Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
.Na ukumbuke pia huwa wanabaki na kopi za structure kwani ukiingalia filam ya "The raid to Entebe", '90 minutes to Entebe' walitumia ramani ya ujenzi ambao ndiyo wao walikuwa wajenzi na kuondoka na mateka wao kule Entebe.
Waisrael wakijenga, sio kwamba wanabaki na copy, bali wanaondoka na original, na hawakuachii copy ili ya maeneo muhimu ili major service uwaite wao tuu.
Ndio waliojenga Kilimanjaro na 77 Hotels, hawakuacha ramani muhimu za umeme na maji, mpaka leo 77, wanashindwa kuikarabati. Jamaa aliewekeza Kempinski alifumua kila kitu na kutandika upya.