kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Ameishi maisha mazuri na marefu vizuri hapa duniani. Akale starehe za Peponi pia kama itampendeza Mola, amina.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule mkubwa au yule wa mwisho?Alikuwaga na ka binti kazuri kazuri.
Mpe mzee pole sana avumilie tu Dunia ni mapito sote tunapita.[emoji22] duh rafiki wa baba yangu.
Tunatoka Tarafa moja.Kaka wa Kibosho RIP
Poleni sanaTunatoka Tarafa moja
Asante kwa niaba ya familiaPoleni sana
Nimescreen shot nikamtumia mzee, alifanya nae kazi kwa muda mrefu sanaMpe mzee pole sana avumilie tu Dunia ni mapito sote tunapita!
Asiwaze sana maana hili jambo hakuna mwenye uwezo kulipinga🤔
AhaaAlikuwaga na ka binti kazuri kazuri.
RIP Commander!!Ohooo RIP Kanali
Poleni sana wafiwa
Muhimu sana watu wengi ambo hufiwa na marafiki wao wengi sana bila watu kujuwa huanza kupata matatizo ya moyo pressure kwa kuwaza rafiki zao walio tangulia!Nimescreen shot nikamtumia mzee, alifanya nae kazi kwa muda mrefu sana