Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,740
- 7,679
Yah hapo sawa[emoji1787][emoji1787]
Tuacheni wabongoo[emoji108][emoji108][emoji108]
Tunataka vitu
Sitaki tabu mie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah hapo sawa[emoji1787][emoji1787]
Tuacheni wabongoo[emoji108][emoji108][emoji108]
Tunataka vitu
Nasema hivi mahari inalipwa kwa mwanamke ambaye ni bikra Mosi hilo pili ukisoma bible waliolipa mahari hawakuoa mke mmoja. So jitathimin je ulifaa kulipiwa mahari kama ndo ingekuwa wewKwahiyo unataka kusemaje?
Upo tayari kubebelea vitenge,vikombe,vijiko,sahani,mablanket na mashati ya wajomba na mashangazi?[emoji23][emoji23][emoji23]Hapana sio mkinga
Tabu tuachie wenyewe[emoji23]Sitaki tabu mie
kwani mimi nimesema si la kweli?......Neno la MUNGU litasimama.
Mambo yote yatapita bali Neno litasimama...acheni kutaka kuhalalisha wake wengi kwa kisingizio hicho.
Hadi limeandikwa kwenye Bible ujue ni la kweli
Kwamba asiye na wazazi na ndugu alijilea pekeyake?kwani mapenzi tumeumbiwa sisi tuu? ntaoa asiekua na wazazi wala ndugu ilimrad tu nisitoe mahari.
kwanza mwanamke usikukubali kutolewa mahari maana utakua unauzwa kama KUNTA KINTE
Mambo ya mila na desturi hayo ndio hubariki ndoa [emoji16]Upo tayari kubebelea vitenge,vikombe,vijiko,sahani,mablanket na mashati ya wajomba na mashangazi?[emoji23][emoji23][emoji23]
Wenzenu huko juu wamelipinga hili swala.
sio kweli, basi tu watu wanazusha mambo!Mimi siamini ila lisemwalo yawezekana lipo[emoji23][emoji23]
Akija huyo sista wangu hapa sijui nitajificha wapi[emoji13]
mkuu una stress?Basi kama uko ndoani huyo mkeo ana hasara
Umehamia tena kwenye pombe??kwani mimi nimesema si la kweli?......
mimi nimeongelea purpose ya hilo Neno, je limekuja kwa mtu mahsusi au kwa jamii yote?...... kumbuka Paulo huyo huyo amesema maaskofu wasiwe watu wanaopendelea kulewa (je ana maana wanywe kidogo?)
Lisemwalo lipo ujuesio kweli, basi tu watu wanazusha mambo!
Huyo uliyemnukuu alilipiwa mahari kiasi gani?
Kuna wazee wakuda wanataja mahari ndefu utadhani wanataka kupata mtaji wa biashara...
Sijui kreti mia za bia, ng'ombe kumi, mbuzi sijui wangapi...
Mimi au wewe?mkuu una stress?
Afadhali wewe mkuu unaheshimu mila na desturiMambo ya mila na desturi hayo ndio hubariki ndoa [emoji16]
Nafaa kulipiwa mahari na wala hakuna mwanamke asiyefaa kulipiwa mahari.Nasema hivi mahari inalipwa kwa mwanamke ambaye ni bikra Mosi hilo pili ukisoma bible waliolipa mahari hawakuoa mke mmoja. So jitathimin je ulifaa kulipiwa mahari kama ndo ingekuwa wew
Nikuja piemu tupange lini nilete hayo mazagaAfadhali wewe mkuu unaheshimu mila na desturi
Bata wawili??Kwa kweli la kwanza ni mimi kuokoka.
La pili napambana nipate hata bata wawili nilete nikuchukue.
Hujataja kabila lakoNikuja piemu tupange lini nilete hayo mazaga