Kamwe usimwamini Mwanamke, hata awe Dada yako wa tumbo moja

Kamwe usimwamini Mwanamke, hata awe Dada yako wa tumbo moja

Mbwa dume

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
5,934
Reaction score
10,206
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri...
Niende kwenye mada

Kwa dunia ilipofika sasa usimwamini kiumbe anayeitwa mwanamke hata awe dadako wa kuzaliwa tumbo moja (labda kidogo mama mzazi japo naye usiweke 100% kwa hawa mama wa kizazi kipya)

Nakumbuka kipindi flani nilikuwaga natoka kisirisiri na mke wa afande mmoja mitaa flani hapa Dodoma sasa afande alikuwa anaishi na mke na watoto pia hapo nyumbani kulikuwa na dadake tumbo moja mdada flani single mother

Sasa kipindi hicho ilikuwa afande akiingia kazini usiku demu anakuja ghetto namla mpaka anaridhika namrudisha kwake sasa siku moja nampeleka usiku wa saa sita anampigia wifi yake amfungulie geti wifi (Dada wa mmewe) akaja akafungua geti na nikamwona kabisa nilishangaa nikamwuliza itakuwaje akija kumwambia kakake? alichonijibu ni kwamba wifi hanaga mambo hayo!


Ikawa ndo ivo kila tukitoka ninapomrudisha wifi yake ndo anafungua geti (japo badae hata huyu wifi mtu alianza mazoea nikamla)

Sasa tuachane na hilo maana ni zamani sana na hii familia walishahama kikazi.

Kuna hili tukio la jana niko zangu grocery flani hapa mitaa ya round about mjini kati kuna jamaa flani rafiki yangu ni daktari wa hospital maarufu hapa Dom sasa tumekaa pale grocery tunakunywa wakaja wadada wawili mmoja kabeba mtoto wa kama mwaka mmoja hivi

Hawakukaa sana jamaa akanitonya kwamba huyo demu mwenye mtoto ni demu wake japo ni mke wa mtu ila kwa sasa mme wake kasafiri kikazi nikamuuliza huyo mdada mwingine akasema ni dada wa mume!

Huyu dada anafanya kazi office flani ya bima

Yaani huyo mdada ndiye alibaki amebeba mtoto tumekaa naye hapo grocery mpaka saa saba hivi usiku yule jamaangu akiwa kachukua lodge wanapiga show na mama wa kichanga cha mwaka mmoja!

Waliporudi ndo akanyonyesha mtoto maana alikuwa analia sana kisha tukawapeleka wanapoishi.

Kwa hii mifano nimejifunza kwamba sisi wanaume tunapoishi na wadogo zetu wa kike au Dada zetu halafu unasafiri unamwacha mkeo na dadako ukitegemea eti dadako atakuja kukusanua kwamba mkeo analiwa sahau!

Hawa viumbe wakikaa pamoja huwa lao ni moja usishangae mpaka mkeo anazaa mtoto na jamaa la nje dadako anajua ila anakuchora tu😂

Dunia Inaenda kasi sana!
NB: wazee wa weka picha sikufanikiwa kupiga picha.
 
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri...
Niende kwenye mada
Kwa dunia ilipofika sasa usimwamini kiumbe anayeitwa mwanamke hata awe dadako wa kuzaliwa tumbo moja (labda kidogo mama mzazi japo naye usiweke 100% kwa hawa mama wa kizazi kipya)
Nakumbuka kipindi flani nilikuwaga natoka kisirisiri na mke wa afande mmoja mitaa flani hapa Dodoma sasa afande alikuwa anaishi na mke na watoto pia hapo nyumbani kulikuwa na dadake tumbo moja mdada flani single mother
Sasa kipindi hicho ilikuwa afande akiingia kazini usiku demu anakuja ghetto namla mpaka anaridhika namrudisha kwake sasa siku moja nampeleka usiku wa saa sita anampigia wifi yake amfungulie geti wifi (Dada wa mmewe) akaja akafungua geti na nikamwona kabisa nilishangaa nikamwuliza itakuwaje akija kumwambia kakake? alichonijibu ni kwamba wifi hanaga mambo hayo!
Ikawa ndo ivo kila tukitoka ninapomrudisha wifi yake ndo anafungua geti (japo badae hata huyu wifi mtu alianza mazoea nikamla)
Sasa tuachane na hilo maana ni zamani sana na hii familia walishahama kikazi.
Kuna hili tukio la jana niko zangu grocery flani hapa mitaa ya round about mjini kati kuna jamaa flani rafiki yangu ni daktari wa hospital maarufu hapa Dom sasa tumekaa pale grocery tunakunywa wakaja wadada wawili mmoja kabeba mtoto wa kama mwaka mmoja hivi
Hawakukaa sana jamaa akanitonya kwamba huyo demu mwenye mtoto ni demu wake japo ni mke wa mtu ila kwa sasa mme wake kasafiri kikazi nikamuuliza huyo mdada mwingine akasema ni dada wa mume! Huyu dada anafanya kazi office flani ya bima
Yaani huyo mdada ndiye alibaki amebeba mtoto tumekaa naye hapo grocery mpaka saa saba hivi usiku yule jamaangu akiwa kachukua lodge wanapiga show na mama wa kichanga cha mwaka mmoja!
Waliporudi ndo akanyonyesha mtoto maana alikuwa analia sana kisha tukawapeleka wanapoishi.
Kwa hii mifano nimejifunza kwamba sisi wanaume tunapoishi na wadogo zetu wa kike au Dada zetu halafu unasafiri unamwacha mkeo na dadako ukitegemea eti dadako atakuja kukusanua kwamba mkeo analiwa sahau!
Hawa viumbe wakikaa pamoja huwa lao ni moja usishangae mpaka mkeo anazaa mtoto na jamaa la nje dadako anajua ila anakuchora tu[emoji23]
Dunia Inaenda kasi sana!
NB: wazee wa weka picha sikufanikiwa kupiga picha.
Tusiwaamini kwasababu ya mifuano ya uzinzi wako unafikiri hamna maisha nje ya uzinzi ambao yanaumuhimu wa kuaminiwa hao Dada zetu?
 
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri...
Niende kwenye mada

Kwa dunia ilipofika sasa usimwamini kiumbe anayeitwa mwanamke hata awe dadako wa kuzaliwa tumbo moja (labda kidogo mama mzazi japo naye usiweke 100% kwa hawa mama wa kizazi kipya)

Nakumbuka kipindi flani nilikuwaga natoka kisirisiri na mke wa afande mmoja mitaa flani hapa Dodoma sasa afande alikuwa anaishi na mke na watoto pia hapo nyumbani kulikuwa na dadake tumbo moja mdada flani single mother

Sasa kipindi hicho ilikuwa afande akiingia kazini usiku demu anakuja ghetto namla mpaka anaridhika namrudisha kwake sasa siku moja nampeleka usiku wa saa sita anampigia wifi yake amfungulie geti wifi (Dada wa mmewe) akaja akafungua geti na nikamwona kabisa nilishangaa nikamwuliza itakuwaje akija kumwambia kakake? alichonijibu ni kwamba wifi hanaga mambo hayo!


Ikawa ndo ivo kila tukitoka ninapomrudisha wifi yake ndo anafungua geti (japo badae hata huyu wifi mtu alianza mazoea nikamla)

Sasa tuachane na hilo maana ni zamani sana na hii familia walishahama kikazi.

Kuna hili tukio la jana niko zangu grocery flani hapa mitaa ya round about mjini kati kuna jamaa flani rafiki yangu ni daktari wa hospital maarufu hapa Dom sasa tumekaa pale grocery tunakunywa wakaja wadada wawili mmoja kabeba mtoto wa kama mwaka mmoja hivi

Hawakukaa sana jamaa akanitonya kwamba huyo demu mwenye mtoto ni demu wake japo ni mke wa mtu ila kwa sasa mme wake kasafiri kikazi nikamuuliza huyo mdada mwingine akasema ni dada wa mume!

Huyu dada anafanya kazi office flani ya bima

Yaani huyo mdada ndiye alibaki amebeba mtoto tumekaa naye hapo grocery mpaka saa saba hivi usiku yule jamaangu akiwa kachukua lodge wanapiga show na mama wa kichanga cha mwaka mmoja!

Waliporudi ndo akanyonyesha mtoto maana alikuwa analia sana kisha tukawapeleka wanapoishi.

Kwa hii mifano nimejifunza kwamba sisi wanaume tunapoishi na wadogo zetu wa kike au Dada zetu halafu unasafiri unamwacha mkeo na dadako ukitegemea eti dadako atakuja kukusanua kwamba mkeo analiwa sahau!

Hawa viumbe wakikaa pamoja huwa lao ni moja usishangae mpaka mkeo anazaa mtoto na jamaa la nje dadako anajua ila anakuchora tu😂

Dunia Inaenda kasi sana!
NB: wazee wa weka picha sikufanikiwa kupiga picha.
Ndio hivo 😏. Ujinga ujinga tu. Na wewe nakushauri utubu.
 
Back
Top Bottom