TANZIA Kanali Mstaafu, Edmund Mjengwa afariki dunia Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma

TANZIA Kanali Mstaafu, Edmund Mjengwa afariki dunia Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma

Picha yake akiwa kanali wa TPDF ya wakati huo inaonyesha kuwa tumepoteza shujaa mwingine mkubwa! Watu wengi wanaweza kuwa wanamuongelea kama kiongozi wa kisiasa na kusahau uongozi wake kijeshi!

RIP Kamanda, na pole sana rafiki yangu mwalimu mjengwa

1612587448419.png
 
Back
Top Bottom