Kanali Ghadaffi na Tanzania

Na ukumbuke pia huwa wanabaki na kopi za structure kwani ukiingalia filam ya "The raid to Entebe", '90 minutes to Entebe' walitumia ramani ya ujenzi ambao ndiyo wao walikuwa wajenzi na kuondoka na mateka wao kule Entebe.
.
Waisrael wakijenga, sio kwamba wanabaki na copy, bali wanaondoka na original, na hawakuachii copy ili ya maeneo muhimu ili major service uwaite wao tuu.

Ndio waliojenga Kilimanjaro na 77 Hotels, hawakuacha ramani muhimu za umeme na maji, mpaka leo 77, wanashindwa kuikarabati. Jamaa aliewekeza Kempinski alifumua kila kitu na kutandika upya.
 

Nikiwa familiar ktk extent fulani kwenye mambo ya ujenzi na contracts zake, kwa ukweli kabisa haya madai unayoyaleta hapa ni ya kushangaza!

Ukiwa kama client unapoingia mkataba na consultant au mjenzi, ni shurti the entire consideration na schedules zake ziwe ktk maandishi. Sasa kama wewe client hukuwa makini ujue imekula kwako. Kama hukuandikishiana kupewa makabrasha ya mradi baada ya mradi kukamilika ni wazi mjenzi au consultant hana obligation ya kukupa, na ina mpa fursa ya kuendelea kula kwako kwa uzembe wako client na timu yako.

Hivyo kimsingi hoja yako ni VOID.
 
.
Nashukuru angalau kumbe uko familia na mambo ya ujenzi na contracts zake, nimeleta madai ya kushangaza, hivyo ni VOID!.

Swali ni dogo tuu kwako, ramani waliacha au hawakuacha?. Mimi nimezungumzia the end results, hazipo and this is a fact!. Void ni mimi niliyetoa facts hazipo, ama anaejua mkutaba unaosema ziwepo ili hali hazipo?
Which is which?
 

Nway sina muda wa petty discussions hata hivyo nitakusaidia kwa mara ya mwisho. Quick recap, Wewe umekuja na generalization kuwa Waisrael huwa hawaachi kopi etc na ukaenda kutoa specific examples za Kempinsky na 77.
To be precise maneno yako ni haya.

Waisrael wakijenga, sio kwamba wanabaki na copy, bali wanaondoka na original, na hawakuachii copy

Hii sentensi imekaa kikijiwenikijiweni hivi, haina nafasi ktk fani muhimu kama ujenzi.


Nikakuelewesha kuwa ujenzi waenda kwa mikataba. Muulize mdau yeyote wa mambo ya ujenzi atakwambia the same. Hivyo chochote kinachotokea wakati wa ujenzi na baada ya ujenzi kinaamuliwa based on mkataba. Na hapo ndio hoja yako inapokuwa VOID kwa sababu kama hakumkukubaliana jambo fulani ni wazi huna haki ya kulidai. Na kama mlikubaliana na upande mmoja hautelekelezi hapo ndo mnahamia kwenye vyombo vya maamuzi, huko mbele ya pilato.

Natumai nimeeleweka.
 
.
Kwa kuanzia, nakiri, mimi ni mtoto wa kijiweni.
Hoja yangu ni pure simple fact kwamba Hawakuacha ramani!. Maadam ramani hazipo, hoja yangu ni still valid na sio void, unless uproove otherwise.
Hapa nasungumzia materials, physical documents, wewe unaniletea theory ya mikataba ya ujenzi.
Nakuuliza tena na tena, ili kukusaidia jibu ndiyo, hapana au sijui
Unajua zilipo ramani za ujenzi wa Kilimanjaro Hotel na 77 Hoteli?.
 

Bwa ha ha..hoja zikiisha vinabakia vioja. Sina haja ya kujibu hayo maswali ya chekechea, nawaachia wanasiasa kama wewe. Nimekupa tool ya kuapproach hili tatizo na kulielewa source yake.

MIKATABA na MAKABRASHA YA MIRADI (kama yapo). Hii ndio lugha ya parties ktk miradi ya ujenzi. Hakuna siasa wala maneno ya kijiweni.

Nimekupa tool hiyo, wewe bado unarukaruka tu na bado hujapata clue. Kama nilivyosema, there will be no encore. I'm out.
 
Gadaffi ni mnafiki tu....angalia sasa hivi anataka apewe mwaka mwingine aendelee kuwa mwenyekiti wa AU? Sijawahi kuona ktk nchi za afrika rais anaomba aendelee kuwa mwenyekiti wa AU/OAU tangu enzi, je yeye ana ajenda gani? Kama siyo udini, tayari Tunisia wanasema wanamsupport aendelee, kwa nini??

Kwanza kikwete anatutia hasira kwa nini hafungui ubalozi Israel???
 

Wewe hujawa na hutokuwa mwanajeshi ndo maana unasema hayo, ulitaka waanzishe uasi jeshini ili wauawe?? Kazi ya askari ktk jeshi ni kutii amri ya kamanda basi.

Sasa wakati huo jeshi lilikuwa la wakoloni na wale waliajiriwa kama akari na walilipwa mshahara si kwamba walitumikia jeshi bure. kama ni ukoloni hata wamamrekani, wafaransa nao waliwahi kutawaliwa sema tunatofautiana miaka ambayo tulitawaliwa.

Ethiopia haikutawaliwa na wakoloni je leo wako wapi?
 

Mimi nazani kunakitu ambacho Makonde ajajibiwa lakwanza ni kuhusu uhusiano wa tanzania na israel na hasa ubalozi, sikumbuki ila ni kweli tulikuwa na uhusianio na nchi kama zimbabwe, south africa na zingine zilizokuwa zina kandamiza watu wengine? nadhani jibu ni hapana kwahiyo atuwezi kuwa na uhusiano na israel kihivyo wakati awa jamaa ni wakandamizaji. Na mimi siamini ujenzi wa kilimanjaro ni mchango mkubwa kwa watanzania atukuhitaji hiyo 77 wala kilimanjaro wakati huo, tulihitaji Tazara, Viwanda, Barabara zaidi ya yote shule kama RUVU na zinginezo na si hotel ambayo miaka ya tisini WATU WANAKUFA MUHIMBILI KWA MGOMO WA MADAKTARI RAISI YUPO KILIMANJARO ANAANGALIA VIUNO VYA BONGO MAN.
 

Ktk larger picture, hoja yangu ilikuwa kwamba waafrika lazima tutafute identity yetu, tujitambue na kutafuta majibu ya maswali yetu ya kiuchumi na kijamii, na kubeba misalaba yetu badala kubeba misalaba ya waarabu, wazungu au mayahudi, ambayo haituhusu. Period.

Mfano wa hao wanajeshi waliokuwa bega kwa bega na majeshi ya kikoloni ni mfano wa jinsi tulivyo wavivu wa kufikiri, na mpaka leo tunaadhimisha sikukuu ya mashujaa wa vita isiyotuhusu, ndivyo tulivyo.
 
Afungue ubalozi wanini..? We have no strategic interest in a country that is very powerful but would mean that we compromise morality to accommodate their appalling practice of what has been objectively described as apartheid. It is a simple matter that Israel is generally an illegal state that bases its existence on a bronze age mythology. Apparently their God gave that land to them many years ago but also decided that they will suffer at the hands of the Romans (maybe that was the devil...lol) before being exterminated in part and then miraculously, by making use of western shame, expel the inhabitants and take the land by gunpoint. Then of course the idea was to build a massive military and lobby pro-israel in Washington, London, and all other EU and world powers. The idea was to build 200 nuclear warheads assisted by France and the US (in secret... [ame]http://www.youtube.com/watch?v=KMvawO51PiM[/ame] ) Why would you need 200 atomic bombs..? That is a shame.. it is a shame from a shameful warmongering state that abuses human rights.

As far as I know, we have intelligence links but even Nyerere knew and understood that the legitimacy of the Israeli state is very shaky and based on some religious beliefs that are unsubstantiated. According to some historians, the Kingdom of Israel and Judah under Solomon was a small city state. No evidence exists of the pre-Roman Kingdom that they hyperbolically exaggerate in their claims for legitimacy.

In short, hawa watu ni wanyama tuu. They do not care about anyone else aside from themselves apparently because the God of Israel or only true god only recognizes them since they are the chosen people (sorry to all those mnaojipendekeza). Tanzania needs to get over religion and divisive politics. We need to build a nation of science and the future, not some bullcrap from thousands of years ago, based on bronze age ideas. It is the 21st Century, tuamke. (Badala yakufikiria how our engineers can come up with a solution to water problems in agriculture, watu wanapiga magoti nakuomba mvua, ikija inasababisha mafuriko, alafu mnamlaumu Gadaffi kwa kutoa misaada. Angalia ramani ya Africa and tell me which country is surrounded by more water alafu uniambie kwanini tunashindwa kulima chakula chakulisha the entire region! Njaa ni majaribu ya Mungu...mafuriko pia.. Wake up, God does not take daily duties in controlling the weather.. Tusiwe wajinga.. Tubadili fikra.)
 
Kinyambiss bora niwe na Mjew kuliko Mwarabu.
 
Are you a goat mpaka uwe na mtu yeyote? Kwanini watanzania tusiwe na watanzania. We need to think about us. Do you think anyone cares about Africa au Tanzania. Arabs hate other arabs, Judaism in particular is, like all other middle eastern religions, a re-run of Egyptian religion and before that Sumerian and Babylonian. For me to believe and base my morality on ancient myths would be like believing the world is flat.lol. We need to focus on us and stop all this religious and racial profiling. We need to think about Tanzania and East Africa and what we need to do in the next 50 years. We need science academies not synagogues et al.
 
Ningependa Tanzania ambayo haipokei chochote toka nje.Kama nchi rafiki zitaamua that is good!Mwarabu atakupa msaada kwa kukujengea misikiti kibao,Mje technical assistance,hiyo ni fact kwa tanzania miaka mingi sasa!
 
Gadafi = sadam = osama = hamadnejad = bush = blair = mugabe = museven nk
 
Mhh, mshaanza ya Udini!

Je mbona Vatican haijasaidia lolote eneo lililokumbwa bna mafuriko ambalo lina Wakristo wengi?

Mbona hata makanisa ya ndani na nchi za "Kikiristo" hazijaamka na kuisaidia Tanzania?

Wait a minute, tunamchukia Ghadafi kwa kuwa ni Mwarabu, Muislamu au kwa kuwa alisaidia adui wakati tukiwa katika vita?

Mbona hatujakataa misaada yake yote tangu tumalize vita na Uganda?
 

Baeleze rev.
 
REv Kishoka naona umemuunga mkono Tumaini ambaye ni muislamu anasupport suicide bombers,anataka Zenji yake,na Waarabu wake ndio anawahusudu kuliko mtu yoyote.

Tumaini,kama Wazenj wengi huko UK,wamejilipua ,lakini bado wanaenjoy benefit za Mzungu,lakini hawana shukrani.Nasema siwezi kumhusudu Mwarabu !
Tumaini kama uko passionate na Palestine kajilipue huko uuwe Majew,uenda mbinguni kwa Allah wako.Au kajiunge na Al Shabaab.

Fact ni kwamba rafiki yako Ghadaffi alimpa mwislamu mwenzako msaada wakati alituzamia Tanzania.Target ilikuwa hata Bugando hospital,ambapo Wajew waliijenga.
Idd Amini alistaafu kwa Wasaud,ambao wamekujengea misikiti mingi Tanzania.

Watanzania tuslikubali Islamisation,otherwise tutakuwa kama Pakistan,Iraq,Iran etc.
 
Mmakonde,

Unataka niambia katika Historia ya Ukristo hapajawahi kufanyika vitendo vya kifedhuli na umwagaji damu ambako ni kinyume na mafundisho ya Mungu katika kampeni ya kusambaza Ukristo?

Je Ukoloni ulipoingia Afrika na kuanza kuchoma watu moto na kuwapeleka mateka utumwani kwa Jina la Mungu au Ubaguzi wa Rangi kwa Jina la Mungu na Yesu, nako tusemeje?

Au ulimbukeni ni kuona kibanzi kwa mwenzako lakini ukungu wa boriti kwenye jicho lako huuoni?
 
ungetangulia kuwatuliza wale Wapalrstina waache kuwarushia mawe Waisrael wenye siraha kali harafu tuone, heeee heeee huwezi zuia mvua hata kama huipendi, hakuna mtu mwenye aridhi duniani Mnyaaz M'ngu hakumwekea mipaka mwanadamu ya kuishi,
hakuna mpaka wa waarabu, wahindi, wazungu wala waafrika hii imekuja kutokana na akili zetu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…