Kamwe usiolewe na mwanaume asiyeweza kukulipia mahari

Huo u used umesababishwa na nini?
dah unauliza kwamba hujui?........


tazama, dunia hii hii, na nchi hii hii, na jamii hii hii, kuna mabinti wamejitunza na wakavuka kwa kishindo. do you think hao ambao hawajavuka salama wana any excuse?


kusema vijana/wanaume ndio wanawaharibu mabinti sio excuse ya binti kukubali kutumika!.....


ushauri wangu, kama umejitunza keep it, ukimsubiri mmeo, kama hujajitunza you better repent (God is faithfull will forgive you), then unamsubiri mmeo!.......
 
Hivyo ndivyo system iliwataka kufanya.
Siyo adhabu hiyo..kama ingekuwa adhabu basi angeacha tu.
 
Wahindi mwanamke ndie anaetoa mahari! Imekaaje! Hakuna anaestahili kulipa mahari, wote wametunzwa na wazazi wao. Ni kiasi tu cha kuachana na wazazi na kuambatana na mpendwa wako. Shukrani zitoka kwa pande zote mbili
Ni utamaduni wako.

Huku kwetu lazima mwanaume atoe mahari
Na ndiyo maana kuna mwanaume na mwanamke.. Hakuna wanawake tu
 
kama bikra ipo hakuna mwanaume atakaegoma kutoa mahari bt tatizo wengi wenu kwa sasa mmetumika sana
Mke wa bure hayupo.

Wanetumika kama tu jinsi nyinyi mlivyotumika
 
Mimi nayaelewa vizuri na purity ni kwa wote na si kwa mwanamke pekee.

Mahari lazima mtoe kwa sababu hata wanaume si wasafi!!
Sitetei uchafu Ila naongea kilichopo.

Kitu gani nimeongea nisicho na uhakika nacho?
 
Tunapaswa kuwaonya vijana wote wa kike na wa kiume kujitunza.
Na si kuwanyoshea vidole watoto wa kike tu.
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shida sio mahari shida ni mahitaji yanayohitajika kwenye hiyo mahari, Ng'ombe 3, wanini? shuka la ba mkubwa, lanini? Jogoo wa babu,wanini? Sufuria ya kilo 7 ya shangazi,yanini? Zulia la MAMA,la nini? na pesa taslim Laki 7.

yani ukiangalia mahitaji unaona wanacheza mule mule kwenye vitu vyao vya kila siku walivyoona vimeisha sasa,wanataka mimi niwanunulie,ki ufupi ni kwamba Mahari ni swala la mke na mume washirikiane (ikibidi) unamuachia kila kitu mwanaume ndio ndani ya ndoa ANAKUMILIKI haswa

maaana katoa hela yake,hujui katoa wapi mahari yako ukute alikopa,aliiba,nk halafu unataka aamke akute hamna chai mezani lazima mueleze kwa herufi kubwa kwann mezani hamna chai,kwann hujamuandalia nguo,nk Kakununua kwa hyo uwe tyr kuishi kama bidhaa ndani ya ndoa yako.
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila kweli
 
Yaani baba zao watoe mahari??
Mke wa hivyo huwezi kupata mkuu
Kwanini nisipate?chukua nafasi ya baba bint yako ameshazalishwa na mjukuu unalea wewe na kila ukiangalia kulia na kushoto dalili kwamba binti atatulia hakuna muda wowote unaona kabisa hapa atakuja mjukuu mwengine halafu anajichanganya kijana kwamba nataka nimuowe huyu......

Unadhani utakuwa na muda wa kuandaa vikao na kuita ndugu mkae chini mjadili kuhusu mahari?i swear japo hutatamka asante kijana akaisikia ila kimoyo moyo na Mungu wako lazima utajisemea “asante sana kijana”,kwanza bint aliyeshazalishwa hairuhusiwi hata kwa bahati mbaya kukaa kujadili mahari na kama mimi ndiye nayetaka kumuowa nikisikia habari hizo wakikaa wakasema toa hata 50,000/= sitoi navunja uchumba.

Kuna nini humo cha kutoa 50K,kachukueni kwa aliyemzalisha na kumtoa bikra.
 

Kulipiwa mahari na mwanamke huo ni upuuzi grade A. Ndo matokeo yake unaanza kupapaswa matter call kwenye mahusiano.... Hilo TUNAKUBALIANA

hilo la pili la mahari kutoka kwa wazazi ni mambo ya mila. Sisi kabila letu ng’ombe wa mahari lazima atole kwenye boma la baba sio la kwako

Vivyo hivyo na kuna maneno pale mshua anayasema anavyokukabidhi kwamba kama nilivyokuozesha wewe na wewe una jukumu la kuwalipia wanao mahari ukoo wetu ukue. So ni mambo ya taratibu tu. Ndomaana hata vikao vya kupanga mahari bwana harusi haihusiki, na pia kutokana na changamoto za kiuchumi unamkabidhi baba mahari ndo anayeenda kukutolea kama zake(Kama mshua apeche lolo)

NB: vyovyote iwavyo point yako bado inahold, kama mwanamke akiona mume/baba watoto mtarajiwa hana hata uwezo wa kujilipia mahari manaake ni kwamba huo uzao wenu watashindwa hata kuoa nao(Ni jukumu lake). na kikwetu unatengwa na wanaume wenzako hata pombe kilabuni unakunywa kwenye kibuyu cha kwako,sio cha wazee wote sumtym hata viboko utachapwa
 
Kuna dada zangu ambao wakiona usiku unaingia anaamua kujipigia Assit mwenye na kufunga anafunga mwenyewe na wapo wengi siku hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…