Buyaka
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 1,705
- 1,953
Old chesnut.
Nilidhani ni habari mpya.
Habari yenyewe hai make sense, Msemaji wa Jeshi anasema habari hii anaiogopa, anauliza kama waandishi hawaiogopi.
Waandishi uchwara wa MTANZANIA nao wanaripoti kwamba kabla ya kukamatwa mwanajeshi alikuwa chini ya darubini ya makachero wa JWTZ. Hawajiulizi wala hawaulizi kwa nini Mwanajeshi alikuwa spied on.
Na ametoroka vipi wakati yuko under
surveillance.
Na alikuwaje na access na sensitive material kama alikuwa red flagged.
Na alitoroka vipi na sensitive material kama alikuwa tailed muda wote.
Ridiculous public relations effort by the Tanzania military and no less ridiculous coverage from our crummy press.