Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Wote tuseme ishalaaaahItakua upumuaji..
Hii ngoma inatakiwa sasa iende pale penyewe kabisa..ikamfyeke huyu mshenzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote tuseme ishalaaaahItakua upumuaji..
Hii ngoma inatakiwa sasa iende pale penyewe kabisa..ikamfyeke huyu mshenzi.
We jamaa unatakaje kwani...nimechekaItakua upumuaji..
Hii ngoma inatakiwa sasa iende pale penyewe kabisa..ikamfyeke huyu mshenzi.
Soma tena, wamesema alikua anaugua kwa muda mrefu sana! Mbona mnapenda kutengeneza story zenu!?Itakua upumuaji..
Hii ngoma inatakiwa sasa iende pale penyewe kabisa..ikamfyeke huyu mshenzi.
Chanzo cha kifo ni nini ?
Nawapa pole wafiwa
Mbunge wa Mbarali mstaafu,mkuu wa wilaya mstaafu Col Edmund Mjengwa ambaye ni baba mlezi wa Catherine Magige(Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Arusha) kafariki dunia Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma.
Kwa mujibu wa maggid, amesema kuwa Kanali Edmund Mjengwa ameugua kwa muda mrefu kabla ya mauti kumkuta.
Mbona toka niko shule, Radio one kila siku wanatangaza matangazo ya vifo kwenye kipindi chao baada ya taarifa ya habari kila siku!? Vifo vipo toka enzi ya Mitume!!Dah hii balaa kila ukija Tanzia
Kuugua muda mrefu ndiyo ugonjwa gani sasa?Soma tena, wamesema alikua anaugua kwa muda mrefu sana! Mbona mnapenda kutengeneza story zenu!?
Who's she?Kuna kigogo naskia yupo ICU ben mkapa hospital
Nasikia kinaelekea maeneo ya chamwino leo asubuhi sijui nani yupo huko ...Hapo Dodoma kunani tena?
Asubuhi alikuwa Mpangala now Mjengwa?!!!
Rip
Washenzi nyumbu na dua zenu za kuku, kamwe hazimfikii mwewe. Mnaomba kuwe na Corona, mnaomba magu afe.Itakua upumuaji..
Hii ngoma inatakiwa sasa iende pale penyewe kabisa..ikamfyeke huyu mshenzi.
Mkuu yanataka yaambiwe amekufa kwa Pneumonia ndiyo yafurahi!Ameugua kwa muda mrefu. Hujasoma?
Unataka kufanya tambiko au kumfufua?Chanzo cha kifo ni nini ?
Nawapa pole wafiwa
Subiri siku ukiaanza kuuguwa ndiyo yote hayo utayajuwa! Kua na afya njema isikupe kiburi,muda na wakati wowote Mwili wa Mwanadamu unaweza badilika!!Kuugua muda mrefu ndiyo ugonjwa gani sasa?
Mchanganyiko wa changamoto ya kupumuaChanzo cha kifo ni nini ?
Nawapa pole wafiwa
Watu wanapukutika kwa sababu ya ubishi wa mgonjwa wa bipolar disorder .Itakua upumuaji..
Hii ngoma inatakiwa sasa iende pale penyewe kabisa..ikamfyeke huyu mshenzi.
Tehe Tehe Tehe... 😂Hapo Dodoma kunani tena?
Asubuhi alikuwa Mpangala now Mjengwa?!!!
Rip