Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
- Thread starter
-
- #361
Endeleeni kujifarijiWake lazma wawe wengi bana, hao watume wenyewe walikuwa na wake kibao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji108][emoji108][emoji108]poleeWe tutakuoa kwa biblia tu
Oh sawaKulipiwa mahari na wazazi kwa baadhi ya makabila ni tradition
Katika vitu siji kufanya basi ni kuolewa Mke wa pili.Umeolewa lini wewe hebu acha uhuni, mie ndio namalizia laki 5 nije kwa mzee stefano hapo.
MKUU ACHA TU, sijui hata nguvu ya kuanzisha thread ya namna hii wanapata wapi hawa viumbeBaada ya kukitembeza 190,000km kisha mtu anadai mill.3 bila aibu kabisa.
Umenitia moyo sana kwa huu uzi, Ubarikie sana.Ni kweli kabisa. Mahari ni ujumbe wa kuomba ridhaa ya kuishi na mtoto wa kike.
Mahari ni jambo lisilo na utata katika kulijadili. Unapopenda mtoto wa mtu usiogope kwenda kuomba ridhaa. Najua maisha ni magumu, unajiona hauna hadhi ya kwenda kwa wazazi wa mtu kuomba ridhaa ya kuishi na binti yao.
Mahari kwa asili yake si gharama ya kutoa kwenye mfuko wa mwanaume bali ni swala la familia ya mwanaume.... Wajomba na baba wadogo kwa wakubwa, makaka, baba na mama watajikusanya kisha watamsapoti kijana wao kwenda kuposa. Tatizo familia za siku hizi hazina ushirikiano na wazazi wanawaachia watoto wadeal na mambo yao on their own ndio maana majanga ni mengi.
Ukikosa msaada wa familia yako hata rafiki na jamaa wanatosha kukupa sapoti. Washirikishe waje kukusaidia kuipata mahari. Na mahari haitolewi yote ukiambiwa milioni hata laki tano unapeleka, sasa why ufeli?!
Toa mahari, kisha tuma wazee wawanong'oneze ukweni kuwa harusi itasubiri kidogo mnaendelea kujipanga.
Maisha ukiyachukulia kwa standard ya juu huwa ni magumu sana kuyaanza, ila ukiyachukulia kwa uhalisia yanawezekana sana na nimepesi. Usiogope kupambana kupata unachotaka. Washirikishe ndugu na jamaa wa karibu wakusaidie.
Kuwa strong BabaAsante kwa wazazi wangu mimi mwanaume ni nini?
Mahari si mamilioni ya pesa kile mnachopatana ndiyo hicho hicho pia ni heshima kwa wazazi, hivi una binti zako 2, mmoja anatolewa posa mwingine anatolewa tu unazani yupi atapata heshima? Chochote kile kitolewacho ni mahari, usiache kumtolea mkeo mtarajiwa mahari hizo no baraka hata kwa mwenyezi Mungu!Bibie ulweso [emoji3] Hata mzazi wa kiume anahitajika kupewa asante kwa kukumkuza mwanae na kuja kumsitiri ,kumpa heshima (kumuoa) binti yako
Mahari sio lazima pia not necessary, mahari ni makubaliano,nikiwa sina sio kigezo cha kutokuoa ukiamua kutoa toa, ukipanga usipokee pia sawa.ndo maana kwa dini ya kiislamu binti anataja mahari anayotaka mfano wengi wanataja msaafu tu basi ( kitabu cha dini kama Bible)kama mahari yake na anaolewa hutasikia shuka la mzee ,pombe ,batiki za bibi ,boksa za babu ,sjui mabeberu kumi na NNE wala hutoskia
Mahari mnaifanya overrated ,kwanza mahari ni utumwa ndo maana kuna kabila ukiolewa kwa n'gombe kazaa utaenda wachunga utaenda tumikishwa ,ukizaa watoto wa kiume unawaletea umaskini kabila hili upendelea watoto wa kike kama mtaji hayo makabila ya tz na wanajijua sitaki ubaguzi so sitawataja [emoji3]
Miaka ijayo tutaoa bila mahari mark my words bado dunia inazunguka
Tukumbushe kwenye kitabu cha Mwanzo, nipe mstari ambao Adam alimlipia mahari Eva. Je Adam alimuoa Eva? Kama hakumuoa sisi andiko la kufungishana ndoa tuli 'google' wapi? Kama alimuoa, je, mahari alipeleka kwa nani?Kamwe usiolewe na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Sikuwahi kuona kwenye Biblia mwanaume aliyepewa mke bure.
Tena wengine mnajifanya kupenda sana, unalazimisha kuolewa na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Wengine mnaenda mbali zaidi na kuwasaidia kulipa hizo mahari.
Ukiona umemsaidia kulipa mahari usishangae na huko ndani akakuachia majukumu yote ya familia.
Kama unampenda msaidie mambo mengine lakini ikifika muda wa kulipa mahari hiyo ngoma mwache aicheze mwenyewe, ikimshinda basi huyo hakufai.
Kwanini hakufai??
Hakufai kwa sababu suala la kuoa siyo surprise ni suala la kujiandaa. Kama mchumba ameweza kununua mahitaji yake yote, atashindwaje kukulipia mahari!?!
Binti nakwambia usije thubutu kujifanya unamsaidia mwanaume kulipa mahari, hilo ni lake. Ukimpa mahari ujue umejioa mwenyewe dada.
Na wale vijana mnaolipiwa mahari na wazazi wenu pia siwaelewi jamani. Usije ukashangaa mke anakuwa wa ukoo, wao ndiyo wanamcontrol na hauwezi kufanya jambo bila wao.
Na
Winnie Kilemo
Daa jamani!!!!!We tutakuoa kwa biblia tu
Sio mandazi sufuria 2 ni kilo 2 za unga wa nganoÑi asante tu hio mama, mbona inatosha kabisa. Ndio maana watu hu appreciate zaidi jamii ya kiislamu sababu hawana mambo ya complication. Mandazi sufuria 2 na ubwabwa mtu anachukua mke.
Nadhani hujaelewa comment yanguKuwa strong Baba
Kitu ambacho wazazi wakiume hufurahia zawadi yao ni mtoto wao mzima si (anidhi) ila mie huwa sipendi kuandika maneno magumuNadhani hujaelewa comment yangu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mahari ni dhana iliyopitwa na wakati, inayomlinganisha mwanamke na ng'ombe.
Na wengi wanaojilipia mahari ndoa zimewatokea puani, wameishiwa kuuliwa tu, na kuteswa Hadi kuachwa walemavu, mwanaume asiyeweza kutoa mahari na asioe kabisa aisee mpaka awe vizuri