Kamwe usiolewe na mwanaume asiyeweza kukulipia mahari

 
Inashangaza Sana kama watu wamegeuza mahari kuwa chanzo Cha kipato.
Lengo la mahari si hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu. Tumekusoma 🤓
 
Jamani punguzeni moto, mtamuua Winnie Kilemo...
 
Nyau tu wewe,
Baba alinilipia mahari,
Nikiwa naanza kazi kama mwl,
Sasa heshima iliyopo home kwetu pia maisha ninayompa mke wangu,
Ukwen Wanataman kuniongeza mke mwingine
 
Mkuu kwa hili bandiko wakubaliana nami kuwa hakuna kitu kinaitwa 50-50 aka feminism kwenye ndoa.
Kuhusu mahari, ni wajibu wa baba yangu kunilipia ila hawajibiki kwa chochote yeye na ukoo wake kuamua namna ya kuishi nae au kum-program
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…