Kanali Martini Mkisi kweli maisha ni gwaride

Kanali Martini Mkisi kweli maisha ni gwaride

Masamila

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2014
Posts
6,490
Reaction score
7,422
Upo usemi kuwa maisha ni kama Gwaride wa kwanza anaweza kuwa wa mwisho na wa mwisho akawa wa kwanza hii yote inategemea gwaride limeamrishwaje

Wiki tatu zilizopita update ni kuwa Martin Mkisi bado yupo kwenye ukanali tangia mwaka 2015

Tarehe 31 August mwaka 2016 Mbuge alikuwa na cheo cha luteni kanali akiwa CO Ruvu katika tarehe hiyo Mkisi alikuwa ni DC Kasulu akiwa ni kanali Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Ndalichako afunga Mafunzo ya Vijana kwa Mujibu wa sheria Ruvu JKT

DC KASULU NA KAMATI YAKE YA ULINZI NA USALAMA WAFANYA OPERESHENI KUKAMATA MAJANGILI NA WATEKAJI

Yaani kwa kifupi ni kwamba katika Uafisa mkuu jeshini Martin Mkisi ni senior kwa Mbuge ila ndio vile tena maisha Gwaride Mbuge kapandishwa haraka haraka na Mkuu wa kaya jiwe

Leo Mbuge yuko ngazi mbili juu ya Martin Mkisi cha kuumiza zaidi Mkisi na Mbuge walikuwa kituo kimoja cha kazi pale Mgulani huku Mkisi akiwa ni mkubwa wa Mbuge

Mkisi kurudi kuwa mkubwa kwa Mbuge ni kama haiwezekani, possible scenario ni labda Mkisi afike kwenye uluteni jenerali wakati huo Mbuge akishindwa au akichelewa kufika kwenye uluteni jenerali na jeshini techinically cheo cha mwisho ni meja jenerali na hakuna uhakika kama Mkisi atafanikisha angalau kufika kwenye ubrigedia
 
Kumbe jamaa ni Dully Sykes aka Mr Misifa hahahaa!!
Akiingia kwenye pindi au kama anahutubia
Anaanza kuzungumzia familia yake kwanza.

Familia yangu yote hakuna mwenye Degree, ni masters kwenda juu,
Mimi na mke wangu tuu kitanda chetu kinalaliwa na degree 4.
Nina pesa mbwa haruki,
Mkuu wa shule kubwa kabisa Tz na east africa,
Mwanajeshi pekee handsome na aliyesoma...
Ukiona gari yangu inapita manzese ujue imeibiwa, toa taarifa,
Nalipwa mshahara na Jeshi, Shule na vyuo.

Hapo hajazungumzia magari,
Hajataja sifa za mwanae,
Hajataja backgroud ya kwao....

Hahaa anyway ni mtu poa na smart sana, hayo mengine ni mambo binafsi
 
Akiingia kwenye pindi au kama anahutubia
Anaanza kuzungumzia familia yake kwanza.

Familia yangu yote hakuna mwenye Degree, ni masters kwenda juu..
Mkuu wa shule kubwa kabisa Tz na east africa,
Mwanajeshi pekee hendsome na aliyesoma...
Hapo hajazungumzia gari,
Hajataja sifa za mwanae,
Hajataja backgroud ya kwao....

Hahaa anyway ni mtu poa, hayo mengine ni mambo binafsi
Na anapesa chafu...
 
Akiingia kwenye pindi au kama anahutubia
Anaanza kuzungumzia familia yake kwanza.

Familia yangu yote hakuna mwenye Degree, ni masters kwenda juu..
Mimi nina pesa..
Mkuu wa shule kubwa kabisa Tz na east africa,
Mwanajeshi pekee hendsome na aliyesoma...
Hapo hajazungumzia gari,
Hajataja sifa za mwanae,
Hajataja backgroud ya kwao....

Hahaa anyway ni mtu poa, hayo mengine ni mambo binafsi
Duuh, ni muhaya?
 
Ni kawaida kwenye maisha hasa hasa ya ajira serikalini. Leo wewe ni mkurugenzi wa wilaya, kuna kijana ofisini kwako kwajitoa ufahamu kaenda kugombea ubunge, kapata na kabahatika uwaziri TAMISEMI ndio ashakuwa bosi wako tena.

Uwe Bakhresa tu ndio utaendelea kuwa bosi mpaka utakapochoka mwenyewe au shughuli zikushinde
 
Duuh, ni muhaya?
Hahaaa hata sijuii...
Hizo ni baadhi ya kauli zake tuu, Ashawahi vunja simu ya thamani mbele ya wanafunzi kuonesha ana hela..

Anakuambia kwenye friji yangu hakuna kinywaji cha chini ya 200,000

Mwanagu wa darasa la tatu anakuzidi hicho ulicho present.

House girl wangu lazima awe na degree

Yaani jamaa ndio maisha yake hayo..
Fanya ufanyavyo usije ukaingia kwenye anga zake,
Kinyume na hapo hana shida na wewe.

Ila kiukweli ni very smart kichwani na ni kiongozi mzuri sana...
 
Hahaaa hata sijuii...
Hizo ni baadhi ya kauli zake tuu, Ashawahi vunja simu ya thamani mbele ya wanafunzi kuonesha ana hela..
Anakuambia kwenye friji yangu hakuna kinywaji cha chini ya 200,000

Mwanagu wa darasa la tatu anakuzidi hicho ulicho present.

Kitanda changu kinalaliwa na degree nne..
Zangu mbili na za mke wangu mbili

Ninalipwa mshahara na Jeshi, Shule na vyuo,

Ukiona gari langu linapita manzese ujue limeibiwa...

Yaani jamaa ndio maisha yake hayo..
Fanya ufanyavyo usije ukaingia kwenye anga zake,
Kinyume na hapo hana shida na wewe.

Ila kiukweli ni very smart kichwani na ni kiongozi mzuri sana...
Lakini ana udhaifu mkubwa sana.
Hana kifua kabisa cha kuhifadhi mambo
 
Hahaaa hata sijuii...
Hizo ni baadhi ya kauli zake tuu, Ashawahi vunja simu ya thamani mbele ya wanafunzi kuonesha ana hela..
Anakuambia kwenye friji yangu hakuna kinywaji cha chini ya 200,000

Mwanagu wa darasa la tatu anakuzidi hicho ulicho present.

Kitanda changu kinalaliwa na degree nne..
Zangu mbili na za mke wangu mbili

Ninalipwa mshahara na Jeshi, Shule na vyuo,

Ukiona gari langu linapita manzese ujue limeibiwa...

Yaani jamaa ndio maisha yake hayo..
Fanya ufanyavyo usije ukaingia kwenye anga zake,
Kinyume na hapo hana shida na wewe.

Ila kiukweli ni very smart kichwani na ni kiongozi mzuri sana...
Kipindi yuko mafinga alikua anajisifu kwamba alipata cheo kikubwa jeshini akiwa na umri mdogo tu sikumbuki alitaja miaka mingapi.
 
Ni kawaida kwenye maisha hasa hasa ya ajira serikalini. Leo wewe ni mkurugenzi wa wilaya, kuna kijana ofisini kwako kwajitoa ufahamu kaenda kugombea ubunge, kapata na kabahatika uwaziri TAMISEMI ndio ashakuwa bosi wako tena.

Uwe Bakhresa tu ndio utaendelea kuwa bosi mpaka utakapochoka mwenyewe au shughuli zikushinde
Kanuni yangu ni hii;
"Train yourself to be a boss"
 
Hahaaa hata sijuii...
Hizo ni baadhi ya kauli zake tuu, Ashawahi vunja simu ya thamani mbele ya wanafunzi kuonesha ana hela..

Anakuambia kwenye friji yangu hakuna kinywaji cha chini ya 200,000

Mwanagu wa darasa la tatu anakuzidi hicho ulicho present.

Kitanda changu kinalaliwa na degree nne..
Zangu mbili na za mke wangu mbili

Ninalipwa mshahara na Jeshi, Shule na vyuo,

Ukiona gari langu linapita manzese ujue limeibiwa...

House girl wangu lazima awe na degree

Yaani jamaa ndio maisha yake hayo..
Fanya ufanyavyo usije ukaingia kwenye anga zake,
Kinyume na hapo hana shida na wewe.

Ila kiukweli ni very smart kichwani na ni kiongozi mzuri sana...
Yah yuko vzr sana
 
Back
Top Bottom