Mbuge ana elimu kuliko Mkisi?
Mbuge ana akili kuliko Mkisi?
Mimi zamani nilikuwa najua kwamba mwanajeshi hawezi kupanda cheo bila nchi husika haipo kwenye vita. Nilijua vita pekee ndo vinaweza kumpatia cheo mwanajeshi.
Namfahamu kidogo nduguMmhh hapana bwana most likely jamaa ni mhehe bwana maana huo ukoo upo sana Iringa ya uheheni huko au labda unamfahamu in person
Hizi sio sababuMkisi kichwa asikuambie mtu
Ukiona Mtu hadi ana historia ya kuwa mwanataaaluma na akapewa darasa na UDSM alinoe ogopa sana
Mkisi kasoma hana elimu ya kuunga unga au kubabaisha
Sasa kwani DMI ndio wanamshauri Rais?
Akiwa na sifa za ziada(mfano elimu)we si umesema junior amnaweza kumpita senior kwa sababu ya elimu
kwenye hizo sifa za ziada huyo Mbuge bado sana kwa Mkisi
Majungu hayoIla hata huyu mbuge kabla hajaonekana na magufuli nasikia amesota sana na cheo kimoja kwa muda mrefu na kufanyiwa sana figisu hadi kuhamishwa ruvu
Ndugu yangu MASAMILA, mbona umemkalia koo sana Jenerali Mbuge? Huyo keshaenda hivyo; kadri unavyomlalamikia ndivyo yeye anazidi kusonga mbele. Utashangaa kuwa ataweza kuwa Cheif of Staff labda baada ya miaka mitatu tu hivi, kwani General Mohammed karibu anastaafu, hasa ukikumbuka kuwa machief of staff wengi wa JWTZ hutokea kamandi ya JKT. Unaweza ukashangaa kuwa hata Mkisi anaweza kuwa anawashinda cheo maafisa aliomaliza nao kadeti wakati mmoja. Inaonekana kuwa umeumizwa sana na mafanikio ya Mbuge kuwa jenerali, lakini sasa achana na hilo kwani utakuwa unatoa kilio cha samaki tu, machozi yako yote yatakwenda na maji tu, hakuna atakeyaona kwani huwezi kumpangia kazi Amiri Jeshi MkuuUpo usemi kuwa maisha ni kama Gwaride wa kwanza anaweza kuwa wa mwisho na wa mwisho akawa wa kwanza hii yote inategemea gwaride limeamrishwaje
wiki tatu zilizopita update ni kuwa Martin Mkisi bado yupo kwenye ukanali tangia mwaka 2015
tarehe 31 August mwaka 2016 Mbuge alikuwa na cheo cha luteni kanali akiwa CO Ruvu katika tarehe hiyo Mkisi alikuwa ni DC Kasulu akiwa ni kanali Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Ndalichako afunga Mafunzo ya Vijana kwa Mujibu wa sheria Ruvu JKT
DC KASULU NA KAMATI YAKE YA ULINZI NA USALAMA WAFANYA OPERESHENI KUKAMATA MAJANGILI NA WATEKAJI
yaani kwa kifupi ni kwamba katika Uafisa mkuu jeshini Martin Mkisi ni senior kwa Mbuge ila ndio vile tena maisha Gwaride Mbuge kapandishwa haraka haraka na Mkuu wa kaya jiwe
leo Mbuge yuko ngazi mbili juu ya Martin Mkisi cha kuumiza zaidi Mkisi na Mbuge walikuwa kituo kimoja cha kazi pale Mgulani huku Mkisi akiwa ni mkubwa wa Mbuge
Mkisi kurudi kuwa mkubwa kwa Mbuge ni kama haiwezekani, possible scenario ni labda Mkisi afike kwenye uluteni jenerali wakati huo Mbuge akishindwa au akichelewa kufika kwenye uluteni jenerali na jeshini techinically cheo cha mwisho ni meja jenerali na hakuna uhakika kama Mkisi atafanikisha angalau kufika kwenye ubrigedia
Niliwahi kumjibu mtu humu JF, kwenye jeshi; kuingia kwenye level za General (One star na kuendelea) ni suala la favor za amiri jeshi mkuu wa wakati huo, sio merits. Hata Mabeyo kawapita wengi tu mpaka kufika hapo. Ni favor za bwana mkubwa huko.Kwenye ngazi za kijeshi zimepigwa sarakasi hapo maana sio fair junior umrushe juu ya seniors labda mabifu au utashi wa Jiwe Ila hamna namna
Hao waliopitwa na Mabeyo walipotelea majini tu sababu Mabeyo mwenyewe kapata umeja jenerali miaka 34 nyota ya KwanzaNiliwahi kumjibu mtu humu JF, kwenye jeshi; kuingia kwenye level za General (One star na kuendelea) ni suala la favor za amiri jeshi mkuu wa wakati huo, sio merits. Hata Mabeyo kawapita wengi tu mpaka kufika hapo. Ni favor za bwana mkubwa huko.
Haloo ni kweliNiliwahi kumjibu mtu humu JF, kwenye jeshi; kuingia kwenye level za General (One star na kuendelea) ni suala la favor za amiri jeshi mkuu wa wakati huo, sio merits. Hata Mabeyo kawapita wengi tu mpaka kufika hapo. Ni favor za bwana mkubwa huko.