Kanali Martini Mkisi kweli maisha ni gwaride

Mkuu,naomba niku-pm nina jambo langu
 
Askari jeshi ambaye nilipokutana naye sijawahi kujutia.
 
Update
 
[emoji16][emoji16][emoji16] aiseee
 
nyny ndo wale mkija jeshini tuna waita ma officer wa voda fasta mana ww una vinyota viwili tuu unataka unipelekeshe mm mkongwe eti ww sagent njoo hapa mm nimeingia jeshini na miaka zaidi ya 20 now niko jeshini ww uko shuleni
Milambo Barracks Tabora kulikuwa na Mzee mmoja anaitwa koplo mayenje alikuwa hawapigii salute kabisa vijana wadogo na kuna kipindi alikuwa anawatukana kabisa na hawakuwahi kumfanya chochote mpaka anastafu 2013.
 
Milambo Barracks Tabora kulikuwa na Mzee mmoja anaitwa koplo mayenje alikuwa hawapigii salute kabisa vijana wadogo na kuna kipindi alikuwa anawatukana kabisa na hawakuwahi kumfanya chochote mpaka anastafu 2013.

Kwa itikadi kama hizo ndio maana kastaafu Koplo wakati wenzake wanastaafu Warrant one
 
Japo alipanda cheo ila bado tuliendelea/tunaendelea kumuita "meja Mkisi"..huyu jamaa alikuwa hatari nyie acheni tu. Shule ilinyooka kuanzia wanafunzi hadi walimu sijawahi kuona mkuu wa shule aliyekuwa anaogopeka kama Mkisi aisee.

Nakumbuka siku wanatangaza Mkisi ataenda masomoni nadhani ni China ilikuwa kama sherehe pale shule[emoji23][emoji23][emoji23]
 
HhahahahH

Na anaestaafu katika cheo cha kepteni kwa kweli CV yake mbovu

Ila kustaafu kanali au luteni kanali iko poa ni vyeo vya juu unakuwa unajivunia kabisa
Vipi Kapteni Mkuchika au Luteni Makamba?
 
Kuna Mkisi wa zamani ni marehemu kwa sasa ndio aliwahi kuwa Brigedia na alifika pia kuwa meja jenerali huyo alijuwa anaitwa Meja jenerali Nelson Mkisi

Huyu tunaemuongelea hapa ameishia cheo cha kanali
Cheti changu cha JKT kina saini na Major General Nelson Mkisi; operation Kujihami.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…