Donald Marcus Hemu
JF-Expert Member
- May 14, 2019
- 372
- 535
Unaweza kunipa maandiko yanayosema kuwa mahari kwa binti used hapana na si sahihi?na huu ndio uhalisia hasa kama mtu ataleta msingi wa kimaandiko katika kudai Mahari...........
mahari kwa binti ambae ni used hapana, sio sahihi ila ndio hivyo maisha yalivyo!
[emoji122]Labda niweke mambo sawa. Mahari ni lazima kutolewa yote lakini suala la kulipwa vipi haija fungamana kisheria.
Kama kweli una mpenda bwana ako unaweza msaidia kiasi kidogo cha fedha ili aweze kukuoa. Ukisema alipe yeye tu wakati mahari ni kubwa utakosa mume. Mfano hai, hao wana jinadi kusema mahari yake 500m unadhani nani ataoa huyo mwanamke.
Kama baba mzazi anaweza kukulipia balance ilo bakia mbona hakuna tatizo.
Ukienda huko India mwanamke anatoa yeye mahari. Kwahyo wasiolewe.
Na mahari siku zote lazima iendane na mioaji mwenyewe. Kama familia hamtaki iseme mapema kuliko kupotezeana muda
SawaSaint hu mtazamo wako unaishia katika hizi nchi za mataifa ya africa mashariki ambazo zimeapply mafundisho ya waislam na wakristo na kuyageuza kuwa utaratibu wamaisha yao .hiki unachokiamini wewe na watu wengine wenye imani sawa na yako haimanishi kwamba ndio mtazamo sahihi kwa watu wote wa dunia nzima .. Kuna watu wengine wapo hapa hapa east africa lakini Imani zao hazifungamani katiKa yale ambayo unayaamini wewe na wenzako wanaamini katika desturi zao na mambo yao maisha yao yanasonga .... Itoshe tu kusema kwamba dunia ni pana na kila watu wana taratibu zao so tusilazimishe mitazamo yetu kuweza kufanana ....
Ila kwa upande wangu still ninaona kabisa kuwa hili suala la mtoto wakike kulipiwa mahari linazidi kumkandamiza nakumfanya awe mtumwa wa mtoto wa kiume
Sitakuwa fixed kwenye mambo mengine ila hilo hapanadon't be fixed in love,. lakini kama unauhakika na hilo, hakikisha na wewe una bikra.
Nimeambatanisha hapo kusisitiza hoja, lakini pia manguli wengi wa bibliani hawakuwa na mke mmoja, sijui unatushauri vipi Mtakatifu Anne.View attachment 1595626naona na wazazi saiv wapo tayar kushurutisha wanao owa bint zao wawe dheheb fulan tu atampa binti ake bure
Mwanaume kulipiwa Mahal na wazaz wake iyo Sheria ktk dini ya kiisilamu kwmb mke wa kwnz kijana wako inabd umuoleee ijapokuwa wazaz weng wa kileo hawafuatKamwe usiolewe na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Sikuwahi kuona kwenye Biblia mwanaume aliyepewa mke bure.
Tena wengine mnajifanya kupenda sana, unalazimisha kuolewa na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Wengine mnaenda mbali zaidi na kuwasaidia kulipa hizo mahari.
Ukiona umemsaidia kulipa mahari usishangae na huko ndani akakuachia majukumu yote ya familia.
Kama unampenda msaidie mambo mengine lakini ikifika muda wa kulipa mahari hiyo ngoma mwache aicheze mwenyewe, ikimshinda basi huyo hakufai.
Kwanini hakufai?
Hakufai kwa sababu suala la kuoa siyo surprise ni suala la kujiandaa. Kama mchumba ameweza kununua mahitaji yake yote, atashindwaje kukulipia mahari!?
Binti nakwambia usije thubutu kujifanya unamsaidia mwanaume kulipa mahari, hilo ni lake. Ukimpa mahari ujue umejioa mwenyewe dada.
Na wale vijana mnaolipiwa mahari na wazazi wenu pia siwaelewi jamani. Usije ukashangaa mke anakuwa wa ukoo, wao ndiyo wanamcontrol na hauwezi kufanya jambo bila wao.
Na
Winnie Kilemo
Winnie Kilemo kuna vitu huwa anaandika huko facebook hadi namwonea huruma,,,, wakati flani namwona kama mtu aliyekaa kwenye wokovu miaka mingi ila ni mchanga kwenye mambo ya kiroho (kifalme)
mi nadhani angeaza kwa kushauri wazazi kutopanga mahari kubwa sana , au angeshauri mabinti wanaoposwa wawambie wazazi wao kwamba mtarajiwa wangu hana uwezo kwaio msipange mahari kubwa!
anyway, ukitumia biblia, anaetakiwa kulipiwa mahari ni binti kigori tu. ndivyo torati inavyoeleza. ukikuta sio kigori warudishie wenye mtoto nao warudishe mahari!
Winnie Kilemo kuna vitu huwa anaandika huko facebook hadi namwonea huruma,,,, wakati flani namwona kama mtu aliyekaa kwenye wokovu miaka mingi ila ni mchanga kwenye mambo ya kiroho (kifalme)
mi nadhani angeaza kwa kushauri wazazi kutopanga mahari kubwa sana , au angeshauri mabinti wanaoposwa wawambie wazazi wao kwamba mtarajiwa wangu hana uwezo kwaio msipange mahari kubwa!
anyway, ukitumia biblia, anaetakiwa kulipiwa mahari ni binti kigori tu. ndivyo torati inavyoeleza. ukikuta sio kigori warudishie wenye mtoto nao warudishe mahari!
Nakubaliana na wewe kabisa...Kamwe usiolewe na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Sikuwahi kuona kwenye Biblia mwanaume aliyepewa mke bure.
Tena wengine mnajifanya kupenda sana, unalazimisha kuolewa na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Wengine mnaenda mbali zaidi na kuwasaidia kulipa hizo mahari.
Ukiona umemsaidia kulipa mahari usishangae na huko ndani akakuachia majukumu yote ya familia.
Kama unampenda msaidie mambo mengine lakini ikifika muda wa kulipa mahari hiyo ngoma mwache aicheze mwenyewe, ikimshinda basi huyo hakufai.
Kwanini hakufai?
Hakufai kwa sababu suala la kuoa siyo surprise ni suala la kujiandaa. Kama mchumba ameweza kununua mahitaji yake yote, atashindwaje kukulipia mahari!?
Binti nakwambia usije thubutu kujifanya unamsaidia mwanaume kulipa mahari, hilo ni lake. Ukimpa mahari ujue umejioa mwenyewe dada.
Na wale vijana mnaolipiwa mahari na wazazi wenu pia siwaelewi jamani. Usije ukashangaa mke anakuwa wa ukoo, wao ndiyo wanamcontrol na hauwezi kufanya jambo bila wao.
Na
Winnie Kilemo
Hapo wameongelea wakati huoooo sijui ni lini ila kwa sasa tuliojitunza na kujua tunachotaka wala hatulilii ndoa znakuja zenyewe.Nimeambatanisha hapo kusisitiza hoja, lakini pia manguli wengi wa bibliani hawakuwa na mke mmoja, sijui unatushauri vipi Mtakatifu Anne.View attachment 1595626
Acha dharau wewe, mahari kitu gani ?, mahari ni dhiraa ambayo huridhiwa na watu tu, unapotaja gharama kubwa mpaka mtu anashindwa kulipwa hiyo inakuwa sio mahari bali biashara tena haramuKamwe usiolewe na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Sikuwahi kuona kwenye Biblia mwanaume aliyepewa mke bure.
Tena wengine mnajifanya kupenda sana, unalazimisha kuolewa na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Wengine mnaenda mbali zaidi na kuwasaidia kulipa hizo mahari.
Ukiona umemsaidia kulipa mahari usishangae na huko ndani akakuachia majukumu yote ya familia.
Kama unampenda msaidie mambo mengine lakini ikifika muda wa kulipa mahari hiyo ngoma mwache aicheze mwenyewe, ikimshinda basi huyo hakufai.
Kwanini hakufai?
Hakufai kwa sababu suala la kuoa siyo surprise ni suala la kujiandaa. Kama mchumba ameweza kununua mahitaji yake yote, atashindwaje kukulipia mahari!?
Binti nakwambia usije thubutu kujifanya unamsaidia mwanaume kulipa mahari, hilo ni lake. Ukimpa mahari ujue umejioa mwenyewe dada.
Na wale vijana mnaolipiwa mahari na wazazi wenu pia siwaelewi jamani. Usije ukashangaa mke anakuwa wa ukoo, wao ndiyo wanamcontrol na hauwezi kufanya jambo bila wao.
Na
Winnie Kilemo
Wapi kwenye Uzi nimeandika gharama kubwa??Acha dharau wewe, mahari kitu gani ?, mahari ni dhiraa ambayo huridhiwa na watu tu, unapotaja gharama kubwa mpaka mtu anashindwa kulipwa hiyo inakuwa sio mahari bali biashara tena haramu
Kamwe usiolewe na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Sikuwahi kuona kwenye Biblia mwanaume aliyepewa mke bure.
Tena wengine mnajifanya kupenda sana, unalazimisha kuolewa na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Wengine mnaenda mbali zaidi na kuwasaidia kulipa hizo mahari.
Ukiona umemsaidia kulipa mahari usishangae na huko ndani akakuachia majukumu yote ya familia.
Kama unampenda msaidie mambo mengine lakini ikifika muda wa kulipa mahari hiyo ngoma mwache aicheze mwenyewe, ikimshinda basi huyo hakufai.
Kwanini hakufai?
Hakufai kwa sababu suala la kuoa siyo surprise ni suala la kujiandaa. Kama mchumba ameweza kununua mahitaji yake yote, atashindwaje kukulipia mahari!?
Binti nakwambia usije thubutu kujifanya unamsaidia mwanaume kulipa mahari, hilo ni lake. Ukimpa mahari ujue umejioa mwenyewe dada.
Na wale vijana mnaolipiwa mahari na wazazi wenu pia siwaelewi jamani. Usije ukashangaa mke anakuwa wa ukoo, wao ndiyo wanamcontrol na hauwezi kufanya jambo bila wao.
Na
Winnie Kilemo