Kamwe usiolewe na mwanaume asiyeweza kukulipia mahari

😀😀 Win, wakati ww una sema ivyo na sisi wanaume tunasema katu usilipe mahari yote kwa mwanamke kanjanja lisilo jua majukumu yake
 
Mungu akubariki kwa ujumbe huu, hakika umenitia nguvu sana.
 
Wasoma Biblia wengi huwa wanafanya cherry picking.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…