Kamwe usiolewe na mwanaume asiyeweza kukulipia mahari

Kamwe usiolewe na mwanaume asiyeweza kukulipia mahari

ila Mahari hizi ndo zinaletaga hasira, unatoa mahari halafu unakuta mke yupo bize na aki-flirt na wanaume wengine. Ooho! ndo chanzo cha mke kupata manundu kwa kipigo kunapoanziaga. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanamke usikubali kuolewa na mwanaume usiyempenda kisa tu Katoa Mahari, Maana TAHADHARI MBELE KUNA KONA KALI
Hayo ni madhara ya uzinzi.
Wanawake hadi wanajua radha tofauti ni kwa sababu nyie vitombi mlioanza kuwaonja kinyume na maagizo ya Mungu
 
[emoji23][emoji23] hutupendi vitombi eeh?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnapojionyesha miamba huko nje kumbuka na wanawake wenu wapo kufanyiwa mazoezi huko.

Ukitaka kuwa wa kwanza kwangu na wewe niwe wa kwanza kwako.
 
Mwenzio nalia [emoji24][emoji24][emoji24] Jamani Anne please, please! Mie kwangu nimeshakuweka wewe kwanza!
Jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza id nikishaiona tu kule kwenye masikhara Basi[emoji119]
 
Jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza id nikishaiona tu kule kwenye masikhara Basi[emoji119]
ID yangu haipo kule kwenye masikhara bana.
Anne, mwenzio ndo nishakuweka namba moja kwangu. Usifanye hivyo please😭
I have a feeling, You and i will be will be dazzling in front of the Saints. Starting with Saint Anne herself.😀
 
ID yangu haipo kule kwenye masikhara bana.
Anne, mwenzio ndo nishakuweka namba moja kwangu. Usifanye hivyo please[emoji24]
I have a feeling, You and i will be will be dazzling in front of the Saints. Starting with Saint Anne herself.
Yesu wangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Usijichoshe bure

Kama umemaliza kuchangia mada sema[emoji23]
 
Yesu wangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Usijichoshe bure

Kama umemaliza kuchangia mada sema[emoji23]
Huwa sipo serious Mkuu. Ukiwa online inabidi uzoee utani kama huo. Get used to it! Because online lifestyle, you will be encountering those kinda romantic jokes a lot. 😀😀 Utani huo bana.
Definitely ni wazi asilimia kubwa huwezi mpenda mtu online bila picha wala kumuona. ingawa love is blind.
But sometimes unaweza-wish kujua tu mtu anafanana vipi (appearance) based on their online comments (maoni).
 
Tafuta yanayokufavor uje unipinge
Haina shida kabisa...ila wanaume wa zamani walikuwa na akili..hawakuwa wajinga Kama wa Sasa.
Ko walideserve tu.

Ujinga wa wanaume wa sasa ndio uliotengeneza mabinti tulionao Sasa


Na hao wanaokuambia habari za mke zaidi ya mmoja nawaona tu wanavyobwabwaja hapa
Ndugu zetu waislam na kwa Imani Yao wapo sawa kabisa..walifwata msingi wa Ibram na Sarai...
Sarai kabla ya kuwa Sara alikuwa hapati watoto..
Sarai alimruhusu Ibram azae na Hajir mjakazi wake...akamzaa Ismail
Lakini baadaye ndo akaja kupata mtoto (Isaka) na Hajir akafukuzwa pale..

Lakini waislam wa Leo wanajiolea tu wake utadhani wanabubuna karanga..wanasomba tu bila kuzingatia utaratibu huo wa kuruhusiwa na wake zao


Mahari yako sitaki[emoji23][emoji23]
mambo gani ya kijinga ambayo wanaume wa leo wanayafanya?kuchepuka au
 
Tukiyafwata pia maandiko basi Hakuna mwanaume anayestahili kuoa.

Kwa sababu NENO linawahimiza muishi na wake zenu kwa akili,Sasa nyie akili mnatoa wapi wakati hamna hizo akili??
"Aziniye na mwanamke hana akili kabisa"
Si maneno yangu hayo bali ni ya MUNGU katika Mithali.

Msitegemee kuvuna ngano wakati mlipanda kunde.
hapo it means hata baba ako hana akili
 
Back
Top Bottom