johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wewe utakuwa mchawi!Na bado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe utakuwa mchawi!Na bado
Ufipa kuna mgonjwa mnaficha ficha!
Dah! Umenikumbusha Nccr Mageuzi,nilikua msitari wa mbele kabisa!!Washenzi nyumbu na dua zenu za kuku, kamwe hazimfikii mwewe. Mnaomba kuwe na Corona, mnaomba magu afe.
How do u feel in your heart wishing ill to somebody and a country, bcoz amewashinda siasani? Na bado 2025, nyumbu mtazidi kuzikwa hadi mbaki kama nccr
Hivi Mabeberu wakitoa Chanjo wao wanachukua nini!? Au ni msaada kwa Ulimwengu Mzima!?Mabebebru wanadai hii version mpya ya virusi vya corona toka SA haisikii chanjo.Sasa hii chanjo inayogawanywa na WHO ni ya nini?
Hiyo Watoto wa Mujini tunaita Usiye mpenda kaja!!Kabisa, kadri wanavyomwombea mabaya Mungu ndio anazidi kumlinda, yaan tena hatakufa leo wala kesho tunamwombea afya na uzima tele
na itamfyeka, Mungu hamfichi mnafikiItakua upumuaji..
Hii ngoma inatakiwa sasa iende pale penyewe kabisa..ikamfyeke huyu mshenzi.
Kwa hiyo yeye ndiyo anayo dawa kaificha,hataki kuitoa!?Watu wanapukutika kwa sababu ya ubishi wa mgonjwa wa bipolar disorder .
Ameugua kwa muda mrefu. Hujasoma?
Nafikiri hukuelewa swali!Hivi Mabeberu wakitoa Chanjo wao wanachukua nini!? Au ni msaada kwa Ulimwengu Mzima!?
Inamaana hujui kua idadi ya watu imeongezeka Dodoma baada ya Serekali kuhamia huko,kwa hiyo na swala la vifo kuongezeka huko ni swala la kawaida sana kwa hesabu za kawaida tu za darasa la Saba B!!Hapo Dodoma kunani tena?
Asubuhi alikuwa Mpangala now Mjengwa?!!!
Rip
Una uhakika?...Nafikiri hukuelewa swali!
Ni hivi:
Covid-19 ya South Africa wanadai ipo Tz na nchi zingine za Africa ambayo wanadai haisikii chanjo.Sasa chanjo WHO wanayotoa sasa hivi ni ya nini /kazi gani kama virus vya sasa hivi havisikii chanjo?
Nimekuelewa sana,sema Mimi najiuliza hii nguvu kubwa wanayotumia WHO ni msaada tu wanatufanyia,au kuna gharama lazima tuzilipe sisi!?Nafikiri hukuelewa swali!
Ni hivi:
Covid-19 ya South Africa wanadai ipo Tz na nchi zingine za Africa ambayo wanadai haisikii chanjo.Sasa chanjo WHO wanayotoa sasa hivi ni ya nini /kazi gani kama virus vya sasa hivi havisikii chanjo?
Kumbe!Inamaana hujui kua idadi ya watu imeongezeka Dodoma baada ya Serekali kuhamia huko,kwa hiyo na swala la vifo kuongezeka huko ni swala la kawaida sana kwa hesabu za kawaida tu za darasa la Saba B!!
Covid baba laoMbunge wa Mbarali mstaafu,mkuu wa wilaya mstaafu Col Edmund Mjengwa ambaye ni baba mlezi wa Catherine Magige(Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Arusha) kafariki dunia Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma.
Kwa mujibu wa maggid, amesema kuwa Kanali Edmund Mjengwa ameugua kwa muda mrefu kabla ya mauti kumkuta.
Kwa hiyo kwenye Post Moterm Report cause of death wanaandika kuugua muda mrefu!!???Soma tena, wamesema alikua anaugua kwa muda mrefu sana! Mbona mnapenda kutengeneza story zenu!?
PMR humu huwezi kuipata,ukiitaka nenda kwa familia watakupatia, humu sisi tunajua tu Marehemu kafa kwa ugonjwa na siyo ajali!!Kwa hiyo kwenye Post Moterm Report cause of death wanaandika kuugua muda mrefu!!???
are you mad or something!!?
Maana vifo vinavyotawala Dunia Ni vya ajali na vya Ugonjwa!!PMR humu huwezi kuipata,ukiitaka nenda kwa familia watakupatia, humu sisi tunajua tu Marehemu kafa kwa ugonjwa na siyo ajali!!
aiseehh....Kuna kigogo naskia yupo ICU ben mkapa hospital
Ni kweli ugonjwa but unaweza kuwa ugonjwa wwte ule.PMR humu huwezi kuipata,ukiitaka nenda kwa familia watakupatia, humu sisi tunajua tu Marehemu kafa kwa ugonjwa na siyo ajali!!
Namshangaa kutwa kulazimisha vifoAmeugua kwa muda mrefu. Hujasoma?