Morogoro kaskazini
JF-Expert Member
- Jul 5, 2020
- 2,392
- 9,187
huo umwamba hawezi kiufupi pale kwenye muungano wa nato hakuna wa kuigusa iranMtabaki na hizi story za mtu akipigwa risasi hata na wezi mnasema Israel, tulitaka kuona Israel anamshambulia kwa makombora Iran, nndio tujue yeye kidume
Mbona kule Israel ndani Hamas wanaua kila siku hamleti kelele humu
Piga kabisa.BREAKING: Iran Revolutionary Guards colonel assassinated in Tehran
Mnajikauuuuusha na habari za Ukraine...
Mmepigwa tena
Sasa tafuta series inaitwa "The Spy" based on a true story uone jinsi jasusi Eli Cohen alivyoendesha shughuli zake Syria mpaka pale alipokuja kukamatwa na kunyongwa. Jamaa wana maagent wengi sana kwenye nchi za kiislam
Hivi season 2 ishatoka?!yani kuna series naifuatilia inaitwa tehran, naona kama ina reflect ukweli.
Jamaa wakifanya tulip hua hawaachi alama hata moja rejea lile tulio la kumuua Yule babu ambaye wanamuita 'Baba ya nyuklia wa Iran' alivyopigwa na mgobole unaondeshwa Kwa kutumia satellite. Yan wapo Tel Aviv wanafanya mission Tehran.Polisi wamefatilia wameshindwa wakamata....
Tehran is a Mossad play ground
Chocccco wwHahhahaa jamaa kasafirishwa akajilie zake bikra 72
hongera kwa kujifariji. mmepigwa tena team iran[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hayo ni mauaji kama mauaji mengine tu, kama mossad wanahuska lazima jamaa watarudisha tu
Wame kuangushaa tayari,kule mouripoul Azov wameshindwaMosad hawajawahi kuniangusha
source ?Haizidi habari ya Justin beiber na mpenzi wake kuslimu na ametengaza kujenga msikiti mkubwa Mississippi.
CIA na kanisa catholic watamua kama walivyomua Michael Jackson baada ya kutengaza kuslimu.
[emoji853][emoji853]
Akikujibu na hii nitag wajameniKama lini walirudisha?
Andamana, yaani sisi tuue gaidi livaa pedo afu tuhangaike kurekodi, kwani tuko Israe
Au walivyomfilisi Mike Tyson.Haizidi habari ya Justin beiber na mpenzi wake kuslimu na ametengaza kujenga msikiti mkubwa Mississippi.
CIA na kanisa catholic watamua kama walivyomua Michael Jackson baada ya kutengaza kuslimu.
[emoji853][emoji853]
Mwache ajidanganye huyo. Iran anadundwa na ataendelea kudundwa.Lini wamewahi lipiza?
Tafuta popote pale ambapo Iran imewahi lipiza kwa kuua usawia
Vishandu hawa wananyakua roho kirahisi kuliko mkoba wa changudoa pembeni ya barabara.Vishandu ndo wamefanya yao
Majasusi wa Iran nao wawafanyie Israel ndani ya Jerusalem/Tel Aviv kama ni rahisi namna hii.Ambush za namna hiyo mbona hata Alshababu wanaweza kufanya?
Lini watamfilisi Mayweather!?Au walivyomfilisi Mike Tyson.