Rula ya Mafisadi
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 404
- 852
Taarifa zinasema tayari ameshapewa barua ya Show cause ya kwanini asifutwe uongozi na Uanachama kwa kosa la kutukana na kukashifu Viongozi wake kwenye Mitandao ya Kijamii akiwemo Mhe Tundu Lissu na John Heche,
Taarifa zinasema Ntobi anakabiliwa na kosa la ukosefu wa nidhamu kesi ambayo iliwahi kumfutia uongozi msimu uliopita lakini Rafiki yake Mbowe alimrejeshea uongozi kupitia Kamati kuu,
Pia soma Tetesi: - Huenda Wakati wowote kuanzia Sasa Boniface Jaco, Yericko Nyerere na Emmanuel Ntobi wakavuliwa uongozi na kufukuzwa Uanachama
Taarifa zinasema Ntobi anakabiliwa na kosa la ukosefu wa nidhamu kesi ambayo iliwahi kumfutia uongozi msimu uliopita lakini Rafiki yake Mbowe alimrejeshea uongozi kupitia Kamati kuu,
Pia soma Tetesi: - Huenda Wakati wowote kuanzia Sasa Boniface Jaco, Yericko Nyerere na Emmanuel Ntobi wakavuliwa uongozi na kufukuzwa Uanachama