Kanali Martini Mkisi kweli maisha ni gwaride

Kanali Martini Mkisi kweli maisha ni gwaride

Silii na ndoma na like post yako ila nimesema tuu nyny ndo wale mkija jeshini tuna waita ma officer wa voda fasta mana ww una vinyota viwili tuu unataka unipelekeshe mm mkongwe eti ww sagent njoo hapa mm nimeingia jeshini na miaka zaidi ya 20 now niko jeshini ww uko shuleni heshimini watu mnaotukuta kwenye chombo sisi ma askari tunajua mengi sana na iki chombo msilete dharau...sisi ndo tunawafundisha kazi nyny ni ite kustaarabu aisee Sagent njoo nakuomba mara moja na sio kunipelekesha eti njoo apa mtoto wa juzi ww unanita mm njoo hapa ila kuna wengine wastaarabu sana nawapenda ukimsalimia jambo afande anaitikia vzr na mnaongea vzr sana ndio atukatai ni mafande wetu lkn muwe mnatuheshimu aisee mana mmetukuta kwenye chomba stupid....
Mkuu,naomba niku-pm nina jambo langu
 
Akiingia kwenye pindi au kama anahutubia
Anaanza kuzungumzia familia yake kwanza.

Familia yangu yote hakuna mwenye Degree, ni masters kwenda juu,
Mimi na mke wangu tuu kitanda chetu kinalaliwa na degree 4.
Nina pesa mbwa haruki,
Mkuu wa shule kubwa kabisa Tz na east africa,
Mwanajeshi pekee handsome na aliyesoma...
Ukiona gari yangu inapita manzese ujue imeibiwa, toa taarifa,
Nalipwa mshahara na Jeshi, Shule na vyuo.

Hapo hajazungumzia magari,
Hajataja sifa za mwanae,
Hajataja backgroud ya kwao....

Hahaa anyway ni mtu poa na smart sana, hayo mengine ni mambo binafsi
Askari jeshi ambaye nilipokutana naye sijawahi kujutia.
 
Upo usemi kuwa maisha ni kama Gwaride wa kwanza anaweza kuwa wa mwisho na wa mwisho akawa wa kwanza hii yote inategemea gwaride limeamrishwaje

Wiki tatu zilizopita update ni kuwa Martin Mkisi bado yupo kwenye ukanali tangia mwaka 2015

Tarehe 31 August mwaka 2016 Mbuge alikuwa na cheo cha luteni kanali akiwa CO Ruvu katika tarehe hiyo Mkisi alikuwa ni DC Kasulu akiwa ni kanali Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Ndalichako afunga Mafunzo ya Vijana kwa Mujibu wa sheria Ruvu JKT

DC KASULU NA KAMATI YAKE YA ULINZI NA USALAMA WAFANYA OPERESHENI KUKAMATA MAJANGILI NA WATEKAJI

Yaani kwa kifupi ni kwamba katika Uafisa mkuu jeshini Martin Mkisi ni senior kwa Mbuge ila ndio vile tena maisha Gwaride Mbuge kapandishwa haraka haraka na Mkuu wa kaya jiwe

Leo Mbuge yuko ngazi mbili juu ya Martin Mkisi cha kuumiza zaidi Mkisi na Mbuge walikuwa kituo kimoja cha kazi pale Mgulani huku Mkisi akiwa ni mkubwa wa Mbuge

Mkisi kurudi kuwa mkubwa kwa Mbuge ni kama haiwezekani, possible scenario ni labda Mkisi afike kwenye uluteni jenerali wakati huo Mbuge akishindwa au akichelewa kufika kwenye uluteni jenerali na jeshini techinically cheo cha mwisho ni meja jenerali na hakuna uhakika kama Mkisi atafanikisha angalau kufika kwenye ubrigedia
Update
 
Akiingia kwenye pindi au kama anahutubia
Anaanza kuzungumzia familia yake kwanza.

Familia yangu yote hakuna mwenye Degree, ni masters kwenda juu,
Mimi na mke wangu tuu kitanda chetu kinalaliwa na degree 4.
Nina pesa mbwa haruki,
Mkuu wa shule kubwa kabisa Tz na east africa,
Mwanajeshi pekee handsome na aliyesoma...
Ukiona gari yangu inapita manzese ujue imeibiwa, toa taarifa,
Nalipwa mshahara na Jeshi, Shule na vyuo.

Hapo hajazungumzia magari,
Hajataja sifa za mwanae,
Hajataja backgroud ya kwao....

Hahaa anyway ni mtu poa na smart sana, hayo mengine ni mambo binafsi
[emoji16][emoji16][emoji16] aiseee
 
nyny ndo wale mkija jeshini tuna waita ma officer wa voda fasta mana ww una vinyota viwili tuu unataka unipelekeshe mm mkongwe eti ww sagent njoo hapa mm nimeingia jeshini na miaka zaidi ya 20 now niko jeshini ww uko shuleni
Milambo Barracks Tabora kulikuwa na Mzee mmoja anaitwa koplo mayenje alikuwa hawapigii salute kabisa vijana wadogo na kuna kipindi alikuwa anawatukana kabisa na hawakuwahi kumfanya chochote mpaka anastafu 2013.
 
Milambo Barracks Tabora kulikuwa na Mzee mmoja anaitwa koplo mayenje alikuwa hawapigii salute kabisa vijana wadogo na kuna kipindi alikuwa anawatukana kabisa na hawakuwahi kumfanya chochote mpaka anastafu 2013.

Kwa itikadi kama hizo ndio maana kastaafu Koplo wakati wenzake wanastaafu Warrant one
 
Japo alipanda cheo ila bado tuliendelea/tunaendelea kumuita "meja Mkisi"..huyu jamaa alikuwa hatari nyie acheni tu. Shule ilinyooka kuanzia wanafunzi hadi walimu sijawahi kuona mkuu wa shule aliyekuwa anaogopeka kama Mkisi aisee.

Nakumbuka siku wanatangaza Mkisi ataenda masomoni nadhani ni China ilikuwa kama sherehe pale shule[emoji23][emoji23][emoji23]
 
HhahahahH

Na anaestaafu katika cheo cha kepteni kwa kweli CV yake mbovu

Ila kustaafu kanali au luteni kanali iko poa ni vyeo vya juu unakuwa unajivunia kabisa
Vipi Kapteni Mkuchika au Luteni Makamba?
 
Kuna Mkisi wa zamani ni marehemu kwa sasa ndio aliwahi kuwa Brigedia na alifika pia kuwa meja jenerali huyo alijuwa anaitwa Meja jenerali Nelson Mkisi

Huyu tunaemuongelea hapa ameishia cheo cha kanali
Cheti changu cha JKT kina saini na Major General Nelson Mkisi; operation Kujihami.
 
Back
Top Bottom