Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amezimwa Kama Taa[emoji3]yaani kama masihara vile jamaa kapitwa kama kasimama
Ukiona gari langu linapita manzese ujue limeibiwa...Hahaaa hata sijuii...
Hizo ni baadhi ya kauli zake tuu, Ashawahi vunja simu ya thamani mbele ya wanafunzi kuonesha ana hela..
Anakuambia kwenye friji yangu hakuna kinywaji cha chini ya 200,000
Mwanagu wa darasa la tatu anakuzidi hicho ulicho present.
Kitanda changu kinalaliwa na degree nne..
Zangu mbili na za mke wangu mbili
Ninalipwa mshahara na Jeshi, Shule na vyuo,
Ukiona gari langu linapita manzese ujue limeibiwa...
House girl wangu lazima awe na degree
Yaani jamaa ndio maisha yake hayo..
Fanya ufanyavyo usije ukaingia kwenye anga zake,
Kinyume na hapo hana shida na wewe.
Ila kiukweli ni very smart kichwani na ni kiongozi mzuri sana...
ucommandant pale TMA mtu rank zinajibu
aliekuwa commandant pale TMA anaitwa Masao sio Masawe ingawa majina yote ya kichaga
Masao ingekuwa sio haki kutompa three stars wakati ni Senior kuliko hata Mabeyo au Huyo COS
Mabeyo ni four stars sio three starsMimi bhana katika kukalili majina aisee siko vzr ila najua ni mchaga. Ok any way..afu nikulize kitu ivi kwann mkuu wetu wa majeshi ana 3 star na wala co 4 star mana ukiangalia rank za kijeshi kwa jumuiya ya NATO maJeneral wengi wa nchi izo wana 4 star au 5 Star why cc kwetu ana 3 star au kuna vigezo wangalia baadhi ya nchi...???
Myala ni full colonel halafu nilikuwa sijui kuwa yuko peace sana maana kuna dogo katoka RTS juzi kati ananisimulia kuwa Myala nae ni mnaa
Mabeyo ni four stars sio three stars
Na zaidi amaepiga degree yake Russia huyo lazima ujeneralj Ni fate yakeJiwe bwana dah yaani watu wa form six 2014 washakula ukapteni dah
huyo mdogo wako lazima atafika juu sana kama hajafika hata miaka 30 tayari ni kapteni
Na zaidi amaepiga degree yake Russia huyo lazima ujeneralj Ni fate yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Yah ni makosa sana aiseehuwa wanakosea kuchapa zile kofia
makosa ya maQuarter master hayo
siku moja niliona meja je rali mmoja kavaa hat ina four stars badala ya two stars
hapo haikwepekiNa zaidi amaepiga degree yake Russia huyo lazima ujeneralj Ni fate yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila Ni Jambo zuri mkuu jeshi lijae vijana sio wazee wazee ambao hata vitani hawaendi hata wakiende battlefield hawagusi Kama sio Frontline .hapo haikwepeki
Ndio jiwe awe anashauriwa sasa kuwa vyeo jeshini havigawiwi kiholela holela sasa huyo dogo miaka hajafika hata thelathini ila ana cheo cha kepteni inamaana ataanza kuvaa vijogoo umri mdogo kabisa
hapo haikwepeki
Ndio jiwe awe anashauriwa sasa kuwa vyeo jeshini havigawiwi kiholela holela sasa huyo dogo miaka hajafika hata thelathini ila ana cheo cha kepteni inamaana ataanza kuvaa vijogoo umri mdogo kabisa
jeshi uzoefu unamata kuliko hata madesa ya kukariri mkuuIla Ni Jambo zuri mkuu jeshi lijae vijana sio wazee wazee ambao hata vitani hawaendi hata wakiende battlefield hawagusi Kama sio Frontline .
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila Ni Jambo zuri mkuu jeshi lijae vijana sio wazee wazee ambao hata vitani hawaendi hata wakiende battlefield hawagusi Kama sio Frontline .
Sent using Jamii Forums mobile app
Usifananishe u coplo ana na ukapteniSio rahisi kama ww unavyofikiria kuna watu wana degree za india lkn ni macoplo jeshini jeshi kismart oooh na bahati kama una bahati utapanda rank fasta kama Mbuge...
Usifananishe u coplo ana na ukapteni
Hao wawili wameingia wako system mbili tofauti
Mmoja na afisa was jeshi mwengine Ni Askari was kawaida .
Huyo mwenye degree ya India anaweza kuwa afisa Ila tu Kama umri wake Miaka 32 hajavuka
Kama amevuka atachakaa na degree yake ya India hapo hapo kwenye ukoplo
Akisogea sana atakuwa warrant officer
Sent using Jamii Forums mobile app