Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
- Thread starter
-
- #441
Kama unaona ng'ombe na mtu wapo sawa basi sawa.Mimi naamini katika haki za binadamu, mtu akijiweka kuwa bidhaa, hiyo pia ni haki yake.
Hujakatazwa kujifanya bidhaa yenye bei.
Ni haki yako.
Lakini, hilo haliondoi ukweli kwamba umejifanya bidhaa yenye bei.
Hayo ya kuumbwa kwa ulimwengu umehadithiwa tu kama sehemu ya stories za mfumodume.Hiyo ni asili inataka hivyo
Na tangu kuumbwa kwa ulimwengu ..wote tumechukua ubin wa Adam..bin_adamu
Hiyo ya bidhaa sijui hata umeitoa wapi.
Hata ukisoma kwenye Biblia utakuta mahari imeongelewa.
Tatizo hata kusoma kwa ufahamu huwezi.Kama unaona ng'ombe na mtu wapo sawa basi sawa.
Yesu wangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayo ya kuumbwa kwa ulimwengu umehadithiwa tu kamq sehemu ya stories za mfumodume.
Unaelewa story ya Adam ni ya Wayahudi tu.
Wachina, Wajapan, Wahindi, Waafrika wanaojitambua, hawamtammbui Adam kama mtu wa kwanza?
Unaelewa story ya Adam ndiyo iliyopandikiza mfumodume uliomkandamiza mwanamke mpaka akawa bidhaa mpaka leo?
Jibu lako halipingi hoja yangu.
Jibu lako linaiongezea nguvu hoja yangu.
Yawezekana siwezi kusoma kwa ufahamu unakokusemaTatizo hata kusoma kwa ufahamu huwezi.
Ndiyo maana hatuelewani.
Wapi nimesema ng'ombe na mtu wapo sawa?
Unajua kusoma kwa ufahamu?
We are from two different worlds it seems.
Mahari si lazima.Yesu wangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hao uliowataja,wao kutokuijua hiyo story haina maana kwamba haipo.
Mahari ni lazima na imeagizwa hivyo.. mwanamke ni mwanamke na mwanaume ni mwanaume.
Ndivyo system ilivyo.
Mkuu kama unaona mwanamke ni bidhaa sawa.Mahari si lazima.
Unasema lazima kwa sababu upeo wako umeishia kwenye jamii yako.
Hapo hapo Tanzania watu wanaokewa bila mahari. Utasemaje ni lazima?
Zaidi, hujakanusha kwamba mahari inamfanya mwanamke kuwa bidhaa yenye bei sawa na bidhaa nyingine yoyote yenye bei.
Nikisema kitendo cha makaburu kumfunga Mandela kwa maoni yake ya kisiasa kilimfanya Mandela kuwa kama mnyama, hilo linamaanisha nilimuona Mandela mnyama?Yawezekana siwezi kusoma kwa ufahamu unakokusema
Ila kama umeweza kusema mwanamke akitolewa mahari anakuwa kama bidhaa kwa tafsiri nyingine unamchukulia mwanamke Kama hizo bidhaa nyingine.
Wapi nimesema namuona mwanamke kama bidhaa?Mkuu kama unaona mwanamke ni bidhaa sawa.
Kila mtu abaki na mtazamo wake.
Watakaoolewa bila mahari waache waolewe..tutakaoolewa kwa kulipiwa mahari acha tuolewe
Ukishaanza kwa msingi wa Bibkia tu, Biblia yenyewe inawekewa maswali.Unapoleta mada kama hii uwe na uelewa vizuri...lengo lako ni kuwashauri mabinti wasikurupuke....unaongeza kabisa imeandikwa kwenye Biblia!! ulisoma au ulihadithiwa??...mahari iliyo safi na sahihi...hutolewa kwa KIGORI (bikira), binti ambaye hajaguswa....mchanga, na ameutunza USICHANA wake........hiki ndicho Biblia inachosema........ushatumika mpaka uchi una migongo tende......mahari haipaswi kutolewa kabisa......hakuna asiejua hili...ni kujitoa uelewa.......MWANAUME,, mchumba wako akiwa sio bikra(hujambikiri wewe) wacha ujinga komaa usitoe mahari...aidha akuzalie wana kwanza......
Asante sana kaka mkubwa. Umeandika kwa hekima sana. Vijana tumekuelewa.Ni kweli kabisa. Mahari ni ujumbe wa kuomba ridhaa ya kuishi na mtoto wa kike.
Mahari ni jambo lisilo na utata katika kulijadili. Unapopenda mtoto wa mtu usiogope kwenda kuomba ridhaa. Najua maisha ni magumu, unajiona hauna hadhi ya kwenda kwa wazazi wa mtu kuomba ridhaa ya kuishi na binti yao.
Mahari kwa asili yake si gharama ya kutoa kwenye mfuko wa mwanaume bali ni swala la familia ya mwanaume.... Wajomba na baba wadogo kwa wakubwa, makaka, baba na mama watajikusanya kisha watamsapoti kijana wao kwenda kuposa. Tatizo familia za siku hizi hazina ushirikiano na wazazi wanawaachia watoto wadeal na mambo yao on their own ndio maana majanga ni mengi.
Ukikosa msaada wa familia yako hata rafiki na jamaa wanatosha kukupa sapoti. Washirikishe waje kukusaidia kuipata mahari. Na mahari haitolewi yote ukiambiwa milioni hata laki tano unapeleka, sasa why ufeli?!
Toa mahari, kisha tuma wazee wawanong'oneze ukweni kuwa harusi itasubiri kidogo mnaendelea kujipanga.
Maisha ukiyachukulia kwa standard ya juu huwa ni magumu sana kuyaanza, ila ukiyachukulia kwa uhalisia yanawezekana sana na nimepesi. Usiogope kupambana kupata unachotaka. Washirikishe ndugu na jamaa wa karibu wakusaidie.
mwache awapoteze wenzake.......Ukishaanza kwa msingi wa Bibkia tu, Biblia yenyewe inawekewa maswali.
Kwani imetumika sana na mfumodume kukandamiza wanawake.
Sasa mpaka hapo tu, hoja nzima ya Biblia inawekewa maswali.
Pia, kuna watu wengi hatuamini mqneno ya Biblia tu, inabidi uje na mantiki nzito zaidi ya "Biblia imesema".
Kwa msingi huu wa "Biblia imesema", wanawake wataendelea kukandamizwa siku zote.
Biblia ndivyo inavyosema hivyo.
Mwanamke awe chini ya mwanamme.
don't be fixed in love,. lakini kama unauhakika na hilo, hakikisha na wewe una bikra.Kamwe usiolewe na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Sikuwahi kuona kwenye Biblia mwanaume aliyepewa mke bure.
Tena wengine mnajifanya kupenda sana, unalazimisha kuolewa na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Wengine mnaenda mbali zaidi na kuwasaidia kulipa hizo mahari.
Ukiona umemsaidia kulipa mahari usishangae na huko ndani akakuachia majukumu yote ya familia.
Kama unampenda msaidie mambo mengine lakini ikifika muda wa kulipa mahari hiyo ngoma mwache aicheze mwenyewe, ikimshinda basi huyo hakufai.
Kwanini hakufai??
Hakufai kwa sababu suala la kuoa siyo surprise ni suala la kujiandaa. Kama mchumba ameweza kununua mahitaji yake yote, atashindwaje kukulipia mahari!?!
Binti nakwambia usije thubutu kujifanya unamsaidia mwanaume kulipa mahari, hilo ni lake. Ukimpa mahari ujue umejioa mwenyewe dada.
Na wale vijana mnaolipiwa mahari na wazazi wenu pia siwaelewi jamani. Usije ukashangaa mke anakuwa wa ukoo, wao ndiyo wanamcontrol na hauwezi kufanya jambo bila wao.
Na
Winnie Kilemo
Kwahiyo unataka kuoa bure???Unapoleta mada kama hii uwe na uelewa vizuri...lengo lako ni kuwashauri mabinti wasikurupuke....unaongeza kabisa imeandikwa kwenye Biblia!! ulisoma au ulihadithiwa??...mahari iliyo safi na sahihi...hutolewa kwa KIGORI (bikira), binti ambaye hajaguswa....mchanga, na ameutunza USICHANA wake........hiki ndicho Biblia inachosema........ushatumika mpaka uchi una migongo tende......mahari haipaswi kutolewa kabisa......hakuna asiejua hili...ni kujitoa uelewa.......MWANAUME,, mchumba wako akiwa sio bikra(hujambikiri wewe) wacha ujinga komaa usitoe mahari...aidha akuzalie wana kwanza......
Nikisema kitendo cha makaburu kumfunga Mandela kwa maoni yake ya kisiasa kilimfanya Mandela kuwa kama mnyama, hilo linamaanisha nilimuona Mandela mnyama?
Nikisema kitendo cha Polisi kuwapiga raia kwa kuandamana kwa haki kinawafanya raia wawe kama mbwa koko, hilo linamaanisha nawaona raia mbwa koko?
Unaweza kufuatilia hoja kimantiki?
Kila mtu abaki na mtazamo wake.[emoji2772]Wapi nimesema namuona mwanamke kama bidhaa?
Unajua kusoma kwa ufahamu?
huna bikra, sitoi mahari hakika.....nakununua...just a parcel......Kwahiyo unataka kuoa bure???
Sawa,kuna wa kuolewa bure pia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huna bikra, sitoi mahari hakika.....nakununua...just a parcel......
Yupo aliyewahi kuolewa kwa ubeti wa shairi???....kwa mujibu wa mafundisho ya kiislamu mahari ni ya binti,yeye ndie anayepanga...anaweza akaolewa ata kwa ubeti wa shairi ni makubaliano tuu