipatikani Jamaa Bado Anamtafuta mkewe tayari Ameenda kuripoti polisi na Amechukua RB.


Mwisho: Mwanamke pekee wa kumuamini Ni Mama yako tu
Hivi kumbe unaweza ku-withdraw zaidi ya mil 1.5 kwa ATM kwa siku moja?
 
Kwema Humu?

Kama kichwa Cha Habari Kiinavyosema Aisee Hawa Wanawake kamwe usije kuwaamini kabisa Nina Jamaa yangu yamemkuta mambo mazito.

Jamaa Alimuoa Huyu binti mrembo miaka 4 iliyopita Baada ya hapo maisha mengine yakaendelea.

Sasa juzi kaja kupigwa tukio na Huyu binti Aliyemuoa Ni Hivi Walienda bank kutoa Pesa walivyomaliza Jamaa akampa Pesa ya matumiz mkewe Akampa na ATM card akamwambia arudi nayo nyumbani Yeye anaelekea kwenye mishe zake Wakaagana Kila mtu akasepa.

Kumbe mkewe hakurudi nyumbani akaenda Bank kwenye tawi jingine kabisa Akatoa Pesa Kama 1.5m (Namba za Siri za Akaunti ya mmewe alikua Anazijua) akasepa zake na kutokomea kusikojulikana.

kwa Sasa Mwanamke hajulikani alipo kwa ndugu zake hayupo Simu zake hazipatikani Jamaa Bado Anamtafuta mkewe tayari Ameenda kuripoti polisi na Amechukua RB.


Mwisho: Mwanamke pekee wa kumuamini Ni Mama yako tu
.


Kama kuna mwanamke anayeweza kutelekeza ndoa kaa 1.5m siwezi laumu mwanamke, hakukuwa na ndoa hapo, tupe fursa ya kusikia upande wa pili kabla ya kukubaliana kulaani mwanamke wa watu.
 
Km anamfahamu aliyemnyang'anya huyo mwanamke amfuatilie huyo jmaa ni asili hyo imerudi mahala pake baada ya kuambiwa tunaweza kuanza maisha yetu tukiwa na hyo hela
 
Hapa ni sawa na kusema tusinunue magari sababu kuna jamaa yako kaibiwa masega na fundi wake anayemuamini.
 
Kwema Humu?

Kama kichwa Cha Habari Kiinavyosema Aisee Hawa Wanawake kamwe usije kuwaamini kabisa Nina Jamaa yangu yamemkuta mambo mazito.

Jamaa Alimuoa Huyu binti mrembo miaka 4 iliyopita Baada ya hapo maisha mengine yakaendelea.

Sasa juzi kaja kupigwa tukio na Huyu binti Aliyemuoa Ni Hivi Walienda bank kutoa Pesa walivyomaliza Jamaa akampa Pesa ya matumiz mkewe Akampa na ATM card akamwambia arudi nayo nyumbani Yeye anaelekea kwenye mishe zake Wakaagana Kila mtu akasepa.

Kumbe mkewe hakurudi nyumbani akaenda Bank kwenye tawi jingine kabisa Akatoa Pesa Kama 1.5m (Namba za Siri za Akaunti ya mmewe alikua Anazijua) akasepa zake na kutokomea kusikojulikana.

kwa Sasa Mwanamke hajulikani alipo kwa ndugu zake hayupo Simu zake hazipatikani Jamaa Bado Anamtafuta mkewe tayari Ameenda kuripoti polisi na Amechukua RB.


Mwisho: Mwanamke pekee wa kumuamini Ni Mama yako tu
Akili za ngo ya mbowe chadema buana, ingekuwa enzi za Dkt Magufuli mgesema katekwa na watu wasiojulikana. Je kama katekwa???
 
1.5 kwenye ATM na hapo Kuna nyingine walishatoa Bank ipi hii!
1.5 atokomee kusijojulikana! Huyu hakuwa mke bora ameenda maana 1.5 ni pesa ndogo sana labda kama alikuwa na sababu akawa anatafuta Nauli ambayo hata Kenya haimfukishi😀
 
Kwema Humu?

Kama kichwa Cha Habari Kiinavyosema Aisee Hawa Wanawake kamwe usije kuwaamini kabisa Nina Jamaa yangu yamemkuta mambo mazito.

Jamaa Alimuoa Huyu binti mrembo miaka 4 iliyopita Baada ya hapo maisha mengine yakaendelea.

Sasa juzi kaja kupigwa tukio na Huyu binti Aliyemuoa Ni Hivi Walienda bank kutoa Pesa walivyomaliza Jamaa akampa Pesa ya matumiz mkewe Akampa na ATM card akamwambia arudi nayo nyumbani Yeye anaelekea kwenye mishe zake Wakaagana Kila mtu akasepa.

Kumbe mkewe hakurudi nyumbani akaenda Bank kwenye tawi jingine kabisa Akatoa Pesa Kama 1.5m (Namba za Siri za Akaunti ya mmewe alikua Anazijua) akasepa zake na kutokomea kusikojulikana.

kwa Sasa Mwanamke hajulikani alipo kwa ndugu zake hayupo Simu zake hazipatikani Jamaa Bado Anamtafuta mkewe tayari Ameenda kuripoti polisi na Amechukua RB.


Mwisho: Mwanamke pekee wa kumuamini Ni Mama yako tu
Wanawake waaminifu wapo,tena wengi tuu.hao vibaka pia wapo wengi, hao wa kukutana nao kwenye birthday parties ndiyo matokeo yake ni hivyo.Isitoshe huyo ni kibaka njaa.hawezi poteza mahusiano kwa sh.1.5mio.

Jamaa ange block kadi halafu maisha yangeendelea mbele.

On the other hand,inawezekana mke alitekwa na watu ndiyo ikatokea hivyo ilivyo,na bado wanamshikilia
 
Kwema Humu?

Kama kichwa Cha Habari Kiinavyosema Aisee Hawa Wanawake kamwe usije kuwaamini kabisa Nina Jamaa yangu yamemkuta mambo mazito.

Jamaa Alimuoa Huyu binti mrembo miaka 4 iliyopita Baada ya hapo maisha mengine yakaendelea.

Sasa juzi kaja kupigwa tukio na Huyu binti Aliyemuoa Ni Hivi Walienda bank kutoa Pesa walivyomaliza Jamaa akampa Pesa ya matumiz mkewe Akampa na ATM card akamwambia arudi nayo nyumbani Yeye anaelekea kwenye mishe zake Wakaagana Kila mtu akasepa.

Kumbe mkewe hakurudi nyumbani akaenda Bank kwenye tawi jingine kabisa Akatoa Pesa Kama 1.5m (Namba za Siri za Akaunti ya mmewe alikua Anazijua) akasepa zake na kutokomea kusikojulikana.

kwa Sasa Mwanamke hajulikani alipo kwa ndugu zake hayupo Simu zake hazipatikani Jamaa Bado Anamtafuta mkewe tayari Ameenda kuripoti polisi na Amechukua RB.


Mwisho: Mwanamke pekee wa kumuamini Ni Mama yako tu
Mkuu mambo ya ndoa Yana mambo mengi.....

Million Moja laki tano NDIO unalalamika ivyo...... Mpaka unakufuru😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwema Humu?

Kama kichwa Cha Habari Kiinavyosema Aisee Hawa Wanawake kamwe usije kuwaamini kabisa Nina Jamaa yangu yamemkuta mambo mazito.

Jamaa Alimuoa Huyu binti mrembo miaka 4 iliyopita Baada ya hapo maisha mengine yakaendelea.

Sasa juzi kaja kupigwa tukio na Huyu binti Aliyemuoa Ni Hivi Walienda bank kutoa Pesa walivyomaliza Jamaa akampa Pesa ya matumiz mkewe Akampa na ATM card akamwambia arudi nayo nyumbani Yeye anaelekea kwenye mishe zake Wakaagana Kila mtu akasepa.

Kumbe mkewe hakurudi nyumbani akaenda Bank kwenye tawi jingine kabisa Akatoa Pesa Kama 1.5m (Namba za Siri za Akaunti ya mmewe alikua Anazijua) akasepa zake na kutokomea kusikojulikana.

kwa Sasa Mwanamke hajulikani alipo kwa ndugu zake hayupo Simu zake hazipatikani Jamaa Bado Anamtafuta mkewe tayari Ameenda kuripoti polisi na Amechukua RB.


Mwisho: Mwanamke pekee wa kumuamini Ni Mama yako tu
Kuna jamaa yangu nae alimuamini mkewe akampa atm card mwanamke akaenda kutoa milioni 7 akaondoka nyumbani na kuacha watoto wawili sjui alipoenda lkn baadae jamaa alirudi kwa mumewe na wanaishi pamoja tena
 
Back
Top Bottom