Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
- Thread starter
-
- #681
Nyie ndio mliovamia dini na kuanza kuiharibu na kufanya watu waone hiyo dini ni mbaya kwa sababu tu ya wajinga waliomo.alaf inabidi ajue kuwa huwa hatuombi ruhusa kuoa mke wa pil au watat ila tunawapa taarifa tu..!!
Ngoja niwaonyeshe wanaume walivyo wanafiki.
Kuna uzi wangu humu niliandika kuhusu kanuni za uchumba salama,kanuni ya kumi niliandika "Usizini"
Wote walinirushia maneno.
Leo hawana haya kunyanyua midomo kuongelea bikra utadhani sio wao walikuwa wanasema"endelea kujidai unabania utajioa mwenyewe"
Sio hivyo tu hata asieweza kukupa hela wakati wa mahusiano yani anasubiri mpaka umuombe ww nae usiolewe naeKamwe usiolewe na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Sikuwahi kuona kwenye Biblia mwanaume aliyepewa mke bure.
Tena wengine mnajifanya kupenda sana, unalazimisha kuolewa na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Wengine mnaenda mbali zaidi na kuwasaidia kulipa hizo mahari.
Ukiona umemsaidia kulipa mahari usishangae na huko ndani akakuachia majukumu yote ya familia.
Kama unampenda msaidie mambo mengine lakini ikifika muda wa kulipa mahari hiyo ngoma mwache aicheze mwenyewe, ikimshinda basi huyo hakufai.
Kwanini hakufai?
Hakufai kwa sababu suala la kuoa siyo surprise ni suala la kujiandaa. Kama mchumba ameweza kununua mahitaji yake yote, atashindwaje kukulipia mahari!?
Binti nakwambia usije thubutu kujifanya unamsaidia mwanaume kulipa mahari, hilo ni lake. Ukimpa mahari ujue umejioa mwenyewe dada.
Na wale vijana mnaolipiwa mahari na wazazi wenu pia siwaelewi jamani. Usije ukashangaa mke anakuwa wa ukoo, wao ndiyo wanamcontrol na hauwezi kufanya jambo bila wao.
Na
Winnie Kilemo
Heheh we huwezi kutafuta hela itakuwa. Nyie ndio mnaogeuza mahusiano ajira 😝😝😝!!! Unaomba omba hela mpaka unachokwa mapema tu.Sio hivyo tu hata asieweza kukupa hela wakati wa mahusiano yani anasubiri mpaka umuombe ww nae usiolewe nae
Majukumu yote kwa mtu wa namna hii ukifika kwenye ndoa utayafanya pekeako
Nahisi kama maelezo yangu hujayaelewa mzee "mimi hua siombi nasubiri unipe ww mwenyewe as caring ujiongeze ww mwenyewe ujue kwamba nina mahitaj as mtu wako ni wajibu taking of meHeheh we huwezi kutafuta hela itakuwa. Nyie ndio mnaogeuza mahusiano ajira [emoji13][emoji13][emoji13]!!! Unaomba omba hela mpaka unachokwa mapema tu.
Baby yako Next Man anakusalimia sana![emoji23][emoji23][emoji23]Nyie ndio mliovamia dini na kuanza kuiharibu na kufanya watu waone hiyo dini ni mbaya kwa sababu tu ya wajinga waliomo.
Tafuta mahariWw dada usijidanganye hayo ni maelewano na makubaliano kati ya watu wawili waliopo kwenye mapenzi wengine hayawahusu.
Unaweza ukalipiww mahari na harusi ya mamilioni na hiyo ndoa isidumu mkaachana tu na unaweza kukuta wanaoishi tu bila ndoa ndio wanapendana kweli na kudumu. Mapenzi ni kama singeli kila mtu hucheza vile mrindimo ulivyomuingia, mapenzi hayana mtaalamu wa ushauri na wala hayana formula.
NB: Halafu kwnn wanawake wakiafrika mnajichukulia kama bidhaa, ulipiwe mahari kwani ni unanunuliwa kama bidhaa? Sasa hapo unakuwa na tofauti gani na bidhaa inayonunuliwa dukani? Bora basi hata ungekuwa bikra atleast ingeleta hata maana kidogo, lakini unakuta huyo mtu anayetolewa mahari huko nyuma ana kundi kubwa la wanaume aliopita nao na mbaya zaidi unakuta wengine bado ana uhusiano nao kwa siri.
Bora tu hizo mahari wangesema tu iwe special kwa wanawake mabikra basi na sio hawa wengine, ijapokuwa inashusha utu wa mwanamke!!!
Yule ambae akikuita "baby" huwa unaitika kwa sauti ya kiume badala ya kuitika kwa sauti ya mahaba![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio nani??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yule ambae akikuita "baby" huwa unaitika kwa sauti ya kiume badala ya kuitika kwa sauti ya mahaba![emoji23]
KabisaSio hivyo tu hata asieweza kukupa hela wakati wa mahusiano yani anasubiri mpaka umuombe ww nae usiolewe nae
Majukumu yote kwa mtu wa namna hii ukifika kwenye ndoa utayafanya pekeako
Wapi huko??Mahali imefanywa kua source of income
SidhaniUchaggani huku..
Yaani kupeleka blanket na jembe,vitenge na hela kidogo ndio useme walala hoi kazi tunayo??kwamba unataka upeleke nini?au unataka uoe bure?Kwa Hali hiyo walala hoi kazi tunayo[emoji849]