Kanali aliyetoroka sasa aipasua kichwa JWTZ. Halihitaji Kutangazia UMMA wamefikia Wapi!

Soma hapa ili ujue zaidi kuhusu hii habari:
Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini!
Old chesnut.

Nilidhani ni habari mpya.

Habari yenyewe hai make sense, Msemaji wa Jeshi anasema habari hii anaiogopa, anauliza kama waandishi hawaiogopi.

Waandishi uchwara wa MTANZANIA nao wanaripoti kwamba kabla ya kukamatwa mwanajeshi alikuwa chini ya darubini ya makachero wa JWTZ. Hawajiulizi wala hawaulizi kwa nini Mwanajeshi alikuwa spied on.

Na ametoroka vipi wakati yuko under
surveillance.

Na alikuwaje na access na sensitive material kama alikuwa red flagged.

Na alitoroka vipi na sensitive material kama alikuwa tailed muda wote.

Ridiculous public relations effort by the Tanzania military and no less ridiculous coverage from our crummy press.
 
Atakamatwa tu, kwa utawala wa magufuli kila kitu chawezekana
 
Mk
Mkuu, mambo vipi, upo?
 
zingatia: uzi ni wa mwaka 2013. hii ni kw wale member wapya wa jf.
 
Hata marehem mtikila slishaeleza kagame kapenyeza watu elfu35 wakampuhuza kalibu nusu ya wanajeshi ni wanyalwa wajumbe wa neki ya ccm wamejaa baazi ya mawaziri na tahasisi nyeti wamejaa alafu leo mnajitapa kuwa mnauwezo wa kpigana na RWANDA nchi ilishatekwa siku nyingi matanzania yamekalia yanga na simba na kubeti

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…