Kamwe Usimuamini Mwanamke

Kamwe Usimuamini Mwanamke

1.5m TSH ni pesa ya kumtangaza mke kua kaiba🤔🤔🤔
 
Haku

Mazingira gani yanayofanya wewe mwanaume ushindwe kutembea na card yako ya benki kisha mwanamke wako aweze?

Huyo jamaa ndio walewale wa kusajili mshahara uingie kwa wake zao, kisha wake zao ndio wapange matumizi, SIMPS.
Simps
 
Tafuta singelmom aliyechoka na maisha weka ndani huku ukimjali mwanae, hao wengine (chuchu saa 6) waishie kua michepuko tu, utakuja kunshukuru badae
Hii JF ni kama jalala kuna kila takataka. Ona hii takataka nayo.
 
Hii ni chai ya asbhi mno, kwani kiwango Cha mwisho kutoa kwenye ATM ni kiasi gan Kwa siku?
Any tunashkru Kwa kutupikia chai nzito Kwa kweli umetisha
Crdb 2 m unatoa. Na Kwa sim banking unaweza kutoa mpaka 5-20m kutegemeana na ukwasi wako!
 
1.5m unamchukulia mkeo RB [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] anyways naomba nijue jamaa lengo mkewe arudi nyumbani au arudishe hiyo hela aende zake?
Una ushamba mwingi mno bro. Kwamba 1.5M ni ndogo, okay ni ndogo kwako... hata hivyo mara nyingi ma don huwa hawadharau hela... huwezi kuta Mo au Dangote au Diamond au don yeyote mwingine akiongea upupu kama ulioongea. I am 25 ila nakuacha mbali sana kwa fikra pembuzi.!
 
Huyo naye alimuokotea wapi Sasa sh.milioni moja na nusu ndio ya kumfanya mpaka atokomee kusikojulikana.itakuwa alikuwa type za wanawake ambao alikuwa anamtegemee kila kitu mume na hajawahi kushika hela kubwa maskini hapo atajikuta hata mwezi haujaisha hela yote imepukutika bila kufanyia Cha maana
 
Mtu unaua ndoa kisa 1.5m kweli? Kweny Movie ya Sharper kuna mzee alitoa ushauri nanukuu " If you're going to steal. Then steal alot" 1.5m ndo ya kukufanya ukaharbu utu wako... she's just cheap
 
Mke wangu namuachia 240m anaitunza na nakula kila kitu kipo sawa. Siyo fahari kila siku kuwa na mada za kuwadunisha wanawake. Ni mama zetu hawa mbali na kuwa wake zetu. Tusitunge tuu vistori vya kuvutia audience tupate comments bali tujifunze kupanda mbegu njema. Huu mwenendo unahamasisha ubaya na hatimaye ukatili dhidi ya wanawake.
Una miaka mingapi ndoani mzee? Mkeo ni mzaliwa wa mkoa gani na ni kuanzia miaka mingapi ya ndoa ulianza kumkabidhi kiasi cha hela kikubwa akutunzie?
 
Siyo singlemom huyo? Maana humu singlemom ndo wenye changamoto
We hujui tu single maza ni hot cake kwenye tasnia ya ndoa.
Wanajitambua sana na kuna ujinga hawana tena. Hasa baba wa mwana asiwepo, au jera ndefu au kwa baba juu, au amepigika.
Cha muhim unaziba makovu ya alikotoka.
unaongeza mbinu taslim ya kumpenda sana mtoto wake na jamaa.
Hofu kwetu wanaume ni moja tu....uwepo wa ex katika hali ya uhai. Unaweza kutibu hilo kwanza.
 
Kwamba Card ni nzito kiasi kwamba inatakiwa ipelekwe nyumbani huku wewe ukielekea sehemu nyingine?

Huo huwa ni ujinga wa kutaka kuonyesha kuwa unampenda sana mwanamke na kwamba unamuamini, ukidhanu kuwa unapariria penzi kumbe ni ujinga tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
We hujui tu single maza ni hot cake kwenye tasnia ya ndoa.
Wanajitambua sana na kuna ujinga hawana tena. Hasa baba wa mwana asiwepo, au jera ndefu au kwa baba juu, au amepigika.
Cha muhim unaziba makovu ya alikotoka.
unaongeza mbinu taslim ya kumpenda sana mtoto wake na jamaa.
Hofu kwetu wanaume ni moja tu....uwepo wa ex katika hali ya uhai. Unaweza kutibu hilo kwanza.
Hatimaye Mwanaume kapatikana
 
Mimi tangu nimwoe mke wangu namwamini! Wake zetu wasingekuwa waaminifu wangetuua kwa sumu kwenye vyakula wanavyotupikia!
Hongera mama watoto wangu,nakuamini!
 
Back
Top Bottom