Kanda ya Nyasa: Homa ya Oparesheni 255 yapanda, yasubiriwa kwa hamu

Kanda ya Nyasa: Homa ya Oparesheni 255 yapanda, yasubiriwa kwa hamu

Hakuna anayesema ameingilia mikutano yao isipokuwa nani asiyejua nchi hii itakombolewa kwa maandamano na si majukwaani?
Kwani kuna ubaya gani ikiwa timu moja machachari chini ya Captain Dr Wlbroad Slaa akisaidiwa na kina Wakili Mwambukusi na Mdude Nyangali ikaendelea na mipango yake ya kuliamusha dude kwa maandamano yasiyo na ukomo huko Mbeya, Arusha, DSM na Mwanza huku timu ya CHADEMA chini ya kamanda Freeman Mbowe, Tundu Lissu, John Heche and others nao wakishambulia kwa jeshi la ardhini na angani kwa mikutano ya hadhara huko kanda ya Nyasa?

Kulundikana sehemu moja wote si mkakati mzuri wa mapambano!!

Waambie wenzako wasihofu wala wasiogope. Waambie wasonge mbele tu. Wananchi maelfu kwa maelfu watajitokeza na watawaunga mkono kwani hata wao wanakubali kuwa nchi hii inahitaji ukombozi wa pili na wakati huo ni sasa!!
Magazeti au awaye yote atuhusu sisi nini wapi, kama hoja zetu ni kuikomboa nchi kutokea kwa adui anayejulikana?
...... lakini it must be done kwa kutumia mikakati bora na yenye tija. Huo wa kwenu na kina Dr Wlbroad Slaa na wenzake una shida na hila ndani yake.

........nikuhakikishie jambo moja kuwa, wakati na majira ya Mungu kuiangusha na kuifuta CCM umeshafika na ni huu. Na kwa kuwa ni wakati wa Mungu, watapigwa na kufa hata kwa kutumia kombeo tu!!

Asomaye na afahamu
 
..wananchi wanaweza kukosa chama cha kupigia kura? Ambacho wanaamini kinasimamia maslahi na agenda zao?

1. Maslahi ya wananchi yako humu:

ACT, CHADEMA na wenzenu, Msingi ni maslahi ya nchi siyo ya vyama

Uzoefu unaonyesha siyo ubunge wala ruzuku.

2. Pia haya ni mengine ya maslahi kwao:

Ney wa Mitego asitelekezwe. Ndugu wapambanaji kulikoni?

Upinzani - walio waoga (cowards) si Wafuasi

Kumeitishwa sana mikakati ya kuwafidia wahanga wa mapambano, kimya. Hii ikuwa ni pamoja na watu kuwa tayari kuchangia mfuko huo.

Wanaandamana vipi watu ikiwa kumbe wataishia kuvuna majanga na kula na wa kwao?

Matokeo yake frustrations za kina Mwabukusi wanazosema.

3. Kauli za kina Mwabukusi zinaakisi maoni ya wananchi:

Uchaguzi bila katiba mpya wa nini?

Tusio na adui wa kudumu tunasimama na Dkt. Slaa

Agenda za wananchi zitakuja kwanza.
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba kituo kinachofuata kwa ile Oparesheni kabambe ya 255 KATIBA MPYA , OKOA BANDARI ZETU ni Kanda ya Nyasa .

Bado haikupangwa ratiba ya Oparesheni hiyo kwenye kanda hiyo , lakini tayari mizuka ishawapanda wananchi , kila mtu anasubiri ujio wa Jambo hilo

Taarifa zilizotufikia ni kwamba Chadema imeandaa kikosi kazi kikali mno kitakachotoa Elimu ya kutukuka kuhusu Umuhimu wa Katiba mpya sasa , na Tume Huru ya Uchaguzi , huku likiibuka jambo jipya la kushirikisha Wahadhiri 15 kutoka Chuo Kikuu waliopewa jukumu la kuwatafsiria wananchi Mkataba mbovu wa Bandari za Tanganyika na DP WORLD ya Dubai .

Usiondoke JF kwa Taarifa zote za Uhakika .

View attachment 2771572
Huyo Mzee wa kiredio ni Lucas Mwasambwandwa ..
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba kituo kinachofuata kwa ile Oparesheni kabambe ya 255 KATIBA MPYA , OKOA BANDARI ZETU ni Kanda ya Nyasa .

Bado haikupangwa ratiba ya Oparesheni hiyo kwenye kanda hiyo , lakini tayari mizuka ishawapanda wananchi , kila mtu anasubiri ujio wa Jambo hilo

Taarifa zilizotufikia ni kwamba Chadema imeandaa kikosi kazi kikali mno kitakachotoa Elimu ya kutukuka kuhusu Umuhimu wa Katiba mpya sasa , na Tume Huru ya Uchaguzi , huku likiibuka jambo jipya la kushirikisha Wahadhiri 15 kutoka Chuo Kikuu waliopewa jukumu la kuwatafsiria wananchi Mkataba mbovu wa Bandari za Tanganyika na DP WORLD ya Dubai .

Usiondoke JF kwa Taarifa zote za Uhakika .

View attachment 2771572
Hizo betri zimenikubusha mbali sana
 
Back
Top Bottom