Kanali Martini Mkisi kweli maisha ni gwaride

Huyu jamaa kama aliwahi kutufundisha. Kwani alikuwa mjeshi??

Mke wake pia ni lecturer kule departmient za CONASs
 
Sio rahisi kama ww unavyofikiria kuna watu wana degree za india lkn ni macoplo jeshini jeshi kismart oooh na bahati kama una bahati utapanda rank fasta kama Mbuge...
Huyo Mbuge ni nani sasa
 
da hv hujui kuwa siku hzi mkisi ni lecturer juo flan hapa Tz...ashaachana na JESHI KITAMBO SANA
 
jamaa alikuwa na program yake moja inaitwa MKISI PROGRAMU...aisee kuna siku aliingia darasan kwetu akaanza kukagua daftari la mmoja baada ya mwingine..akamkuta mmoja hata daftar hana...aisee alimpiga kofi moja hilo darasa zima tukashtuka..dogo akapatwa na maluelue ikabd apelekwe hospital ndo ikawa pona yangu....maana mi mwenyewe aikuwa na daftar siku hyo
 
Ila nae amepanda fasta fasta...2014 brigedia....2015 meja jeneral ..2016 chief of staff...2017 CDF
Je kabla ya hapo napo alipanda fasts 1979-2014 kama miaka 34
Tuseme 1979 luteni us
1981 luteni
1990 captain
1995 major
1998 luteni kanali
2004 kanali
2014 Brigedia General
Hii ni kukisia tu sio uhalisia
 
Nani kakwambia Gen. Mabeyo siyo 4 star general?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…