TANZIA Kanali Mstaafu, Edmund Mjengwa afariki dunia Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma

TANZIA Kanali Mstaafu, Edmund Mjengwa afariki dunia Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma

RIP Kanali Edmund Ramadhan Mjengwa ,mkuu wa wilaya ya Mbinga wa zamani.

Alikuwa mcheshi na muongeaji.
 
Itakua upumuaji..
Hii ngoma inatakiwa sasa iende pale penyewe kabisa..ikamfyeke huyu mshenzi.
utashangaa inakula wazee wako nyumbani halafu stone anaendelea kuzindua misitu.

ugonjwa ni mwana haramu sana,usilete mzaha nao.
 
Mbunge wa Mbarali mstaafu,mkuu wa wilaya mstaafu Col Edmund Mjengwa ambaye ni baba mlezi wa Catherine Magige(Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Arusha) kafariki dunia Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma.

Kwa mujibu wa maggid, amesema kuwa Kanali Edmund Mjengwa ameugua kwa muda mrefu kabla ya mauti kumkuta.

Ooh dear!
Kanali Mjengwa was a social animal.
Tukinywa sote Bahari Beach.
Rest in peace Colonel
 
kuugua muda

Ugonjwa wake haukufahamika ?
Dodoma, Dar Es Salaam, Arusha, na Kilimanjaro mambo ni mengi sana. Mwingiliano wa Xmas na mwaka mpya. Mikoa mingine kama Kagera n.k Tuendelee na nyungu na asili. Wiki ya Nyungu ila haiko promoted kabisa
 
Mbunge wa Mbarali mstaafu,mkuu wa wilaya mstaafu Col Edmund Mjengwa ambaye ni baba mlezi wa Catherine Magige(Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Arusha) kafariki dunia Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma.

Kwa mujibu wa maggid, amesema kuwa Kanali Edmund Mjengwa ameugua kwa muda mrefu kabla ya mauti kumkuta.

Apumzike pahala anapostahili
 
Vyanzo vya vifo inaonekana kipindi hiki,havitajwi.Juzi nimekutana na magari ya JWTZ,yamebeba mwili na baadhi yao wamejihadhari kwa kuvaa barakoa.Sijajua kama ni huu ugonjwa wa kisasa zaidi,kwasababu wengi wetu hujibu kwakusema 'si kila kifo ni UVIKO'.
R.I.P.
Kadri siku zinavyosonga,nazidisha tahadhari.
Uviko ninini?
 
Back
Top Bottom