Putin sio mjinga bali alikuwa anajiamini kwa kile alicho kuwa ana kifanya kwamba ana kiweza na ana nguvu ya kukifanya na ni kweli amekifanya kila mtu amekiona.Putin ni mjinga
Sasa tangu waanze kuuwa wanasayansi na viongozi wa Iran ni kipi kilicho badirika ndani ya Iran?Kudeal na viongozi ni jambo zuri, hawa ndio hufanya maamuzi. Ndio maana hata Putin alitoa ushauri kwa maaskari wa Ukraine kumkamata raisi wao.
TakbiiiiirInasemekana huyu Colonel ni mtu mkubwa sana na alikuwa Mkuu huko Syria, wahuni wamemfatilia hadi wakambatiza na za moto 5...
Takbiiiiiirrrrrrr[emoji3][emoji16][emoji51][emoji3][emoji849] Na kuogelea nao kwenye mito ya dhahabu.
hapo ndio ninapowapendea wayahudi. hua hawachezewi sharubu na gaidi.BREAKING: Iran Revolutionary Guards colonel assassinated in Tehran
Mnajikauuuuusha na habari za Ukraine...
Mmepigwa tena
=========
A colonel in the powerful Iranian Revolutionary Guards has been shot dead in a rare assassination in Tehran
Two gunman on a motorbike are reported to have shot Colonel Sayad Khodai five times in a car outside his home.
So far, no group has claimed responsibility for Sunday's attack, and a manhunt is under way for the gunmen.
It is the biggest security breach in Iran since 2020 when a leading nuclear scientist was killed, the BBC's Middle East Editor Sebastian Usher says.
Images from the scene show a bloodied man slumped over in a car with his seatbelt still on.
Colonel Khodai was a senior member of the elite Quds Force, a shadowy external arm of the Revolutionary Guards (IRGC) that carries out operations abroad. The United States accuses the force of supporting terrorist organisations and being responsible for attacks across the Middle East.
Iranian Foreign Ministry spokesman Saeed Khatibzadeh said the colonel was assassinated by "sworn enemies" of Iran who are "the terrorist agents affiliated with the global arrogance" - a reference to the US and its allies - and said other countries that "claim to be fighting terrorism are regrettably silent and support it".
Previously, Iranian officials have accused Israel of being behind such high profile assassinations.
As news of the assassination broke, Iranian state news reported that Revolutionary Guards had exposed and arrested a network of Israeli spies. There has been no official comment from Israel.
Khodai is the second high profile Quds Force leader to be killed in recent years.
In 2020, Iran's most powerful military commander, Gen Qasem Soleimani, was killed by a US air strike in Iraq. He spearheaded Iranian military operations in the Middle East as head of the Quds Force, and his death marked a major escalation in tensions between Washington and Tehran.
In the same year, nuclear scientist Mohsen Fakhrizadeh was shot dead in Tehran. Fakhrizadeh - who was so important he was always accompanied by several bodyguards - played a crucial role in Iran's nuclear programme but the government insists its nuclear activities are entirely peaceful.
Iran accused Israel of using a remote-controlled weapon to kill him.
worse enough, walioshoot utakuta ni wairan wenyewe, walipewa tu pesa na taifa la Mungu. kwahiyo hata wakiwakamata na kuwanyonga wamenyonga watu wao, hawajanyonga wayahudi.Watakamatwa wanaendelea kusakwa ni suala la muda tu
Hata kama hawajalipiza, lakini tambua hiyo siku itafika tu, na hamtaamini enyi mayahudi weusi.Lini wamewahi lipiza?
Tafuta popote pale ambapo Iran imewahi lipiza kwa kuua usawia
Taifa la mungu, kwahiyo mataifa yaliyobakia pamoja Tanzania ni mataifa ya shetani? Aisee mnatabu sana 😁worse enough, walioshoot utakuta ni wairan wenyewe, walipewa tu pesa na taifa la Mungu. kwahiyo hata wakiwakamata na kuwanyonga wamenyonga watu wao, hawajanyonga wayahudi.
Eli Cohen ni overated..taarifa ya maana aliyotoa ni ile ya silaha za Soviet miaka yote ya ujasusi,bintiye anasema alikua nervous kila alipokutana naeSasa tafuta series inaitwa "The Spy" based on a true story uone jinsi jasusi Eli Cohen alivyoendesha shughuli zake Syria mpaka pale alipokuja kukamatwa na kunyongwa. Jamaa wana maagent wengi sana kwenye nchi za kiislam
No perfect murder kijanaJamaa wakifanya tulip hua hawaachi alama hata moja rejea lile tulio la kumuua Yule babu ambaye wanamuita 'Baba ya nyuklia wa Iran' alivyopigwa na mgobole unaondeshwa Kwa kutumia satellite. Yan wapo Tel Aviv wanafanya mission Tehran.
Deal na mfumo siyo kiongozi,umuue Biden then what,marekani itayumba!?..Harris anashika hatamu na Mambo yanaendeleaKudeal na viongozi ni jambo zuri, hawa ndio hufanya maamuzi. Ndio maana hata Putin alitoa ushauri kwa maaskari wa Ukraine kumkamata raisi wao.
Gonen segev,Waziri wa zamani Israel,amefungwa miaka 11 kwa kukiri kuifanyia ujasusi Iran ndani ya Israel...Ile series ukiifutilia inaonyesha Israel ana sleep agent wengi sana ndani ya Iran mbaya zaidi wengi wao ni Wairan wenye asili ya Israel hivyo inakuwa ngumu sana kuwatambua.
Hata hivyo Iran nao wanaonyesha uwezo mkubwa sana kuzuia hujuma za Israel maana wao asilimia kubwa wanatumia muda mwingi kuzuia mashambulizi.
Hahahahahaa njoo uniue niko hapa manzese kwa mfuga mbwaChocccco ww
Mimi mwenyewe hapa downtown IranChanzo cha taarifa pls!
Umia kimyakimya weweeMtabaki na hizi story za mtu akipigwa risasi hata na wezi mnasema Israel, tulitaka kuona Israel anamshambulia kwa makombora Iran, nndio tujue yeye kidume
Mbona kule Israel ndani Hamas wanaua kila siku hamleti kelele humu
Umebaki kutafuta faraja kupitia Ukraine?wameshakamatwa wahusika hii imekuja baada ya meja jeneral wa israel kuuawa na majasusi wa iran pale jenin palestina
lakin mtoa post nakukumbusha huko ukraine ina hali mbaya najua wewe ni pro ukraine
Aisee umemjibu kigreat thinker.Lini watamfilisi Mayweather!?
Kyiv imeshakuwa majivu?wameshakamatwa wahusika hii imekuja baada ya meja jeneral wa israel kuuawa na majasusi wa iran pale jenin palestina
lakin mtoa post nakukumbusha huko ukraine ina hali mbaya najua wewe ni pro ukraine