Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Misumari imekuwa mikali umeamua kuwakimbilia akina Abdul ? [emoji44][emoji1787]Wewe unalia mitandaoni akina Abdul wanawakilisha nchi India
Ya ndg.Haonga vipi ?!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Misumari imekuwa mikali umeamua kuwakimbilia akina Abdul ? [emoji44][emoji1787]Wewe unalia mitandaoni akina Abdul wanawakilisha nchi India
Amina
Shetani hajawahi kumshinda Mungucaution: Kuweni macho na haya ya Fili Kunjombe pia. mimi naogopa sana. tahadhali si woga.....
![]()
Fili Kunjombe, hawa mbomboga nawaogopa sana kwa ushetani kama huu
Mbowe ni DJ sio msomiOgopa sana Chama kinachoongozwa na Wasomi.
Vyama vitakuja na kuondoka ila sioni mwisho wa Chadema 💪
Karibu sana mkuu , hapo kijijini kwenu tutafika piaAhsante kwa taarifa...
Huna akili ?Mbowe ni DJ sio msomi
Ila ana safu ya Wasaidizi ambao ni Wasomi wakubwaMbowe ni DJ sio msomi
usihangaike kuwajibu mamlukiIla ana safu ya Wasaidizi ambao ni Wasomi wakubwa
👍usihangaike kuwajibu mamluki
Mpaka NgwindeHope's watafika huku lingusenguse wilaya ya namtumbo
Yes mkuu hadi Mbimbi, Namabengo, litola, Kumbara,Hanga, Mtakanini, Lwegu looooooo ninaweza andika usiku mzima sehemu hiziMpaka Ngwinde