Kanali aliyetoroka sasa aipasua kichwa JWTZ. Halihitaji Kutangazia UMMA wamefikia Wapi!

Kanali aliyetoroka sasa aipasua kichwa JWTZ. Halihitaji Kutangazia UMMA wamefikia Wapi!

Huyu msemaji anasema kwa kujiamini sana,yaani eti katolea mfano kwa kusema"mfano vurugu zilizotokea pale bungeni polisi wangeshindwa tungeingia wanajeshi""
Hii kauli siipendi sana na ya kijinga na kujifaharisha pia kuwadhililisha askari polisi,inamana hao polisi wana nini na wanajeshi wana nini??aliepata mafunzo ya kutuliza ghasia ni polisi na sio Jwtz,sasa nashangaa sana kujitapa mbele za waandishi kujifanya ndio wananguvu zaidi au utaalamu zaidi,upumbavu mtupu,hamna kazi yyte kazi kula bure tu na kwenda kufanya kazi zisizokuhusuni,badala ya kulinda nchi yenu mnaenda nchi za wenzenu waliobobea vita na kuuawa tu,hamna mpya yyte mishahara mikubwa wakati hamna kazi yyte,afadhali ya hao polisi wana kazi za kila siku na hawalipwi vizuri.pumbavuuuuuuuu
 
kwahiyo bwana Lt.kanali inaweza akawa amesepa na launch codes za mambo yetu yaleee na manini na nini.duh Mungu saidia apatikane.i wont feel safe till he is found either dead or alive


yale yanayolipukaga yenyewe?
 
Hili silioni kama tatizo, jambo ambalo halizungumzwi ni uhusiano wa JWTZ na Gen Nzeyimana, hiki ndicho chanzo cha matatizo. Nzeyimana ni sehemu ya Interharamwe ambao walihusika na genocide huko Rwanda, halafu huyu mtu anaalikwa Tanzania na JWTZ kwa mazungumzo ili JWTZ wawe na usalama mashariki mwa Congo, wakipigana na M23. Usalama wa Taifa wanawajulisha Rwanda kuwa Nzeyimana yuko TZ. Nzeyimana akamatwa na Rwanda. Baadaye Kikwete anataka RPF wajadiliane na Interharamwe (ambayo waliua watutsi million moja na hawajaomba msamaha au kuonyesha nia ya kujutia walichafanya) na huyu askari anatoroka. Mimi ninafikiri kuwa:
1. Paul Kagame hatuelelwi tuna nia gani na Rwanda, kwa vile tunajadiliana na maadui zake, halafu tuamjulisha halafu tunafukuza watutsi huko Kagera, jambo linaloashiria kuwa tunaendana na sera za Interharamwe.
2. Kikwete alikosea kumwambia Kagame ajadiliane na FDRL kwa kuwa hawa FDRL kama wangeweza wangeendeleza sera yao ya mwaka 1994 ya kuua watutsi, mfano mzuri ni ule kwa kumwambia Moshe Dayan azungumze na Hitler, wapi na wapi? Hata Afrika ya Kusini makaburu walikubali kuwa wamekosea kabla upatanishi haukufanyika. Hili swala halikuwa limefikiriwa vizuri.
3. Sana sana huyo askari alikuwa 'mole' wa serekali ya Rwanda na amepeleka ripoti nyumbani ya yale yaliyozungumzwa na Nzeyimana. Vile vile kwa kuwa Nzeyimana yuko Kigali 'anaimba' labda ni muhimu taarifa anazotoa zikaonishwa na kile kilichopo kwenye kumbu kumbu za Military Inteligence za JWTZ.
4. Wote tuajua kuwa JWTZ wanaaleji ya kupoteza askari katika shughuli za kulinda amani, inawezekana kuwa kwasababu hizi shughuli zinalipa wanapendeleana lakini hawana mpango wa kuumia kazini, chanzo cha kuhitaji kujadiliana na Nzeyimana.
 
Kwani sababu ya yeye kutoroka jeshi ni nini????aliiiba au maana kuacha unono wa jeshi hivi hivi sio rahisi?/
 
Kumbe polisi wngeshindwa Bungen jamaa wangeenda na mavifaru pamoja na siraha zingine......duh yaan ata mbunge wangu angepigwa....lazima tungeandamana.

Jeshi la nchi husika linapokuwa na jukumu la kulinda usalama wa raia ndani ya nchi tafsiri yake ni kuwa jeshi ndio wanatawala nchi; hivyo kama JWTZ ingekwenda bungeni maana yake jeshi lingekuwa limepindua nchi!!!
 
Sijawahi kumuona msemaji wa jeshi hovyo kama huyu jamaa, jamaa hajipangi katika mazungumzo... Anakurupuka tu na kujitapa. Hata ukimtizama jinsi anavoongea hana ike displin ya ki afsa. Ni kujitapa tu na kujifutua. Ndio maana anaongea mambo yasiyo na mantiki kama vurugu za bungeni eti polisi wangeshindwa wangeingilia kati. Hakuna kitu ambacho kinanikera kama kauli za namna hii. Nijuavyo mimi kila taasisi ina taaluma zake. Jwtz ina taaluma zake na police wana za kwao.haipendezi kwa msemaji wa jwtz kujionyesha wanajua kila kitu kuliko taasisi nyingine ya serikali kama jeshi la polisi
 
nakumbuka ndo huyu huyu komba aliyesema kuwa taarifa za jeshi letu kule drc zitakuwa zikitolewa kila baada ya siku 14!ukilaza tabu kwelikweli !
 
Huyo msemaji wa Jeshi aache Sanaaa. Hivi nyini JWTZ si mna vyuo vyenu, sasa huyo mmemtoa wapi?

Hivi jeshi likatulize virugu bungeni hii inaingia akilini kweli. Polisi watakuwa wameshindwaje hapo. Wabunge wenyewe wapo wangapi na polisi wa dodoma wapo wangapi pamoja na zana zao za kazi

Lt. Kanali ni mtu mzito sana katika front line za kivita hivyo lazima wangwaye kwa kutoroka kwake. Hata hivyo sijawahi kusikia kitu kama hicho katika histori ya jeshi la Tanzania kwa sinior officer wa jeshi kutoroka.
 
Nasubiri tarehe 24 nipate update za lt aliyetoroka,na huu ni umbumbu mbu wa JWTZ mnamjua kama si raia na kujidai kumfuatilia badala ya kuchukuahatua kwa data na intellegencia ya taarifa mlizonazo.
 
Juma Mboto, Naomba unijibu mambo haya 1. nani alipindua ile ndege iliyomuua rais wa Rwanda.
2. je asingekufa yule rais yangetokea mauaji ya araiki?
3. kufanya mazungumzo na wahasi kuna shida gani?
4. watusti wangapi wamehukumiwa kutokana na hayo mauaji ya kimbali?
Shida watusti ni wabinafsi sana.
 
Halaf bado tunaleta wanyarwanda waje wawe IT wetu?vichwa vyetu vizima kweli?
 
Waseme haonekani.

Katoroka kwani alikuwa jela?

Basi waseme katoroka kivipi, kavunja ukuta?
 
Back
Top Bottom