Kanda ya Nyasa: Maandalizi ya Oparesheni 255 yakamilika

Kanda ya Nyasa: Maandalizi ya Oparesheni 255 yakamilika

"...zikiwemo bandari za Tanganyika...".

[emoji118][emoji118]

Mmeshafeli....

Huo ni UHAINI.... Tanganyika dola haipo[emoji120]

Huo ni UBAGUZI NA UKANDA....hamkuidai Tanganyika kipindi cha awamu ya Rais Kikwete na Rais Magufuli......[emoji1787]

#SiempreJMT[emoji120]
Rasilimali za Nchi zitalindwa kwa gharama yoyote
 
Viongozi wenyewe tu hapo wamejikatia Tamaa kabisa hawana matumaini wala muelekeo. Kama huyo pascal Haonga wananchi wa mbozi hawataki hata kumsikia kabisa maana miaka yake ya ubunge alifanya kazi ya kuzurula tu bila kufanya chochote kile.ndio maana alishakosana na viongozi wake karibu wote.kulikuwa na mtu anaitwa Davi alikuwa kiongozi wa Red brigade Mbozi ambaye alimpigania sana lakini alipopita ubunge tu akawafanyia kila aina ya kiburi kama ilivyo kawaida ya mjinga na mpumbavu akipata huona wengine wote hawana akili .
 
Ahsanteni

Nyasa Mmetisha Sana

Hiyo Ndio Kanda asili ya Magwiji Wasiotaka Ujinga akina Kambona, Tuntemeke, Kolimba, Rev Mtikila, Mwakitwange nk...nk 😂😂
Kasoro wewe, tu ndio maana miaka fulani ulikuwa unaimba mitano tena🤣🤣🤣🤣
 
Viongozi wenyewe tu hapo wamejikatia Tamaa kabisa hawana matumaini wala muelekeo. Kama huyo pascal Haonga wananchi wa mbozi hawataki hata kumsikia kabisa maana miaka yake ya ubunge alifanya kazi ya kuzurula tu bila kufanya chochote kile.ndio maana alishakosana na viongozi wake karibu wote.kulikuwa na mtu anaitwa Davi alikuwa kiongozi wa Red brigade Mbozi ambaye alimpigania sana lakini alipopita ubunge tu akawafanyia kila aina ya kiburi kama ilivyo kawaida ya mjinga na mpumbavu akipata huona wengine wote hawana akili .
Wewe unalia mitandaoni akina Abdul wanawakilisha nchi India
 
Screenshot_2023-10-11-12-30-34-1.png
Screenshot_2023-10-11-12-30-28-1.png
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Kamati ya Utendaji ya CHADEMA kwenye ile kanda kabambe ya Nyasa imemaliza vikao vyake kwa ajili ya Maandalizi ya Oparesheni 255.

Oparesheni hiyo Kabambe ina lengo la kuwaamsha Wananchi juu ya Umuhimu wa Katiba mpya ikiwa ni pamoja na kuwafundisha Uzalendo wa kulinda Rasilimali zao zikiwemo Bandari za Tanganyika.

View attachment 2778495View attachment 2778497View attachment 2778498View attachment 2778499

Angalizo: Kama wewe ni Mzalendo na una uchungu na Mali za Nchi hii, na labda una roho nyepesi, basi tafadhali sana usihudhurie kabisa Mikutano ya Oparesheni hii, maana madudu yaliyofanyika Nchi hii yanayoenda kufumuliwa hadharani ni mazito mno, yanaweza kabisa kukuletea kiharusi ama pengine kukusababishia Umauti.

Usije kusema hatukukujulisha.
Angalizo: Kama wewe ni Mzalendo na una uchungu na Mali za Nchi hii, na labda una roho nyepesi, basi tafadhali sana usihudhurie kabisa Mikutano ya Oparesheni hii, maana madudu yaliyofanyika Nchi hii yanayoenda kufumuliwa hadharani ni mazito mno, yanaweza kabisa kukuletea kiharusi ama pengine kukusababishia Umauti.[emoji419][emoji375]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom