Kichwa Kontena
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 661
- 564
Ushirikina ndio sababu alilazwa nje na waha zaidi ya mara moja akaandika barua ya kushindwa kazi,Sijajua ila nahisi maelewano labda hayakuwa mazuri
Ila kama mkuu ama kinyongo nae dah Career ya Mkisi inakuwa kama ndio imeingia mdudu hivo
DuuuhUshirikina ndio sababu alilazwa nje na waha zaidi ya mara moja akaandika barua ya kushindwa kazi,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna jeshi la hivyo ndugu 92 nao ni askari wa Jw wanaofuata taratibu za jeshi na wana nidhamu ya hali ya juu pia hakuna officer anaetoa order ya ovyo,officer anakamisheniwa na raisi ina maana 92 akimdharau officer kamdharau raisi atachukuliwa hatua zinazotakiwaSio askari wote wanspokea oda kutoka kwa maafisa mfano 92kj awapokei oda kutoka kwa afisa yeyote yule mkuu zaidi ya General mabeyo na Raisi Amiri jeshi mkuu unazani kila kikosi wanapokea oda kiboya tuu na kutekeleza afu ivi viluteni ivi cjui vikoje...Nenda 92Kj ukatoe oda yako kama wauni wa pale watakusikiliza....pale oda ya Raisi na mkuu wa majeshi tuu ndo zinazotekelezwa msilete dharau hapa...au ww utakuwa wale madogo wa Navy wewe...
Hayo majivuno yamepita kiasi.Hahaaa hata sijuii...
Hizo ni baadhi ya kauli zake tuu, Ashawahi vunja simu ya thamani mbele ya wanafunzi kuonesha ana hela..
Anakuambia kwenye friji yangu hakuna kinywaji cha chini ya 200,000
Mwanagu wa darasa la tatu anakuzidi hicho ulicho present.
Kitanda changu kinalaliwa na degree nne..
Zangu mbili na za mke wangu mbili
Ninalipwa mshahara na Jeshi, Shule na vyuo,
Ukiona gari langu linapita manzese ujue limeibiwa...
House girl wangu lazima awe na degree
Yaani jamaa ndio maisha yake hayo..
Fanya ufanyavyo usije ukaingia kwenye anga zake,
Kinyume na hapo hana shida na wewe.
Ila kiukweli ni very smart kichwani na ni kiongozi mzuri sana...
Hata kama upo smart kichwani kwanini ujisifie kwa kiwango cha kupitiliza hivyo? Muungwana huacha watu ndio wamsifie.Jamaa smart sana kichwani vyeo hawakukosea kumpa
Ni kweliHata kama upo smart kichwani kwanini ujisifie kwa kiwango cha kupitiliza hivyo? Muungwana huacha watu ndio wamsifie.
Hata Mkisi nahisi aligonga u Kanali below 40...Wengi kinachowagandisha sio kozi za kijeshi bali ni Promex, unaelewa maana ya promex? 2013 kuna jamaa ninaemfahamu alikuwa ni Kanali na alikuwa hajafikisha hata 40.
Ujui lolote kusu jeshi kaa kimya....Hakuna jeshi la hivyo ndugu 92 nao ni askari wa Jw wanaofuata taratibu za jeshi na wana nidhamu ya hali ya juu pia hakuna officer anaetoa order ya ovyo,officer anakamisheniwa na raisi ina maana 92 akimdharau officer kamdharau raisi atachukuliwa hatua zinazotakiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ulifanywa nini?.Jeshi bhana achana nalo kabisa...mimi sina hamu nalo...
Aisee,Ajikwezaye......Naye ajishushaye.....Akiingia kwenye pindi au kama anahutubia
Anaanza kuzungumzia familia yake kwanza.
Familia yangu yote hakuna mwenye Degree, ni masters kwenda juu,
Mimi na mke wangu tuu kitanda chetu kinalaliwa na degree 4.
Mimi nina pesa..
Mkuu wa shule kubwa kabisa Tz na east africa,
Mwanajeshi pekee handsome na aliyesoma...
Ukiona gari yangu inapita manzese ujue imeibiwa, toa taarifa,
Nalipwa mshahara na Jeshi, Shule na vyuo.
Hapo hajazungumzia gari,
Hajataja sifa za mwanae,
Hajataja backgroud ya kwao....
Hahaa anyway ni mtu poa na smart sana, hayo mengine ni mambo binafsi
Nani kazichafua??.Na anapesa chafu...
Ni kweli sijui lolote kuhusu jeshi nakaa kimyaa ww unasimuliwa unasimulia wengine uongo unaosimuliwa wanaojua wote hawajaandika kitu wanatusoma ss tusiojua waliotusimuliaUjui lolote kusu jeshi kaa kimya....
121.
blaza usibishe,order za hovyo zipo na ndio maana si kila mtu anaweza kutoa order yoyote tu kwa kikosi chochote.ndio maana officer wa kule lazima atolewe damu tena kule.kifupi anaumia mara 3,ili kuondoa hali hiyo ya mtu kuagiza asichokifahamu kwa undani.Hakuna jeshi la hivyo ndugu 92 nao ni askari wa Jw wanaofuata taratibu za jeshi na wana nidhamu ya hali ya juu pia hakuna officer anaetoa order ya ovyo,officer anakamisheniwa na raisi ina maana 92 akimdharau officer kamdharau raisi atachukuliwa hatua zinazotakiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
HICHO NDIYO KILICHOMPONZA! UKIWA NA TABIA YA KUJICHUKUA CHUKUA WATU WATALAZIMIKA KUTAFUTA MAISHA YAKO NYUMA YA PAZIA. NA MWISHO WA SIKU UTAANGAMIZWA AU KUFICHWA. UKISOMA KITABU CHA 48 LAWS OF POWER UNAAMBIWA "NEVER OUTSHINE YOUR MASTER"...................................NATUMAI WAPENDA SIFA HAPA WATAELEWA, NI SENTENSI MOJA LAKINI UKISHINDWA KUIELEWA UNAWEZA KUANGAMIZWA AU KUJIANGAMIZA PASIPO KUJUA KWAMBA UNAJIANGAMIZAAkiingia kwenye pindi au kama anahutubia
Anaanza kuzungumzia familia yake kwanza.
Familia yangu yote hakuna mwenye Degree, ni masters kwenda juu,
Mimi na mke wangu tuu kitanda chetu kinalaliwa na degree 4.
Mimi nina pesa..
Mkuu wa shule kubwa kabisa Tz na east africa,
Mwanajeshi pekee handsome na aliyesoma...
Ukiona gari yangu inapita manzese ujue imeibiwa, toa taarifa,
Nalipwa mshahara na Jeshi, Shule na vyuo.
Hapo hajazungumzia gari,
Hajataja sifa za mwanae,
Hajataja backgroud ya kwao....
Hahaa anyway ni mtu poa na smart sana, hayo mengine ni mambo binafsi
Wabhonye (Umeona)
Kasota sana miaka 34 baada ya kupewa commission ndio mtu unavaa ujenerali ni kasota sana mkuuIla nae amepanda fasta fasta...2014 brigedia....2015 meja jeneral ..2016 chief of staff...2017 CDF
Hata kwa bakhresa kuna waliopita kwake tena kwa manyanyaso lkn Mungu si Athumani wameingia serikalini na Bakhresa anaenda kupiga magoti kwao ili wampe hudumaNi kawaida kwenye maisha hasa hasa ya ajira serikalini. Leo wewe ni mkurugenzi wa wilaya, kuna kijana ofisini kwako kwajitoa ufahamu kaenda kugombea ubunge, kapata na kabahatika uwaziri TAMISEMI ndio ashakuwa bosi wako tena.
Uwe Bakhresa tu ndio utaendelea kuwa bosi mpaka utakapochoka mwenyewe au shughuli zikushinde