mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Wazee acheni kujifukiza ndio mnajimaliza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuugua mudaAmeugua kwa muda mrefu. Hujasoma?
Ugonjwa wake haukufahamika ?Ameugua kwa muda mrefu. Hujasoma?
Huu unabiiJob iz next,mungu ni fundi
utashangaa inakula wazee wako nyumbani halafu stone anaendelea kuzindua misitu.Itakua upumuaji..
Hii ngoma inatakiwa sasa iende pale penyewe kabisa..ikamfyeke huyu mshenzi.
Ooh dear!Mbunge wa Mbarali mstaafu,mkuu wa wilaya mstaafu Col Edmund Mjengwa ambaye ni baba mlezi wa Catherine Magige(Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Arusha) kafariki dunia Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma.
Kwa mujibu wa maggid, amesema kuwa Kanali Edmund Mjengwa ameugua kwa muda mrefu kabla ya mauti kumkuta.
Mishipa ikishaziba ventilators ni pata potea. Halafu kuna MTU anasema huyo MTU vimishipa vimeshaziba ajifukize, anafikiri ni maganda ya korosho.Ventilator zipelekwe Dodoma za kutosha kusaidia upumuaji
Dodoma, Dar Es Salaam, Arusha, na Kilimanjaro mambo ni mengi sana. Mwingiliano wa Xmas na mwaka mpya. Mikoa mingine kama Kagera n.k Tuendelee na nyungu na asili. Wiki ya Nyungu ila haiko promoted kabisakuugua muda
Ugonjwa wake haukufahamika ?
Apumzike pahala anapostahiliMbunge wa Mbarali mstaafu,mkuu wa wilaya mstaafu Col Edmund Mjengwa ambaye ni baba mlezi wa Catherine Magige(Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Arusha) kafariki dunia Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma.
Kwa mujibu wa maggid, amesema kuwa Kanali Edmund Mjengwa ameugua kwa muda mrefu kabla ya mauti kumkuta.
PoleniChanzo cha kifo ni nini ?
Nawapa pole wafiwa
Uviko ninini?Vyanzo vya vifo inaonekana kipindi hiki,havitajwi.Juzi nimekutana na magari ya JWTZ,yamebeba mwili na baadhi yao wamejihadhari kwa kuvaa barakoa.Sijajua kama ni huu ugonjwa wa kisasa zaidi,kwasababu wengi wetu hujibu kwakusema 'si kila kifo ni UVIKO'.
R.I.P.
Kadri siku zinavyosonga,nazidisha tahadhari.
Hili wazo limenijia zaidi ya mara tatu, kila nikikaa nikitulia naona mazishi ya kitaifa hapo katikati ya nchi.Job iz next,mungu ni fundi
Yaani acha tu Mkuu. Halafu linaonea sana watu wenye udhaifu kiafya.
Uviko ninini?
Stone ndio nani wee mwehu..?utashangaa inakula wazee wako nyumbani halafu stone anaendelea kuzindua misitu.
ugonjwa ni mwana haramu sana,usilete mzaha nao.