Kanali Martini Mkisi kweli maisha ni gwaride

Kanali Martini Mkisi kweli maisha ni gwaride

Upo usemi kuwa maisha ni kama Gwaride wa kwanza anaweza kuwa wa mwisho na wa mwisho akawa wa kwanza hii yote inategemea gwaride limeamrishwaje

wiki tatu zilizopita update ni kuwa Martin Mkisi bado yupo kwenye ukanali tangia mwaka 2015

tarehe 31 August mwaka 2016 Mbuge alikuwa na cheo cha luteni kanali akiwa CO Ruvu katika tarehe hiyo Mkisi alikuwa ni DC Kasulu akiwa ni kanali Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Ndalichako afunga Mafunzo ya Vijana kwa Mujibu wa sheria Ruvu JKT

DC KASULU NA KAMATI YAKE YA ULINZI NA USALAMA WAFANYA OPERESHENI KUKAMATA MAJANGILI NA WATEKAJI

yaani kwa kifupi ni kwamba katika Uafisa mkuu jeshini Martin Mkisi ni senior kwa Mbuge ila ndio vile tena maisha Gwaride Mbuge kapandishwa haraka haraka na Mkuu wa kaya jiwe

leo Mbuge yuko ngazi mbili juu ya Martin Mkisi cha kuumiza zaidi Mkisi na Mbuge walikuwa kituo kimoja cha kazi pale Mgulani huku Mkisi akiwa ni mkubwa wa Mbuge

Mkisi kurudi kuwa mkubwa kwa Mbuge ni kama haiwezekani, possible scenario ni labda Mkisi afike kwenye uluteni jenerali wakati huo Mbuge akishindwa au akichelewa kufika kwenye uluteni jenerali na jeshini techinically cheo cha mwisho ni meja jenerali na hakuna uhakika kama Mkisi atafanikisha angalau kufika kwenye ubrigedia

Who the fvck is this loser?

Who cares
 
Jeshi ni taasisi ambayo iko poa sana, na haikaririki, usije ukajiona leo wewe ni mkuu basi wachini yako wote ukawaona wamechelewa na hawatakufikia kamwe (ukajimwambafy).


Mwaka 2014 mdogowangu aliingia kwa mujibu wa sheria(form 6) matokeo yalivyotoka alipata Div 1 PCM, Kipindi bado wako camp jeshi likawataka wale ambao wanapenda wajiunge na JWTZ wajitokeze, mimi mdogowangu alikua hataki kabisa ila kwavile mimi bro wake najua nini maana ya maisha na najua jinsi ajira zilivyongumu nilimshauri aandike jina.

Miezi 2 mbele baada yakumaliza mafunzo ya jkt, alipigiwa simu akaripoti ktk kambi ya Twalipo, pale walifanyiwa uhakiki na usaili then yeye akabahatika kwenda kufanya military Science Russia, alivyorudi bongo akawa na cheo cha luteni usu, hakukaa sana akapanda hadi luteni kamili.

Kwenye project ya ujenzi wa chamwino alikuwepo anasimamia, Rais akawapa promition wote waliokua wanasimamia ule ujenzi now yeye ni captain..

Lakini kipindi yeye ni luteni usu kulikua na maluteni anawapigia saluti, but now wao ndo wanampigia saluti.

Jeshi raha sana USHIRIKIANO, NIDHAMU na UCHAPAJIKAZI ndiyo nduzo ya mafanikio hakuna kingine.
Hio kutaja tu Russia na miaka aliyoingilia Jeshi pamoja na cheo chake tayari umesha disclose identity ya Dogo pamoja na yako sidhani kama umemtendea haki bwana mdogo kuja kumuaminika humu kiasi hicho.
 
Mimi bhana katika kukalili majina aisee siko vzr ila najua ni mchaga. Ok any way..afu nikulize kitu ivi kwann mkuu wetu wa majeshi ana 3 star na wala co 4 star mana ukiangalia rank za kijeshi kwa jumuiya ya NATO maJeneral wengi wa nchi izo wana 4 star au 5 Star why cc kwetu ana 3 star au kuna vigezo wangalia baadhi ya nchi...???
CDF ni four stars mkuu hata gari yake ina stars nne iyo ya three stars ni Luteni general ambae ndio Chief of staff CoS
 
Wanatia hasira sana mda mwingine unatamani hata kuwapiga yani sema ndo hivyo sheria zinatubana na jeshini makosa makubwa yakukufanya ufukuzwe jeshi ni wizi na kupigana yani kuna dogo mmoja officer alinitia hasira bado kidogo nimpige ila nikawaza bado nina miaka 10 mbele nistaafu nina watoto 6 wadogo wanasoma japo ndio nina kipisi changu cha scania 124 cha mkopo bank kiko barabarani kinatembea kinaningizia pesa mwezi wa 9 namaliza mkopo wake,nyumba zangu 4 japo mbili ndo zaa maana mashamba 3 lkn bado jeshi sijalifaidi bado kuna kitu nakitaka kutoka jeshini sijakipata kufukuzwa kazi saizi ni jau ikanibidi nivumilia tuu ila maafisa wa voda fasta miyeyusho sana...kuna mwingine nae aliniomba aisee kamanda naomba uniwekee mzigo wangu unafika wilaya furani nikamwambia sipakii mzigo bure kwenye kipisi changu changia ela ya mafuta Afande yupo oooh hata mm afande wako nikamwambia iyo haipo...hi ni biashara atupo kazini hapa...
kuna Majamaa unaa ndio wanaona umahiri

utasikia Maafisa wote baba mmoja

mbona kuna maafande walikuwa poa sana wanafuata haki hawana kubagua wenyewe kazi mbele wanapendwa na kila mtu jeshini sababu wao haki bin haki
 
Mdogo ake ni wake madogo wa mujibu wa sheria wamekaa sana uzalendo pale TAU 95Kj yani watu wana connect dot uyu jamaa hajui....ana funguka tu kizembe zembe...
Hio kutaja tu Russia na miaka aliyoingilia Jeshi pamoja na cheo chake tayari umesha disclose identity ya Dogo pamoja na yako sidhani kama umemtendea haki bwana mdogo kuja kumuaminika humu kiasi hicho.
 
Silii na ndoma na like post yako ila nimesema tuu nyny ndo wale mkija jeshini tuna waita ma officer wa voda fasta mana ww una vinyota viwili tuu unataka unipelekeshe mm mkongwe eti ww sagent njoo hapa mm nimeingia jeshini na miaka zaidi ya 20 now niko jeshini ww uko shuleni heshimini watu mnaotukuta kwenye chombo sisi ma askari tunajua mengi sana na iki chombo msilete dharau...sisi ndo tunawafundisha kazi nyny ni ite kustaarabu aisee Sagent njoo nakuomba mara moja na sio kunipelekesha eti njoo apa mtoto wa juzi ww unanita mm njoo hapa ila kuna wengine wastaarabu sana nawapenda ukimsalimia jambo afande anaitikia vzr na mnaongea vzr sana ndio atukatai ni mafande wetu lkn muwe mnatuheshimu aisee mana mmetukuta kwenye chomba stupid....
Swala la kusema kuwa wewe ulitangulia jeshini so tukuheshimu hio Haina mantiki ndani ya viunga vya jeshi[emoji1787]

Utapiga saluti kwa kunyooka wima na kwa utii pale afisa uliemzidi umri Mara anapokatiza mbela yako

Ukizingua utapelekwa court matial ukajibu mashtaka kwa kuleta dharau kwa afisa

Kama uliingia jeshini miaka 30 iliyopita na ukashindwa kuwa ofisa hio Ni juu yako unataka maana wengi wenu mmeingia jeshini na cheti Cha la Saba C mnataka kwahiyo usiwalaumu hao vijana wanaokula nyota za fasta fasta hawakucheza darasani they deserve

"Kwa hiyo bwana coplo/saameja hembu pita pale wape wale vijana kazi (unatii na unyooka unapiga saluti unakimbia na mvi zako miaka 54)" [emoji1787][emoji123]





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kitu kwenye Majeshi yoote na zaidi kwenye usalama wa nji, kuna kitengo kinaitwa Military intelligence, hawa jamaa wana uchambuzi na file ya kila ofisa.
Sasa ikifika wakati wa kupanda ama kuhamishwa kwenda idara nyingine...hawa jamaa hutoa taarifa zako zote!, nyingi hazijulikani peupe. kwa hivyo musione mtu kakaa kwenye kiti kimoja miaka nenda miaka rudi, kuna mambo mambo ambayo hutayajui na hatutayajua!!!!!
Ndio hawa JF nangaz Wana mind wazee kuachwa vijana kupaa [emoji1787][emoji1787]

Unakuna senior ofisa ana makando kando kibao anatumia rank yake vibaya sio kwamba hajulikani au haonekani kuwa wengine Ni heri wabaki hapo hapo maana ukimzidishia cheo ataleta usumbufu na kusumbua watu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujanielewa ebu tulia afu usome vzr hu mjadara sawa usipanic mm sisemei kwamba siwatii ila wao wanatudharau sisi wapiganaji nawakati cc wapiganaji ndo kiungo jeshini sisi atukatai atuna elimu tumeishia lasaba ndio lkn tuheshimiane mana hii ni nchi yetu sote uwezi nipelekesha mm eti kisa ww ni luten usu niheshimu bac kama bro wako mana umenikuta kazini na hata kozi mm ndo nimekufundisha baadhi ya masomo katika uku kutafuta uwo u ofisa wako sawa ni heshimu mm mana mm ndo napiganisha section nyingi vitani sikatai mm ni mfuasi wako lkn niheshimu hata kama sins elimu nimeishia lasaba na uzee wangu niheshimu kumbuka kuna maiasha baada ya jeshi kutumikia miaka 40,35 jeshi unarudi urahiani unakuwa askari mstaafu na raia vile vile kwaiyo heshima ni kitu chs bure ma officer wa Voda fasta mtuheshimu makamanda wenu mnaotukuta ndani ya chombo...
Swala la kusema kuwa wewe ulitangulia jeshini so tukuheshimu hio Haina mantiki ndani ya viunga vya jeshi[emoji1787]

Utapiga saluti kwa kunyooka wima na kwa utii pale afisa uliemzidi umri Mara anapokatiza mbela yako

Ukizingua utapelekwa court matial ukajibu mashtaka kwa kuleta dharau kwa afisa

Kama uliingia jeshini miaka 30 iliyopita na ukashindwa kuwa ofisa hio Ni juu yako unataka maana wengi wenu mmeingia jeshini na cheti Cha la Saba C mnataka kwahiyo usiwalaumu hao vijana wanaokula nyota za fasta fasta hawakucheza darasani they deserve

"Kwa hiyo bwana coplo/saameja hembu pita pale wape wale vijana kazi (unatii na unyooka unapiga saluti unakimbia na mvi zako miaka 54)" [emoji1787][emoji123]





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akiingia kwenye pindi au kama anahutubia
Anaanza kuzungumzia familia yake kwanza.

Familia yangu yote hakuna mwenye Degree, ni masters kwenda juu..
Mimi nina pesa..
Mkuu wa shule kubwa kabisa Tz na east africa,
Mwanajeshi pekee hendsome na aliyesoma...
Hapo hajazungumzia gari,
Hajataja sifa za mwanae,
Hajataja backgroud ya kwao....

Hahaa anyway ni mtu poa, hayo mengine ni mambo binafsi
Ewaaa huyu jamaa ndo zilikuwa zake hizo!

Kipindi hicho ni Captain alikuwa akijitapa kufundisha Mabrigedia Jenerali...

Huyu mwamba huyu hatari..Siku moja tuko Assemble alimfokea teacher mmoja kama mtoto mbele ya kadamnasi ya maticha na wanafunzi kibao..
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]dah
ujeuri wake

alipokea kadi ya kijani na kuiweka mfuko wa nyuma na kukaa

wakati mwenzie aliweka mfuko wa shati na salute
 
Back
Top Bottom