Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Rasilimali za Nchi zitalindwa kwa gharama yoyote"...zikiwemo bandari za Tanganyika...".
[emoji118][emoji118]
Mmeshafeli....
Huo ni UHAINI.... Tanganyika dola haipo[emoji120]
Huo ni UBAGUZI NA UKANDA....hamkuidai Tanganyika kipindi cha awamu ya Rais Kikwete na Rais Magufuli......[emoji1787]
#SiempreJMT[emoji120]
Hatujawahi kuwakataa , ndio maana tuliwapa jukwaa TemekeSauti ya Watanzania nao waalikwe ili kwa pamoja tulishambulie Jukwaa.
Kasoro wewe, tu ndio maana miaka fulani ulikuwa unaimba mitano tena🤣🤣🤣🤣Ahsanteni
Nyasa Mmetisha Sana
Hiyo Ndio Kanda asili ya Magwiji Wasiotaka Ujinga akina Kambona, Tuntemeke, Kolimba, Rev Mtikila, Mwakitwange nk...nk 😂😂
AmenMUNGU ibariki sana Tanzania, hawa Vijana waipeleke Tanzania pale MUNGU anataka tufike
Wewe unalia mitandaoni akina Abdul wanawakilisha nchi IndiaViongozi wenyewe tu hapo wamejikatia Tamaa kabisa hawana matumaini wala muelekeo. Kama huyo pascal Haonga wananchi wa mbozi hawataki hata kumsikia kabisa maana miaka yake ya ubunge alifanya kazi ya kuzurula tu bila kufanya chochote kile.ndio maana alishakosana na viongozi wake karibu wote.kulikuwa na mtu anaitwa Davi alikuwa kiongozi wa Red brigade Mbozi ambaye alimpigania sana lakini alipopita ubunge tu akawafanyia kila aina ya kiburi kama ilivyo kawaida ya mjinga na mpumbavu akipata huona wengine wote hawana akili .
😄😄😄😄 Nani kakwambia naliaWewe unalia mitandaoni akina Abdul wanawakilisha nchi India
Pole sana😄😄😄😄 Nani kakwambia nalia
Hivi bado kuna mpango wa kuuza bandari zetuPole sana
caution: Kuweni macho na haya ya Fili Kunjombe pia. mimi naogopa sana. tahadhali si woga.....Lissu ataonekana Kanda ya Nyasa , ambapo anatarajiwa kutua na Ndege binafsi Songwe , Usiondoke JF
Hayaa dada yangu Tuse....[emoji1787][emoji1787]Rasilimali za Nchi zitalindwa kwa gharama yoyote
Angalizo: Kama wewe ni Mzalendo na una uchungu na Mali za Nchi hii, na labda una roho nyepesi, basi tafadhali sana usihudhurie kabisa Mikutano ya Oparesheni hii, maana madudu yaliyofanyika Nchi hii yanayoenda kufumuliwa hadharani ni mazito mno, yanaweza kabisa kukuletea kiharusi ama pengine kukusababishia Umauti.[emoji419][emoji375]Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Kamati ya Utendaji ya CHADEMA kwenye ile kanda kabambe ya Nyasa imemaliza vikao vyake kwa ajili ya Maandalizi ya Oparesheni 255.
Oparesheni hiyo Kabambe ina lengo la kuwaamsha Wananchi juu ya Umuhimu wa Katiba mpya ikiwa ni pamoja na kuwafundisha Uzalendo wa kulinda Rasilimali zao zikiwemo Bandari za Tanganyika.
View attachment 2778495View attachment 2778497View attachment 2778498View attachment 2778499
Angalizo: Kama wewe ni Mzalendo na una uchungu na Mali za Nchi hii, na labda una roho nyepesi, basi tafadhali sana usihudhurie kabisa Mikutano ya Oparesheni hii, maana madudu yaliyofanyika Nchi hii yanayoenda kufumuliwa hadharani ni mazito mno, yanaweza kabisa kukuletea kiharusi ama pengine kukusababishia Umauti.
Usije kusema hatukukujulisha.
Misumari imekuwa mikali umeamua kuwakimbilia akina Abdul ? [emoji44][emoji1787]Wewe unalia mitandaoni akina Abdul wanawakilisha nchi India
Misumari imekuwa mikali umeamua kuwakimbilia akina Abdul ? [emoji44][emoji1787]Wewe unalia mitandaoni akina Abdul wanawakilisha nchi India