Huo ni mfano,wa utumwa....zaman watumwa walikuwa wanauzwa kwa mfumo huo...mtumwa ni bidhaa anapangiwa Bei na boss wake/ muuzaji.Mimi mahari yangu inapangwa na wazee.
Mahari ni heshima sio DAI, ili iwe DAI awe msichana KIGORI......hebu tujiulize, mahari ndio inajenga ndoa imara?...mahari sio ya kulazimishana...Sasa hivi kinachotokea ni kwamba, hata ndoa zenyewe za harusi zinakufa kifo cha asili.
Watu wengi hawaoi, wanajivutia tu, wanaelewana, wanayajenga maisha.
Before you know it, wana watoto.
Na hapo kama Baba na Mama wanaishi pamoja ni jambo zuri. Maana wanaume wengine wanasepa.
Kama wanaeleewana wanaishi bila complication, poa kivyao tu.
Sasa hapo hapo mtu anataka kudai harusi kuubwa na mahari kubwa juu.
Maisha fulani ya kulazimisha mwanamke awe mtu wa kubebwa kila siku.
Ngoja nikuzomee,hiloooooo!!!!,Wakati mimi nilipewa bure kabisa,nilichoambiwa ni kwamba nikaishi naye vizuri tu na leo hii ni mwaka wa nane(8).Nakuzomea tena,hilooooo!,hilooooKamwe usiolewe na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Sikuwahi kuona kwenye Biblia mwanaume aliyepewa mke bure.
Tena wengine mnajifanya kupenda sana, unalazimisha kuolewa na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Wengine mnaenda mbali zaidi na kuwasaidia kulipa hizo mahari.
Ukiona umemsaidia kulipa mahari usishangae na huko ndani akakuachia majukumu yote ya familia.
Kama unampenda msaidie mambo mengine lakini ikifika muda wa kulipa mahari hiyo ngoma mwache aicheze mwenyewe, ikimshinda basi huyo hakufai.
Kwanini hakufai?
Hakufai kwa sababu suala la kuoa siyo surprise ni suala la kujiandaa. Kama mchumba ameweza kununua mahitaji yake yote, atashindwaje kukulipia mahari!?
Binti nakwambia usije thubutu kujifanya unamsaidia mwanaume kulipa mahari, hilo ni lake. Ukimpa mahari ujue umejioa mwenyewe dada.
Na wale vijana mnaolipiwa mahari na wazazi wenu pia siwaelewi jamani. Usije ukashangaa mke anakuwa wa ukoo, wao ndiyo wanamcontrol na hauwezi kufanya jambo bila wao.
Na
Winnie Kilemo
Mkuu Sam, hapo kwenye kujipang ndio huwa hawataki kupasikia, hua wanaliza Unajipanga wewe umekua matofari ??Ni kweli kabisa. Mahari ni ujumbe wa kuomba ridhaa ya kuishi na mtoto wa kike.
Mahari ni jambo lisilo na utata katika kulijadili. Unapopenda mtoto wa mtu usiogope kwenda kuomba ridhaa. Najua maisha ni magumu, unajiona hauna hadhi ya kwenda kwa wazazi wa mtu kuomba ridhaa ya kuishi na binti yao.
Mahari kwa asili yake si gharama ya kutoa kwenye mfuko wa mwanaume bali ni swala la familia ya mwanaume.... Wajomba na baba wadogo kwa wakubwa, makaka, baba na mama watajikusanya kisha watamsapoti kijana wao kwenda kuposa. Tatizo familia za siku hizi hazina ushirikiano na wazazi wanawaachia watoto wadeal na mambo yao on their own ndio maana majanga ni mengi.
Ukikosa msaada wa familia yako hata rafiki na jamaa wanatosha kukupa sapoti. Washirikishe waje kukusaidia kuipata mahari. Na mahari haitolewi yote ukiambiwa milioni hata laki tano unapeleka, sasa why ufeli?!
Toa mahari, kisha tuma wazee wawanong'oneze ukweni kuwa harusi itasubiri kidogo mnaendelea kujipanga.
Maisha ukiyachukulia kwa standard ya juu huwa ni magumu sana kuyaanza, ila ukiyachukulia kwa uhalisia yanawezekana sana na nimepesi. Usiogope kupambana kupata unachotaka. Washirikishe ndugu na jamaa wa karibu wakusaidie.
Hata kwa huyo Kigoli.Mahari ni heshima sio DAI, ili iwe DAI awe msichana KIGORI......hebu tujiulize, mahari ndio inajenga ndoa imara?...mahari sio ya kulazimishana...
ukilazimisha ni sawa we exchange parcels........
so tukubaliane hakuna haja ya MAHARI.....Hata kwa huyo Kigoli.
Ukiweka mahari tu, unamuuza kama nyanya.
Kama ni heshima familia ya mwanamme mbona haipewi mahari? Yenyewe haistahili heshima?
Kama mwanamke anataka mahari kuna haja ya mahari. Katika kumuoa yeye.so tukubaliane hakuna haja ya MAHARI.....
Kiranga anatafuta watu wanaounga mkono masuala ya mahari apambane nao![emoji28][emoji28][emoji28]Kiranga baba.
Nilitaka tu kukusalimia.
Siku nyingi sana.
Nimefurahi uko mzima.
Ulipita kwenda wapAkhsante[emoji122][emoji122][emoji122]
Sielewi niliipita vipi hii comment jamani[emoji1751]
Tutaazimia kwenye kikao chetu WANAUME..........kwanza hata kabla ya hilo la mahari keshakuchunaaaa weeee.......halafu eti mahari..........Kama mwanamke anataka mahari kuna haja ya mahari. Katika kumuoa yeye.
Kama anataka kuolewa kanisani, hutakiwi kumlazimisha aolewe msikitini.
Hilo halina mjadala.
Ila, mahari inafanya mwanamke awe bidhaa. Ananunuliwa kwa bei. Bei ndiyo mahari.
Ndiyo maana jamii zilizotuzidi katika usawa wa binadamu, hakuna hqbari ya mahari.
Jamii zetu zimeweka mahari, kwa sababu mwanamke ni kama mali ya mwanamme.
hivi kiranga wazungu na black americans wana utaratibu wa kutoa mahari?Siyo definition yangu.
Ndiyo ukweli wenyewe.
Kama una hoja za kubisha, zilete hapa.
Mahari inamfanya mwanamke awe bidhaa yenye bei.
hiyo laki tano iliyobaki inakuaje unailipa au ndo imetokaNi kweli kabisa. Mahari ni ujumbe wa kuomba ridhaa ya kuishi na mtoto wa kike.
Mahari ni jambo lisilo na utata katika kulijadili. Unapopenda mtoto wa mtu usiogope kwenda kuomba ridhaa. Najua maisha ni magumu, unajiona hauna hadhi ya kwenda kwa wazazi wa mtu kuomba ridhaa ya kuishi na binti yao.
Mahari kwa asili yake si gharama ya kutoa kwenye mfuko wa mwanaume bali ni swala la familia ya mwanaume.... Wajomba na baba wadogo kwa wakubwa, makaka, baba na mama watajikusanya kisha watamsapoti kijana wao kwenda kuposa. Tatizo familia za siku hizi hazina ushirikiano na wazazi wanawaachia watoto wadeal na mambo yao on their own ndio maana majanga ni mengi.
Ukikosa msaada wa familia yako hata rafiki na jamaa wanatosha kukupa sapoti. Washirikishe waje kukusaidia kuipata mahari. Na mahari haitolewi yote ukiambiwa milioni hata laki tano unapeleka, sasa why ufeli?!
Toa mahari, kisha tuma wazee wawanong'oneze ukweni kuwa harusi itasubiri kidogo mnaendelea kujipanga.
Maisha ukiyachukulia kwa standard ya juu huwa ni magumu sana kuyaanza, ila ukiyachukulia kwa uhalisia yanawezekana sana na nimepesi. Usiogope kupambana kupata unachotaka. Washirikishe ndugu na jamaa wa karibu wakusaidie.
Marekani kwa mfano, wao sehemu nyingi huwa hawalipi mahari wanapooa, wanalipa wakati wa kuachana, inaitwa "alimony".hivi kiranga wazungu na black americans wana utaratibu wa kutoa mahari?
huko inaonekana hakuna mfumo dumeMarekani kwa mfano, wao sehemu nyingi huwa hawalipi mahari wanapooa, wanalipa wakati wa kuachana, inaitwa "alimony".
Na aliye na kipato zaidi anamlipa asiye na kipato zaidi.
Kwao ndoa kituo cha polisi, kuingia bure, kutoka unalipia.
Mimi ni nani mpaka nishindwe kulike comments nzuri kama hiiUna-discuss issue ya mahari,je huyo anayepaswa kutolewa hayo mahari anazo sifa za kukaa chini na washenga yakajadiliwa hayo.
Maana mabinti wengine wameshatumika kiasi mahari itabidi watoe baba zao na kuwapa asante wale vijana watakaosaidia kuchukua binti zao wakiwa na makopo ya vyoo vya stand katikati ya ya mapaja yao.
Kumbe nawewe hua unaongea point..naonaga unaparaganya na Cariha TU[emoji3][emoji3]Ni kweli kabisa. Mahari ni ujumbe wa kuomba ridhaa ya kuishi na mtoto wa kike.
Mahari ni jambo lisilo na utata katika kulijadili. Unapopenda mtoto wa mtu usiogope kwenda kuomba ridhaa. Najua maisha ni magumu, unajiona hauna hadhi ya kwenda kwa wazazi wa mtu kuomba ridhaa ya kuishi na binti yao.
Mahari kwa asili yake si gharama ya kutoa kwenye mfuko wa mwanaume bali ni swala la familia ya mwanaume.... Wajomba na baba wadogo kwa wakubwa, makaka, baba na mama watajikusanya kisha watamsapoti kijana wao kwenda kuposa. Tatizo familia za siku hizi hazina ushirikiano na wazazi wanawaachia watoto wadeal na mambo yao on their own ndio maana majanga ni mengi.
Ukikosa msaada wa familia yako hata rafiki na jamaa wanatosha kukupa sapoti. Washirikishe waje kukusaidia kuipata mahari. Na mahari haitolewi yote ukiambiwa milioni hata laki tano unapeleka, sasa why ufeli?!
Toa mahari, kisha tuma wazee wawanong'oneze ukweni kuwa harusi itasubiri kidogo mnaendelea kujipanga.
Maisha ukiyachukulia kwa standard ya juu huwa ni magumu sana kuyaanza, ila ukiyachukulia kwa uhalisia yanawezekana sana na nimepesi. Usiogope kupambana kupata unachotaka. Washirikishe ndugu na jamaa wa karibu wakusaidie.