Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,918
- 13,885
Hakuna anaetaka kuoa bure, tatzo nikuuziwa mtumba usio na ubora kwa gharama kubwa.Kwani mnataka kuoa bure?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna anaetaka kuoa bure, tatzo nikuuziwa mtumba usio na ubora kwa gharama kubwa.Kwani mnataka kuoa bure?
Ukute Hata wewe ni mtumbaHakuna anaetaka kuoa bure, tatzo nikuuziwa mtumba usio na ubora kwa gharama kubwa.
Ila kwenye ndoa mahari inatolewa kwa bidhaa mpya tuUkute Hata wewe ni mtumba
Mungu anakupa unavhostahili na hakupi unachotaka
Mwanamke ni mwanamkeHakuna anaetaka kuoa bure, tatzo nikuuziwa mtumba usio na ubora kwa gharama kubwa.
AmenNakazia tu ukiona mwanaume anaogopa kugharamikia mahitaji ya mwanamke au anataka kulelewa na mwanamke hapo hamna binadamu timamu.
Duniani Viumbe vyote vya Kiume vimeumbwa na nguzu ya ziada kuliko viumbe vya kike na lengo ni kuvilinda viumbe vya kike na vizazi vyao.
Bidhaa mpya inatolewa na wanunuzi wapyaIla kwenye ndoa mahari inatolewa kwa bidhaa mpya tu
Nikwel ila dunia ya sasa hasa kwa upande wetu wakristu (japo sio wote) tumetumia mahari kama mtaji wa familia, unakuta wazazi wanakupangia mahari kubwa isiyoendana ata na maisha yako ama ambayo mwanao ataenda kuishiMwanamke ni mwanamke
Mwanaume huwa sio mtumba ata biblia inajua ilo, ndio maana biblia iliruhusu mwanaume kutoa taraka na kuoa tena kwa swala la uasherati au uchawi, ila mwanamke ukipewa taraka kwa swala la uasherati au uchawi hauruhusiwi kutolewa mahari ukaolewa tena.Bidhaa mpya inatolewa na wanunuzi wapya
Wa mtumba mtanunua mtumba huohuo
Baba alikataa nilipe mahari kidogoHivyo ee
this month!Anakuja lini?
Umechokoza hoja ambayo ikijibiwa vilivyo utadai unadhalilishwa kwa sababu wewe ni mwanamke.Kamwe usiolewe na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Sikuwahi kuona kwenye Biblia mwanaume aliyepewa mke bure.
Tena wengine mnajifanya kupenda sana, unalazimisha kuolewa na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Wengine mnaenda mbali zaidi na kuwasaidia kulipa hizo mahari.
Ukiona umemsaidia kulipa mahari usishangae na huko ndani akakuachia majukumu yote ya familia.
Kama unampenda msaidie mambo mengine lakini ikifika muda wa kulipa mahari hiyo ngoma mwache aicheze mwenyewe, ikimshinda basi huyo hakufai.
Kwanini hakufai??
Hakufai kwa sababu suala la kuoa siyo surprise ni suala la kujiandaa. Kama mchumba ameweza kununua mahitaji yake yote, atashindwaje kukulipia mahari!?!
Binti nakwambia usije thubutu kujifanya unamsaidia mwanaume kulipa mahari, hilo ni lake. Ukimpa mahari ujue umejioa mwenyewe dada.
Na wale vijana mnaolipiwa mahari na wazazi wenu pia siwaelewi jamani. Usije ukashangaa mke anakuwa wa ukoo, wao ndiyo wanamcontrol na hauwezi kufanya jambo bila wao.
Na
Winnie Kilemo
Kwahiyo ulilipa yote!Baba alikataa nilipe mahari kidogo
Kama unaona mwanamke na mbuzi ni sawa basi kamlipie mbuzi mahari umuoe,uishi naye na uzae naye.Umechokoza hoja ambayo ikijibiwa vilivyo utadai unadhalilishwa kwa sababu wewe ni mwanamke.
Ila vipi kwani tunapokulipia mahari na kukununua huwa tunakutofautishaji na mbuzi au gari maana hivyo huwa vinalipiwa hela ili tuvipate ?
Oh sawa Kaributhis month!
Wapi biblia imesema mwanamke ni mtumba??Mwanaume huwa sio mtumba ata biblia inajua ilo, ndio maana biblia iliruhusu mwanaume kutoa taraka na kuoa tena kwa swala la uasherati au uchawi, ila mwanamke ukipewa taraka kwa swala la uasherati au uchawi hauruhusiwi kutolewa mahari ukaolewa tena.
We dada hv umeolewa kweli?kama umeolewa mumeo ana shida,muda wote unachat hata mumeo humpikii auWapi biblia imesema mwanamke ni mtumba??
Hayo ni maneno yako.
Mtumba unaenda kwa mtumba..huwezi kukuta mtumba umechanganywa na special.
Sijasema mwanamke ni mtumba labda kama ujanielewa, ila nimesema uwezi nunua mtumba usio na ubora kwa gharama kubwa.Wapi biblia imesema mwanamke ni mtumba??
Hayo ni maneno yako.
Mtumba unaenda kwa mtumba..huwezi kukuta mtumba umechanganywa na special.
Pole Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We dada hv umeolewa kweli?kama umeolewa mumeo ana shida,muda wote unachat hata mumeo humpikii au