Kanali Martini Mkisi kweli maisha ni gwaride

Kanali Martini Mkisi kweli maisha ni gwaride

Sio askari wote wanspokea oda kutoka kwa maafisa mfano 92kj awapokei oda kutoka kwa afisa yeyote yule mkuu zaidi ya General mabeyo na Raisi Amiri jeshi mkuu unazani kila kikosi wanapokea oda kiboya tuu na kutekeleza afu ivi viluteni ivi cjui vikoje...Nenda 92Kj ukatoe oda yako kama wauni wa pale watakusikiliza....pale oda ya Raisi na mkuu wa majeshi tuu ndo zinazotekelezwa msilete dharau hapa...au ww utakuwa wale madogo wa Navy wewe...
Hakuna jeshi la hivyo ndugu 92 nao ni askari wa Jw wanaofuata taratibu za jeshi na wana nidhamu ya hali ya juu pia hakuna officer anaetoa order ya ovyo,officer anakamisheniwa na raisi ina maana 92 akimdharau officer kamdharau raisi atachukuliwa hatua zinazotakiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo ni mambo ya kawaida sana katika maisha. Wa kwanza kuwa wa mwisho na wa mwisho kuwa wa kwanza au katikati.
 
Hahaaa hata sijuii...
Hizo ni baadhi ya kauli zake tuu, Ashawahi vunja simu ya thamani mbele ya wanafunzi kuonesha ana hela..

Anakuambia kwenye friji yangu hakuna kinywaji cha chini ya 200,000

Mwanagu wa darasa la tatu anakuzidi hicho ulicho present.

Kitanda changu kinalaliwa na degree nne..
Zangu mbili na za mke wangu mbili

Ninalipwa mshahara na Jeshi, Shule na vyuo,

Ukiona gari langu linapita manzese ujue limeibiwa...

House girl wangu lazima awe na degree

Yaani jamaa ndio maisha yake hayo..
Fanya ufanyavyo usije ukaingia kwenye anga zake,
Kinyume na hapo hana shida na wewe.

Ila kiukweli ni very smart kichwani na ni kiongozi mzuri sana...
Hayo majivuno yamepita kiasi.
 
Wengi kinachowagandisha sio kozi za kijeshi bali ni Promex, unaelewa maana ya promex? 2013 kuna jamaa ninaemfahamu alikuwa ni Kanali na alikuwa hajafikisha hata 40.
Hata Mkisi nahisi aligonga u Kanali below 40...

Kuna kitu ndio nakisikia humu ngoja nitafute ukweli,

Naona watu wanasema jamaa Hayupo tena jeshini, na alipitia makubwa wakati akiwa DC, Najua ni kweli alikua DC halafu akarudishwa jeshini, nikajua ni mambo ya kawaida tuu kumbe kulitokea hayo mpka wakapishana na mkuu?
Kama ni kweli hili linanisikitisha.
 
Hakuna jeshi la hivyo ndugu 92 nao ni askari wa Jw wanaofuata taratibu za jeshi na wana nidhamu ya hali ya juu pia hakuna officer anaetoa order ya ovyo,officer anakamisheniwa na raisi ina maana 92 akimdharau officer kamdharau raisi atachukuliwa hatua zinazotakiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ujui lolote kusu jeshi kaa kimya....

121.
 
Akiingia kwenye pindi au kama anahutubia
Anaanza kuzungumzia familia yake kwanza.

Familia yangu yote hakuna mwenye Degree, ni masters kwenda juu,
Mimi na mke wangu tuu kitanda chetu kinalaliwa na degree 4.
Mimi nina pesa..
Mkuu wa shule kubwa kabisa Tz na east africa,
Mwanajeshi pekee handsome na aliyesoma...
Ukiona gari yangu inapita manzese ujue imeibiwa, toa taarifa,
Nalipwa mshahara na Jeshi, Shule na vyuo.

Hapo hajazungumzia gari,
Hajataja sifa za mwanae,
Hajataja backgroud ya kwao....

Hahaa anyway ni mtu poa na smart sana, hayo mengine ni mambo binafsi
Aisee,Ajikwezaye......Naye ajishushaye.....
 
Hakuna jeshi la hivyo ndugu 92 nao ni askari wa Jw wanaofuata taratibu za jeshi na wana nidhamu ya hali ya juu pia hakuna officer anaetoa order ya ovyo,officer anakamisheniwa na raisi ina maana 92 akimdharau officer kamdharau raisi atachukuliwa hatua zinazotakiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
blaza usibishe,order za hovyo zipo na ndio maana si kila mtu anaweza kutoa order yoyote tu kwa kikosi chochote.ndio maana officer wa kule lazima atolewe damu tena kule.kifupi anaumia mara 3,ili kuondoa hali hiyo ya mtu kuagiza asichokifahamu kwa undani.

mtu anapewa adhabu ya kulinda kikosi peke yake wiki nzima[emoji16][emoji16][emoji16] na hapaibiwi,afisa wa kawaida huwezi iweka sawa hii.lazima itakuchanganya.
 
NDIYO KILICHO
Akiingia kwenye pindi au kama anahutubia
Anaanza kuzungumzia familia yake kwanza.

Familia yangu yote hakuna mwenye Degree, ni masters kwenda juu,
Mimi na mke wangu tuu kitanda chetu kinalaliwa na degree 4.
Mimi nina pesa..
Mkuu wa shule kubwa kabisa Tz na east africa,
Mwanajeshi pekee handsome na aliyesoma...
Ukiona gari yangu inapita manzese ujue imeibiwa, toa taarifa,
Nalipwa mshahara na Jeshi, Shule na vyuo.

Hapo hajazungumzia gari,
Hajataja sifa za mwanae,
Hajataja backgroud ya kwao....

Hahaa anyway ni mtu poa na smart sana, hayo mengine ni mambo binafsi
HICHO NDIYO KILICHOMPONZA! UKIWA NA TABIA YA KUJICHUKUA CHUKUA WATU WATALAZIMIKA KUTAFUTA MAISHA YAKO NYUMA YA PAZIA. NA MWISHO WA SIKU UTAANGAMIZWA AU KUFICHWA. UKISOMA KITABU CHA 48 LAWS OF POWER UNAAMBIWA "NEVER OUTSHINE YOUR MASTER"...................................NATUMAI WAPENDA SIFA HAPA WATAELEWA, NI SENTENSI MOJA LAKINI UKISHINDWA KUIELEWA UNAWEZA KUANGAMIZWA AU KUJIANGAMIZA PASIPO KUJUA KWAMBA UNAJIANGAMIZA
 
Ila nae amepanda fasta fasta...2014 brigedia....2015 meja jeneral ..2016 chief of staff...2017 CDF
Kasota sana miaka 34 baada ya kupewa commission ndio mtu unavaa ujenerali ni kasota sana mkuu

Batch iliopita ya waliopanda ubrigedia wapo ambao toka commission yawezekana haifiki hata miaka 20
 
Ni kawaida kwenye maisha hasa hasa ya ajira serikalini. Leo wewe ni mkurugenzi wa wilaya, kuna kijana ofisini kwako kwajitoa ufahamu kaenda kugombea ubunge, kapata na kabahatika uwaziri TAMISEMI ndio ashakuwa bosi wako tena.

Uwe Bakhresa tu ndio utaendelea kuwa bosi mpaka utakapochoka mwenyewe au shughuli zikushinde
Hata kwa bakhresa kuna waliopita kwake tena kwa manyanyaso lkn Mungu si Athumani wameingia serikalini na Bakhresa anaenda kupiga magoti kwao ili wampe huduma
 
Back
Top Bottom