Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
- Thread starter
- #241
NitafutieOh! Kumbe nimeandika Kichina hakieleweki ngoja nikutafutie kamusi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NitafutieOh! Kumbe nimeandika Kichina hakieleweki ngoja nikutafutie kamusi.
mungu ni mwema atakupa ndoa utulizaneKwa akili zako jinsi zilivyo humu na Kama ndizo hizo unazo basi ana hasara.
Stress nadhani utakuwa nazo wewe boss.
Sawa huo ni mtazamo wako ni mzuri na si mzuri.Kijana ndiye alilazimisha kuoa na wala si wazazi waliomlazimisha.
Kijijini nimeishi.
Mwanaume nitamsaidia mambo yote lakini si kumpa hela ya mahari..ni Bora nisiolewe kama ni hivyo.
Yah huo ni mtazamo wangu na kwangu naona upo sawa bila kujali nani anauchukulia vipi.Sawa huo ni mtazamo wako ni mzuri na si mzuri.
Siku zote Mungu ni mwemamungu ni mwema atakupa ndoa utulizane
Ni ujumbe mzuri.Kamwe usiolewe na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Sikuwahi kuona kwenye Biblia mwanaume aliyepewa mke bure.
Tena wengine mnajifanya kupenda sana, unalazimisha kuolewa na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Wengine mnaenda mbali zaidi na kuwasaidia kulipa hizo mahari.
Ukiona umemsaidia kulipa mahari usishangae na huko ndani akakuachia majukumu yote ya familia.
Kama unampenda msaidie mambo mengine lakini ikifika muda wa kulipa mahari hiyo ngoma mwache aicheze mwenyewe, ikimshinda basi huyo hakufai.
Kwanini hakufai??
Hakufai kwa sababu suala la kuoa siyo surprise ni suala la kujiandaa. Kama mchumba ameweza kununua mahitaji yake yote, atashindwaje kukulipia mahari!?!
Binti nakwambia usije thubutu kujifanya unamsaidia mwanaume kulipa mahari, hilo ni lake. Ukimpa mahari ujue umejioa mwenyewe dada.
Na wale vijana mnaolipiwa mahari na wazazi wenu pia siwaelewi jamani. Usije ukashangaa mke anakuwa wa ukoo, wao ndiyo wanamcontrol na hauwezi kufanya jambo bila wao.
Na
Winnie Kilemo
Ikitokea uabadili mawazo au umenogewa na penzi ukaamua kumpa mahari nitaomba unijulishe nijue kilicho kufanya uamue hivyo ili nijifunze ai ya kitu kilichokupa msukumo wa kufanya hivyoYah huo ni mtazamo wangu na kwangu naona upo sawa bila kujali nani anauchukulia vipi.
Siwezi kujioa mkuuIkitokea uabadili mawazo au umenogewa na penzi ukaamua kumpa mahari nitaomba unijulishe nijue kilicho kufanya uamue hivyo ili nijifunze ai ya kitu kilichokupa msukumo wa kufanya hivyo
AmenNi ujumbe mzuri.
Mabinti wakumbuke kuwa mahari ni ishara ya upendo kwa anayeolewa.
Kutoa mahari ni utamaduni wa binadamu kuonesha upendo.
Bila mahari ujue hakupendi ila anakutamani tu.
Mimi nilishaolewa.Saint Anne Nataka kukuoa Ila Mali sina
Kwani tuliachana kwa mfano tu. Mali inarudiMimi nilishaolewa.
Ukiona huwezi kulipa mahari ujue hupaswi kuoa
namaanisha utulivu wa ndoaniSiku zote Mungu ni mwema
Mungu ni wema siku zote.
Nani kakwambia sijatulia?
nitumie namba yako pm, unipokelee binti yangu hapo mbeya akafanye intaviuuOkee
Karibu muwapeleke mabinti zenu pale..wananyooshwa hasa
Miaka 14 uchunge afu tusiite adhabu?.Hivyo ndivyo system iliwataka kufanya.
Siyo adhabu hiyo..kama ingekuwa adhabu basi angeacha tu.
Hakuna adhabu hapoMiaka 14 uchunge afu tusiite adhabu?.
Anakuja lini?nitumie namba yako pm, unipokelee binti yangu hapo mbeya akafanye intaviuu
YahKwani tuliachana kwa mfano tu. Mali inarudi
Kwani mnataka kuoa bure?Kumbukumbu la Torati 22:13-21
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹³ Mtu akitwaa mke, akamwingilia na kumchukia,
¹⁴ kisha akamshitaki mambo ya aibu kumzushia jina baya, akasema, Nimemtwaa mwanamke huyu, nami nilipomkaribia sikuona kwake alama za ubikira;
¹⁵ ndipo babaye yule kijana na mamaye watakapotwaa alama za yule kijana za ubikira, wawatolee wazee wa mji langoni;
¹⁶ na baba yake yule kijana awaambie wazee, Mwanamume huyu nilimpa binti yangu awe mkewe, naye amchukia;
¹⁷ angalieni, amemwekea mambo ya aibu, asema, Sikuona kwa binti yako alama za ubikira, nazo hizi ndizo alama za binti yangu za ubikira. Na wayakunjue yale mavazi mbele ya wazee wa mji.
¹⁸ Basi wazee wa mji ule na wamtwae yule mtu mume na kumrudi,
¹⁹ wamtoze shekeli mia za fedha, wampe babaye yule kijana, kwa kuwa amemzulia jina baya mwanamwali wa Israeli; naye awe mkewe; hana ruhusa ya kumwacha siku zake zote.
²⁰ Lakini likiwa ni kweli neno hili, la kutoonekana kwake yule kijana alama za ubikira;
²¹ na wamtoe nje yule kijana mlangoni pa nyumba ya baba yake, na waume wa mji wake wampige kwa mawe hata afe; kwa vile alivyofanya upumbavu katika Israeli, kwa kufanya ukahaba katika nyumba ya baba yake; ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako.
Hii ndio sheria ya mahari sasa sijui mpo tayari?