Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
CoS Mohammed amepata kamisheni mwaka 1981, na hadi mwaka 2014 alikuwa Kanali.Mabeyo mwaka 2014 alikuwa brigedia jenerali halafu kapata kamisheni mwaka 1979
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CoS Mohammed amepata kamisheni mwaka 1981, na hadi mwaka 2014 alikuwa Kanali.Mabeyo mwaka 2014 alikuwa brigedia jenerali halafu kapata kamisheni mwaka 1979
Pia kuoneana wivu ni tatizo la dunia ya tatu; kutumia muda wmingi kujadili cheo cha mtu mwingine ni mapungufu sana. Dunia iko hivyo siku zote; watu wote hamuwezi kupanda kwa pamoja.Mambo ya wanasiasa hayo
Ndio tatizo la mifumo ya huku dunia ya tatu, Vyeo anatakiwa kupewa mtu kutokana na uzoefu pamoja na umahiri binafsi na si nje ya hapo na sio kwa sababu amiri jeshi mkuu anapenda iwe vile
Jk watu walimchukia sana licha ya kulijua jeshi alikuwa akipandisha vizuri tu wanasema anahonga vyeo ili asipinduliwe
Ha ha ha ulikuwa Combination gani?Huyu jamaa simsahau! Alinifanya nisimamie kichwa miguu juu ya ubao kila Mkisi program
Hio kutaja tu Russia na miaka aliyoingilia Jeshi pamoja na cheo chake tayari umesha disclose identity ya Dogo pamoja na yako sidhani kama umemtendea haki bwana mdogo kuja kumuaminika humu kiasi hicho.
Labda wasio mjua ,,madogo waliojenga ukuta ,chamwino,na ukonga walitumuliwa pale RTS mpaka huruma ilihali walipewa zawadi ya ajira na raisi kisa unfit ambao umetokana na kazi ngumu walizofanya
Dogo namjua huyo tulijuwa naye Ruvu mjibu wa sheria misifa na show off. Hao kwao ziwa nyasa ni sawa na watindiga tuHahaaa hata sijuii...
Hizo ni baadhi ya kauli zake tuu, Ashawahi vunja simu ya thamani mbele ya wanafunzi kuonesha ana hela..
Anakuambia kwenye friji yangu hakuna kinywaji cha chini ya 200,000
Mwanagu wa darasa la tatu anakuzidi hicho ulicho present.
Kitanda changu kinalaliwa na degree nne..
Zangu mbili na za mke wangu mbili
Ninalipwa mshahara na Jeshi, Shule na vyuo,
Ukiona gari langu linapita manzese ujue limeibiwa...
House girl wangu lazima awe na degree
Yaani jamaa ndio maisha yake hayo..
Fanya ufanyavyo usije ukaingia kwenye anga zake,
Kinyume na hapo hana shida na wewe.
Ila kiukweli ni very smart kichwani na ni kiongozi mzuri sana...
Hii Sala yako iko vizuriSijui uelezwe mara ngapi , na inakuwaje uwe unalalamikia sana cheo cha Mbuge kuliko wengine walioteuliwa kwa njia hizo hizo. Vipi unamfahamu binafsi au mliwahi kutambiana huuko nyuma mkiwa ngazi moja na sasa yeye ameruka mbali sana ambako hutafika au jamaaa yako hatafika? Halafu nimekusma post zako nyingi hapa kwenye topic hii ni za hisisa kuliko fact. Siku moja ulisema kuwa Nyerere alipandisha maofisa kwa upendeleo lakini hukuoa ushahidi wowote. Mimi ninajua kuwa wakati Nyerere anaondoka kulikuwa na majenerali wasiofika 10 ambapo karibu wote walikuwa wamepigana Uganda isipokuwa Hashim Mbita na Sarakikya tu. Ila uliweka blanket statement kuwa alipandisha watu kwa upendeleo bila kuwa na ushahdi wowote; vyeo vya chini kuanza 2nd Lt had Lt.Col siyo uteule wa rais bali yeye ni rubber stamp tu; uteuzi wake ni kuanzia Col kwenda juu; kwa hiyo katika hao majenerali aliocha pamoja na mabrigedia kama 25 hivi ambao wengi wao walikuwa wamepigana vitani Uganda au Musumbiji au Zimbabwe au walikuwa na madakatari hukutoa ushahidi wa wapi nyerere alipendelea. Sasa hivi unasema kuwa Kikwete hakupandisha watu wakati kuna mwaka 2003 Kikwete alipandisha majenerali zaidi ya 30 kwa wakati mmoja, na kati ya hao wengine pia walikuwa wamekwenda haraka namna hiyo hiyo hiyo ya Mbuge.
Kama una tatizo na Mbuge binafsi, nakushauri uwe unasali sala hii mara kwa mara:
" Eeh Mwenyezi Mungu, nakuomba unipe utulivu wa moyo kukubali nisiyoyoweza kubadili, ushujaa wa kubadili ninayoweza, na busara ya kujua tofauti kati ya ninayoweza kubadili na nisiyoweza"
Sali sana ili uondokane na malalamiko haya ambayo hayakupeleki popote na hayabadili chochote kuhusu Mbuge zaidi ya kuendelea kukuumiza moyo tu.
Heshimu wakubwa na wewe jamani, elimu isikufanye ur extra na usidharau mtu, nyani mzee kakwepa mishale mingiUkitaka heshima sababu ya umri wako subira tukivua gwanda na tukikitana uraiani .huko tutazungumza Kama raia wa kawaida
Ukiona afisa analeta ujuaji Hadi kitaa Tena bila gwanda ujue kichaa tu huyo anataka misifa ya kijinga Ila wengi wao wanajielewa .
Ila Sasa ukiwa ndani ya viunga vya jeshi Ni kutii amri bila kuuliza kuhusu umri wako Ni 10th option ,[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa comment hii nimeelewa kwa nini ameganda kwenye ukanali kama kanywa gundiAkiingia kwenye pindi au kama anahutubia
Anaanza kuzungumzia familia yake kwanza.
Familia yangu yote hakuna mwenye Degree, ni masters kwenda juu..
Mimi nina pesa..
Mkuu wa shule kubwa kabisa Tz na east africa,
Mwanajeshi pekee hendsome na aliyesoma...
Hapo hajazungumzia gari,
Hajataja sifa za mwanae,
Hajataja backgroud ya kwao....
Hahaa anyway ni mtu poa, hayo mengine ni mambo binafsi
Upo usemi kuwa maisha ni kama Gwaride wa kwanza anaweza kuwa wa mwisho na wa mwisho akawa wa kwanza hii yote inategemea gwaride limeamrishwaje
wiki tatu zilizopita update ni kuwa Martin Mkisi bado yupo kwenye ukanali tangia mwaka 2015
tarehe 31 August mwaka 2016 Mbuge alikuwa na cheo cha luteni kanali akiwa CO Ruvu katika tarehe hiyo Mkisi alikuwa ni DC Kasulu akiwa ni kanali Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Ndalichako afunga Mafunzo ya Vijana kwa Mujibu wa sheria Ruvu JKT
DC KASULU NA KAMATI YAKE YA ULINZI NA USALAMA WAFANYA OPERESHENI KUKAMATA MAJANGILI NA WATEKAJI
yaani kwa kifupi ni kwamba katika Uafisa mkuu jeshini Martin Mkisi ni senior kwa Mbuge ila ndio vile tena maisha Gwaride Mbuge kapandishwa haraka haraka na Mkuu wa kaya jiwe
leo Mbuge yuko ngazi mbili juu ya Martin Mkisi cha kuumiza zaidi Mkisi na Mbuge walikuwa kituo kimoja cha kazi pale Mgulani huku Mkisi akiwa ni mkubwa wa Mbuge
Mkisi kurudi kuwa mkubwa kwa Mbuge ni kama haiwezekani, possible scenario ni labda Mkisi afike kwenye uluteni jenerali wakati huo Mbuge akishindwa au akichelewa kufika kwenye uluteni jenerali na jeshini techinically cheo cha mwisho ni meja jenerali na hakuna uhakika kama Mkisi atafanikisha angalau kufika kwenye ubrigedia
Duuu!!! Km chafu inabid kale kamsemo ka mane laundry aka aplai ili ziwe saf na salama Kwa matumizNaskia ana pesa chafu sans
Hajazimwa bro, wamemuovateki.
Basi Mkisi siyo Senior kwa Mbuge kama mleta mada alivyoonyesha! Mleta mada amekuwa anaonyesha kama vile Mbuge hajawahi kucommand unit yoyote kulinganisha na Mkisi, lakini kumbe hata Mkisi naye hajacommand unit yoyote. Nimeshangaa jinsi promotion ya Mbuge ilivyoongelewa sana; jamaa keshapaa hivyo. Na anaonekana anajua sana kutimiza majukumu anayokabidhiwa kwa ufanisi mkubwa sana, ni haki yake apate cheo hicho.Kilichomsaidia Maj. Gen Mbuge ni kukomand miradi ambayo Jeshi la Kujenga Taifa iliachiwa chini yake kuanzia Ukuta Mererani akiwa Kanali, Nyumba za Magereza Ukonga na Ukuta Ikulu Chamwino Dodoma.
Col. Mkisi hajapitia promotion yeyote ya kijeshi zaidi ya majukumu ya rank yake tangia akiwa Jitegemee JKT High School na baadae kuwa CO wa Mafinga na ukuu wa wilaya which is obviously kwa cheo chake.
Mbuge ana bahati na upepo wa mkuu wa nchi
Mej. Gen Mbuge keshacommand 832kj Ruvu kabla ajapelekwa Oparesheni Mererani.Basi Mkisi siyo Senior kwa Mbuge kama mleta mada alivyoonyesha! Mleta mada amakuwa anonyesha kama vile Mbuge hajawahi kucommand unit yoyote kulinganisha na Mkisi, lakini kumbe hata Mkis hajacommand unit yoyote. Nimeshangaa jinsi promotion ya Mbuge ilivyoongelewa sana; jamaa keshapaa hivyo. Na anaonekana anajua sana kutimiza majukumu anayokabidhiwa kwa ufanisi mkubwa sana, ni haki yake apate cheo hicho.
Kutokana na hiyo sifa ya ziada ya elimu ndio maana senior anaweza pitwa na junia.we si umesema junior anaweza kumpita senior kwa sababu ya elimu
Km sijakosea nadhan Ni Sergeant Samuel Doe.Hawezi kuelewa bado mdogo huyo, tena umemwendea mbali sana, ungemwambia hata Samwel Doe tu!
hilo ninalijua na ni kweli kabisa ndivyo ilivyo; hakuna haja ya kulalamika kwa nini Mbuge kapanda harakaMej. Gen Mbuge keshacommand 832kj Ruvu kabla ajapelekwa Oparesheni Mererani.
Wote washacommand vikosi. Cha msingi ni kujua tu leo unaweza ukawa senior kwangu kesho nikawa senior kwako, ni jambo la kawaida katika maswala ya kimedani.
Wanakopa sana aisee mpaka wanaboa...Wastaarabu wapo utakuta ye hana mna wa kukimbizana na askari au juniors yupo camp unakuta yuko bize na mawasiliano ya mambo yake hana mambo ya kijinga jinga yakunyanyasa wa chini Siku nyingine asubuhi kasaini huyoo anasepa inategemea na CO yukoje au hayupo
Ila wanaa unakuta anataka anyenyekewe kama Mungu wakati shida nao wanazo unakuta meja anakuja kukopa kwa Pte mshahara ukiisha kabla