Kanali Martini Mkisi kweli maisha ni gwaride

Kanali Martini Mkisi kweli maisha ni gwaride

Hahaaa hata sijuii...
Hizo ni baadhi ya kauli zake tuu, Ashawahi vunja simu ya thamani mbele ya wanafunzi kuonesha ana hela..

Anakuambia kwenye friji yangu hakuna kinywaji cha chini ya 200,000

Mwanagu wa darasa la tatu anakuzidi hicho ulicho present.

Kitanda changu kinalaliwa na degree nne..
Zangu mbili na za mke wangu mbili

Ninalipwa mshahara na Jeshi, Shule na vyuo,

Ukiona gari langu linapita manzese ujue limeibiwa...

House girl wangu lazima awe na degree

Yaani jamaa ndio maisha yake hayo..
Fanya ufanyavyo usije ukaingia kwenye anga zake,
Kinyume na hapo hana shida na wewe.

Ila kiukweli ni very smart kichwani na ni kiongozi mzuri sana...
Ukiona gari langu linapita manzese ujue limeibiwa...
 
Mimi bhana katika kukalili majina aisee siko vzr ila najua ni mchaga. Ok any way..afu nikulize kitu ivi kwann mkuu wetu wa majeshi ana 3 star na wala co 4 star mana ukiangalia rank za kijeshi kwa jumuiya ya NATO maJeneral wengi wa nchi izo wana 4 star au 5 Star why cc kwetu ana 3 star au kuna vigezo wangalia baadhi ya nchi...???
ucommandant pale TMA mtu rank zinajibu

aliekuwa commandant pale TMA anaitwa Masao sio Masawe ingawa majina yote ya kichaga

Masao ingekuwa sio haki kutompa three stars wakati ni Senior kuliko hata Mabeyo au Huyo COS
 
Mimi bhana katika kukalili majina aisee siko vzr ila najua ni mchaga. Ok any way..afu nikulize kitu ivi kwann mkuu wetu wa majeshi ana 3 star na wala co 4 star mana ukiangalia rank za kijeshi kwa jumuiya ya NATO maJeneral wengi wa nchi izo wana 4 star au 5 Star why cc kwetu ana 3 star au kuna vigezo wangalia baadhi ya nchi...???
Mabeyo ni four stars sio three stars
 
Na zaidi amaepiga degree yake Russia huyo lazima ujeneralj Ni fate yake

Sent using Jamii Forums mobile app
hapo haikwepeki

Ndio jiwe awe anashauriwa sasa kuwa vyeo jeshini havigawiwi kiholela holela sasa huyo dogo miaka hajafika hata thelathini ila ana cheo cha kepteni inamaana ataanza kuvaa vijogoo umri mdogo kabisa
 
hapo haikwepeki

Ndio jiwe awe anashauriwa sasa kuwa vyeo jeshini havigawiwi kiholela holela sasa huyo dogo miaka hajafika hata thelathini ila ana cheo cha kepteni inamaana ataanza kuvaa vijogoo umri mdogo kabisa
Ila Ni Jambo zuri mkuu jeshi lijae vijana sio wazee wazee ambao hata vitani hawaendi hata wakiende battlefield hawagusi Kama sio Frontline .



Sent using Jamii Forums mobile app
 
KAGUTI namjua yule mkuu wa mkoa wa Bukoba nae ni Brigedia general aisee cheki naumri wake afu alia rank yake...yanu jeshi bhana linatia hasira Mda mwingine.....Mkuu awe anaangalia aisee...uku kupandisha vyeo kiholela holela jau co bhana...
hapo haikwepeki

Ndio jiwe awe anashauriwa sasa kuwa vyeo jeshini havigawiwi kiholela holela sasa huyo dogo miaka hajafika hata thelathini ila ana cheo cha kepteni inamaana ataanza kuvaa vijogoo umri mdogo kabisa
 
Ila Ni Jambo zuri mkuu jeshi lijae vijana sio wazee wazee ambao hata vitani hawaendi hata wakiende battlefield hawagusi Kama sio Frontline .



Sent using Jamii Forums mobile app
jeshi uzoefu unamata kuliko hata madesa ya kukariri mkuu

fuatilia nchi kongwe za wastaarabu huko mfano ubrigedia jenerali watu wanapata wakiwa wameshakuwa na kamisheni kwa miaka thelathini huko

vile vyeo vinakuwa na maana kama mhusika anao uzoefu
 
Usiwadharau wazee mana hao ndo wanalijua jeshi vzr na kazi wanazijua vzr mm nawaheshimu sana wateule; ma coplo,mastaf sagent,masagent na maprivate ambao umri wao umekwenda wazee mana wanajua mengi sana acha kabisa.....
Ila Ni Jambo zuri mkuu jeshi lijae vijana sio wazee wazee ambao hata vitani hawaendi hata wakiende battlefield hawagusi Kama sio Frontline .



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio rahisi kama ww unavyofikiria kuna watu wana degree za india lkn ni macoplo jeshini jeshi kismart oooh na bahati kama una bahati utapanda rank fasta kama Mbuge...
Usifananishe u coplo ana na ukapteni

Hao wawili wameingia wako system mbili tofauti

Mmoja na afisa was jeshi mwengine Ni Askari was kawaida .

Huyo mwenye degree ya India anaweza kuwa afisa Ila tu Kama umri wake Miaka 32 hajavuka

Kama amevuka atachakaa na degree yake ya India hapo hapo kwenye ukoplo

Akisogea sana atakuwa warrant officer

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We si ndo unalijua sana jeshi sawa.. kisa umeskia kusu uyo dogo kupanda cheo kwa kupewa tuu....vyeo vya kupewa na sio vya kuvienyea...
Usifananishe u coplo ana na ukapteni

Hao wawili wameingia wako system mbili tofauti

Mmoja na afisa was jeshi mwengine Ni Askari was kawaida .

Huyo mwenye degree ya India anaweza kuwa afisa Ila tu Kama umri wake Miaka 32 hajavuka

Kama amevuka atachakaa na degree yake ya India hapo hapo kwenye ukoplo

Akisogea sana atakuwa warrant officer

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom