Mkisi ni muhaya?😁😁😁Akiingia kwenye pindi au kama anahutubia
Anaanza kuzungumzia familia yake kwanza.
Familia yangu yote hakuna mwenye Degree, ni masters kwenda juu,
Mimi na mke wangu tuu kitanda chetu kinalaliwa na degree 4.
Nina pesa mbwa haruki,
Mkuu wa shule kubwa kabisa Tz na east africa,
Mwanajeshi pekee handsome na aliyesoma...
Ukiona gari yangu inapita manzese ujue imeibiwa, toa taarifa,
Nalipwa mshahara na Jeshi, Shule na vyuo.
Hapo hajazungumzia magari,
Hajataja sifa za mwanae,
Hajataja backgroud ya kwao....
Hahaa anyway ni mtu poa na smart sana, hayo mengine ni mambo binafsi
😂😂😂Si anaongea sana.
Yani Mkisi hata salamu tu huwa ina chapters kibao.
So lazima tu awe hana kifua.
Namkumbuka huyu,Mzee wa mbili za utii.Hahaa waliosoma Jitegemee na UDSM wanamfahamu huyu jamaa vzr.
a.k.a mista misifa,
Kumbe ukiwa na 33 ndo basi Tena kwenda TMA?Usifananishe u coplo ana na ukapteni
Hao wawili wameingia wako system mbili tofauti
Mmoja na afisa was jeshi mwengine Ni Askari was kawaida .
Huyo mwenye degree ya India anaweza kuwa afisa Ila tu Kama umri wake Miaka 32 hajavuka
Kama amevuka atachakaa na degree yake ya India hapo hapo kwenye ukoplo
Akisogea sana atakuwa warrant officer
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia aliachishwa jeshi. I wish Mama amhurumie amrudishe kama aliachishwa kwa figisu. Nasikia alikuwa Kamanda safi sana
Basi Mkisi siyo Senior kwa Mbuge kama mleta mada alivyoonyesha! Mleta mada amekuwa anaonyesha kama vile Mbuge hajawahi kucommand unit yoyote kulinganisha na Mkisi, lakini kumbe hata Mkisi naye hajacommand unit yoyote. Nimeshangaa jinsi promotion ya Mbuge ilivyoongelewa sana; jamaa keshapaa hivyo. Na anaonekana anajua sana kutimiza majukumu anayokabidhiwa kwa ufanisi mkubwa sana, ni haki yake apate cheo hicho.
Basi Mkisi siyo Senior kwa Mbuge kama mleta mada alivyoonyesha! Mleta mada amekuwa anaonyesha kama vile Mbuge hajawahi kucommand unit yoyote kulinganisha na Mkisi, lakini kumbe hata Mkisi naye hajacommand unit yoyote. Nimeshangaa jinsi promotion ya Mbuge ilivyoongelewa sana; jamaa keshapaa hivyo. Na anaonekana anajua sana kutimiza majukumu anayokabidhiwa kwa ufanisi mkubwa sana, ni haki yake apate cheo hicho.
Mtu wa manunuzi awe cdf kweli!?Mkuu Mbuge alikuwa junior kwa Mkisi although Mkisi alipewa U'CO' akiwa ngazi ya luteni kanali tofauti na Mbuge alieanzia u'CO' akiwa Meja
Mkisi alikuwa senior kwa wengi sana ambao kwa sasa ni mabrigedia which entails MKi haki Mkisi alitakiwa awe Meja Jenerali leo hii au pengine CDF kabisa
Mtu wa manunuzi awe cdf kweli!?
Mmh!!! Mkuu wapi huko!?Kozi za juu zaidi ya triple C jeshini zinapigwa kwa ajili ya kuandaliwa na majukumu makubwa ya vyeo vya meja kwenda juu ndio maana ukiwa na cheo cha meja unakuwa una'share' some treatment the same na maafisa jenerali
Mmh!!! Mkuu wapi huko!?
Tz hii hata canal ni cheo kidogo sana, angalau kuanzia brigedia ndio wapo level tofauti.
Nafamu kuanzia meja wanaadhibiwa na cdf na sio mp.Nakubaliana na wewe Kanali ni cheo kidogo tuje kwenye point: CDF sana sana trade ambayo inawabeba kuwa preferable to consideration kupata U'CDF' ni infantry kisha kichwani mtu yupoje
Meja na kanali licha ya kuwa vyeo vidogo ila wakiamua kukudindia huna cha kuwafanya labda uwe mkuu wa Kamandi kwenda juu tofauti na mwenye nyota tatu na wa chini huko
Nafamu kuanzia meja wanaadhibiwa na cdf na sio mp.
Ila kwenye mambo ya mamlaka bado sana
Ndio maana nimesema wenye nguvu huko ni kuanzia geralsHata cheo cha kanali cheo kimeandikwa kwa chaki tu ukizinguana na mkuu wa kamandi au meja jenerali hivi unaisoma namba maana atakuburuzisha huko mbele ya panel wakuchinjilie mbali sio meja tu