toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Unaweza kukuta na wasoma masa ni wanafunzi wa OPEN, MTWARA BRANCHUnaweza kukuta mtoa mada ni mwalimu
🤣Wangu hawezi!basi msubili mrejeshoUsiogope wakwako hawezi kuwa kama huyu...
Usipigenyeto
Usipigwenyeto🤣Wangu hawezi!basi msubili mrejesho
Utamponza mwenzie afe na tezi dume matibabu yenyewe ya hapa na paleKwanini umpige wakati umelipia matundu yote anayoyamiliki? Piga lile tundu analowapa huko nje na wewe ujipooze
😂😂😂😂😂😂Daaah bro fvck you.Chai na mnazi havipatani.
Tezi dume matibabu yake si kukalia Dole au kuna matibabu mengine?Utamponza mwenzie afe na tezi dume matibabu yenyewe ya hapa na pale
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂Daaah bro fvck you.
Sisi tumeelewa mbonaHujaeleweka mkuu andika systematically
Hapana ndoa ni baraka wapo wanao sherekea miaka 5, 15 au 20 ya ndoa.Ndoa ni ukichaa.
Kikao kinaendelea mkuu.Pole sana ndgu, vipi umeshamuacha au unahofia watoto wataishije mkiachana??
Ok .K si yake? Achana nae kama huwezi kuendana na Kasi ya matumizi ya k yake.
Kuna k inachakata kibamia kimoja maisha yote
K ingine mbili ingine Tatu, etc
Maisha ni kuchagua
Hapo ningekua mimi ningesepa tu home bila taarifa yoyote, ikiwezekana namchukua na mwanangu 🏃 🏃 naenda sehemu nachill kwanza kama wiki mbili au mwezi hivii akipiga simu haijibiwi wala texts wala whatsapp
Yaani ni kumtesa psychologically akili yangu ikitulia tu narudi nafukuza takataka hiyo iende huko kwa wazazi wake 🚮🚮🚮🚮🚯
Alikuwa mkuu not now.Kitendo Cha kuleta Jambo zito Kama hili online jua huna maamuzi na huna Cha kumfanya huyo mwanamke ndo maana amekuzoea anafanya anavyotaka.
Labda Kama ni Chai..
Hakuna Jambo la kulinda Kama Afya yako ya mwili na akili.
Mke mke mke huku anakuua umekazania mke mke.
How? Kwani haujawahi kusikia wanandoa wameuana au kufanyana vibaya sana kimwili na kiroho? Kama umewahi inamaana wewe kwa akili yako ndogo unaamini hao watu wanahamasisha mauaji kwenye ndoa au?LGBTQI tumeshawajua janja yenu na vistori vya kutunga.
Ili ionekana ndoa haina thamani huku mnatangaza ufirauni na kuutaja taja mara kwa mara ili uanze kuzoeleka iwe ni jambo la kawaida.
Poor man
Unajua unaweza usiwe shoga kwa vitendo ila ni_shoga wa akili. Vijana wengi ni mashoga kiakili ndiomana mtu akileta issue yake muhimu nyie mnawaza uShogA tu akili zenu always zipo kishogashoga hata kwenye vitu serious jipambanue bwana mdogo.Ni chai hii na hawa ni mashoga wanaotaka kuchafua tasisi ya ndoa kama wao walivyo loosers wanataka na sisi tuonekane hivyo.
Umeoa?Yaan mtu awe na mabwana watatu kwa miaka mitatu yote usijue,acha ULONGO
Sure.Si 'mnasemaga' hamshikiani simu haya sasa matokeo ndio hayo...
Ni wachache SANA walio na misimamo na waaminifu kwenye NDOA zao.
Mwanaume kamili hamuachii MKE uhuru huo...
Anyways pole sana tunajifunza kutokana na makosa... KUCHAPIWA INAUMA SANA.
Sent using Jamii Forums mobile app