dah unauliza kwamba hujui?........Huo u used umesababishwa na nini?
Itabidi nawe usubiri dada zako wawe wnaelekea kuolewe then the cycle goes on and on.....
Hivyo ndivyo system iliwataka kufanya.Jacob alichunga Mifugo miaka mingi tu.....ili aoe,
Labban( kama sijakosea) akampa Dada wa binti aliyekusudiwa, Jacob akasema anamtaka chaguo lake lile lile,
Akaambiwa achunge tena mifugo ili apewe huyo anayemtaka.
Jumla ya miaka unaweza fika 10, alitumia kuchunga mifugo ili aoe.
Hii ni adhabu tosha.
Ni utamaduni wako.Wahindi mwanamke ndie anaetoa mahari! Imekaaje! Hakuna anaestahili kulipa mahari, wote wametunzwa na wazazi wao. Ni kiasi tu cha kuachana na wazazi na kuambatana na mpendwa wako. Shukrani zitoka kwa pande zote mbili
Mke wa bure hayupo.kama bikra ipo hakuna mwanaume atakaegoma kutoa mahari bt tatizo wengi wenu kwa sasa mmetumika sana
Endelea kumtafuta wa kujilipiaKama ni bikra basi mahari atapata,ila Kama ni used car atajilipia mwenyewe
Over
Mfukoni wapi?Kwa hapa zile kauli za haki sawa umezitia mfukoni [emoji3]
Mimi nayaelewa vizuri na purity ni kwa wote na si kwa mwanamke pekee.ila wewe unaongea vitu ambavyo huna uhakika navyo!
hivi awamu hii ya Magufuli unataka mahari kuanzia mil 2 unasema za kawaida? tena hapo bado mkaja wa mama, debe la mtama, mahindi, kuku, mbuzi, n.k n.k
kuhusu bikra mimi huwa sipendi kuongelea hili jambo, ila tafsiri ya mahari ni shukrani kwa wazazi wa binti kwa kumtunza binti yao vizuri, sasa kama binti hajatunzwa vizuri (sio bikra) unataka shukrani ya nini?
Saint Anne hivi unaelewa kwanini Mungu aliiweka bikra kwa mwanamke? au unaelewa kwanini Yesu alikaa kwenye tumbo la bikra?....... kama wewe ni mfuasi wa Kristo then unajua!
btw, mimi haya mambo ya bikra huwa sipendi kuyajadili sana,,,,,,........
Tunapaswa kuwaonya vijana wote wa kike na wa kiume kujitunza.dah unauliza kwamba hujui?........
tazama, dunia hii hii, na nchi hii hii, na jamii hii hii, kuna mabinti wamejitunza na wakavuka kwa kishindo. do you think hao ambao hawajavuka salama wana any excuse?
kusema vijana/wanaume ndio wanawaharibu mabinti sio excuse ya binti kukubali kutumika!.....
ushauri wangu, kama umejitunza keep it, ukimsubiri mmeo, kama hujajitunza you better repent (God is faithfull will forgive you), then unamsubiri mmeo!.......
Tembea uoneWapi huko wanataja mahari kubwa?
Una-discuss issue ya mahari,je huyo anayepaswa kutolewa hayo mahari anazo sifa za kukaa chini na washenga yakajadiliwa hayo.
Maana mabinti wengine wameshatumika kiasi mahari itabidi watoe baba zao na kuwapa asante wale vijana watakaosaidia kuchukua binti zao.
mwanamke anaetaka ndoa ya heshima lazima atunze bikra, akishindwa mara nyingi wanaangukia ndoa za kusogezanaMke wa bure hayupo.
Wanetumika kama tu jinsi nyinyi mlivyotumika
Alafu Unakuta Binti Hana Bikira ata Moja,, Hadi za masikioni wamezigua
Shida sio mahari shida ni mahitaji yanayohitajika kwenye hiyo mahari, Ng'ombe 3, wanini? shuka la ba mkubwa, lanini? Jogoo wa babu,wanini? Sufuria ya kilo 7 ya shangazi,yanini? Zulia la MAMA,la nini? na pesa taslim Laki 7.
yani ukiangalia mahitaji unaona wanacheza mule mule kwenye vitu vyao vya kila siku walivyoona vimeisha sasa,wanataka mimi niwanunulie,ki ufupi ni kwamba Mahari ni swala la mke na mume washirikiane (ikibidi) unamuachia kila kitu mwanaume ndio ndani ya ndoa ANAKUMILIKI haswa
maaana katoa hela yake,hujui katoa wapi mahari yako ukute alikopa,aliiba,nk halafu unataka aamke akute hamna chai mezani lazima mueleze kwa herufi kubwa kwann mezani hamna chai,kwann hujamuandalia nguo,nk Kakununua kwa hyo uwe tyr kuishi kama bidhaa ndani ya ndoa yako.
Kwanini nisipate?chukua nafasi ya baba bint yako ameshazalishwa na mjukuu unalea wewe na kila ukiangalia kulia na kushoto dalili kwamba binti atatulia hakuna muda wowote unaona kabisa hapa atakuja mjukuu mwengine halafu anajichanganya kijana kwamba nataka nimuowe huyu......Yaani baba zao watoe mahari??
Mke wa hivyo huwezi kupata mkuu
Ohoo Kumbe unasubiri ndoa ya kusogezanamwanamke anaetaka ndoa ya heshima lazima atunze bikra, akishindwa mara nyingi wanaangukia ndoa za kusogezana
Kamwe usiolewe na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Sikuwahi kuona kwenye Biblia mwanaume aliyepewa mke bure.
Tena wengine mnajifanya kupenda sana, unalazimisha kuolewa na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Wengine mnaenda mbali zaidi na kuwasaidia kulipa hizo mahari.
Ukiona umemsaidia kulipa mahari usishangae na huko ndani akakuachia majukumu yote ya familia.
Kama unampenda msaidie mambo mengine lakini ikifika muda wa kulipa mahari hiyo ngoma mwache aicheze mwenyewe, ikimshinda basi huyo hakufai.
Kwanini hakufai??
Hakufai kwa sababu suala la kuoa siyo surprise ni suala la kujiandaa. Kama mchumba ameweza kununua mahitaji yake yote, atashindwaje kukulipia mahari!?!
Binti nakwambia usije thubutu kujifanya unamsaidia mwanaume kulipa mahari, hilo ni lake. Ukimpa mahari ujue umejioa mwenyewe dada.
Na wale vijana mnaolipiwa mahari na wazazi wenu pia siwaelewi jamani. Usije ukashangaa mke anakuwa wa ukoo, wao ndiyo wanamcontrol na hauwezi kufanya jambo bila wao.
Na
Winnie Kilemo
Nielekeze nikaoneTembea uone
Kuna dada zangu ambao wakiona usiku unaingia anaamua kujipigia Assit mwenye na kufunga anafunga mwenyewe na wapo wengi siku hizi.Kamwe usiolewe na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Sikuwahi kuona kwenye Biblia mwanaume aliyepewa mke bure.
Tena wengine mnajifanya kupenda sana, unalazimisha kuolewa na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Wengine mnaenda mbali zaidi na kuwasaidia kulipa hizo mahari.
Ukiona umemsaidia kulipa mahari usishangae na huko ndani akakuachia majukumu yote ya familia.
Kama unampenda msaidie mambo mengine lakini ikifika muda wa kulipa mahari hiyo ngoma mwache aicheze mwenyewe, ikimshinda basi huyo hakufai.
Kwanini hakufai??
Hakufai kwa sababu suala la kuoa siyo surprise ni suala la kujiandaa. Kama mchumba ameweza kununua mahitaji yake yote, atashindwaje kukulipia mahari!?!
Binti nakwambia usije thubutu kujifanya unamsaidia mwanaume kulipa mahari, hilo ni lake. Ukimpa mahari ujue umejioa mwenyewe dada.
Na wale vijana mnaolipiwa mahari na wazazi wenu pia siwaelewi jamani. Usije ukashangaa mke anakuwa wa ukoo, wao ndiyo wanamcontrol na hauwezi kufanya jambo bila wao.
Na
Winnie Kilemo