Tetesi: Kanda ya Serengeti: Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga Bw Emmanuel Ntobi kufukuzwa Uanachama wakati wowote kuanzia sasa

Tetesi: Kanda ya Serengeti: Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga Bw Emmanuel Ntobi kufukuzwa Uanachama wakati wowote kuanzia sasa

Vijana na Viongozi wengi sana wa Chadema kwa sasa wana IQ &EQ ndogo sana
 
Walio karibu na Mbowe tafadhali mshaurini mhe huyu ajiondoe kwenye kinyangg'anyiro ili kulinda heshima yake na kukinusuru chama.
Wewe sio mpiga kura! Kula mwaka mpya,utulie mkuu.
 
Taarifa zinasema tayari ameshapewa barua ya Show cause ya kwanini asifutwe uongozi na Uanachama kwa kosa la kutukana na kukashifu Viongozi wake kwenye Mitandao ya Kijamii akiwemo Mhe Tundu Lissu na John Heche,

Taarifa zinasema Ntobi anakabiliwa na kosa la ukosefu wa nidhamu kesi ambayo iliwahi kumfutia uongozi msimu uliopita lakini Rafiki yake Mbowe alimrejeshea uongozi kupitia Kamati kuu,

Pia soma Tetesi: - Huenda Wakati wowote kuanzia Sasa Boniface Jaco, Yericko Nyerere na Emmanuel Ntobi wakavuliwa uongozi na kufukuzwa Uanachama

View attachment 3187846
Sura Jambazi kabisa hii
 
Taarifa zinasema tayari ameshapewa barua ya Show cause ya kwanini asifutwe uongozi na Uanachama kwa kosa la kutukana na kukashifu Viongozi wake kwenye Mitandao ya Kijamii akiwemo Mhe Tundu Lissu na John Heche,

Taarifa zinasema Ntobi anakabiliwa na kosa la ukosefu wa nidhamu kesi ambayo iliwahi kumfutia uongozi msimu uliopita lakini Rafiki yake Mbowe alimrejeshea uongozi kupitia Kamati kuu,

Pia soma Tetesi: - Huenda Wakati wowote kuanzia Sasa Boniface Jaco, Yericko Nyerere na Emmanuel Ntobi wakavuliwa uongozi na kufukuzwa Uanachama

View attachment 3187846
Machawa wa Mbowe hatuguswi na mtu yoyote na hatuogopi kitu chochote.
 
Taarifa zinasema tayari ameshapewa barua ya Show cause ya kwanini asifutwe uongozi na Uanachama kwa kosa la kutukana na kukashifu Viongozi wake kwenye Mitandao ya Kijamii akiwemo Mhe Tundu Lissu na John Heche,

Taarifa zinasema Ntobi anakabiliwa na kosa la ukosefu wa nidhamu kesi ambayo iliwahi kumfutia uongozi msimu uliopita lakini Rafiki yake Mbowe alimrejeshea uongozi kupitia Kamati kuu,

Pia soma Tetesi: - Huenda Wakati wowote kuanzia Sasa Boniface Jaco, Yericko Nyerere na Emmanuel Ntobi wakavuliwa uongozi na kufukuzwa Uanachama

View attachment 3187846
Hizo ni tetesi na haiwezi kutoka,kama ni kweli dhihirisheni maana hakuna kuogopa. Huwezi kumfuta mtu uanachama Kwa kuwa alitoa maoni yake.
 
Na sijui ni kwanini Mwenyekiti aliingia kwenye mtego wao, Mbowe amechokwa na Wananchi wa Tanzania ambao ndio wapigakura wa Uchaguzi Mkuu, japo kura zinaibiwa na CCM lakini pia Mbowe ameshindwa kuzuia wizi wa kura unaofanywa na CCM tunaamini Lissu na siasa anazozifanya zitaifanya CCM na Serikali yake kuwekewa VIKWAZO VYA KIMATAIFA.
Duh 🙄 ujui usemalo.
 
Usijekuta wanatengeneza mazingira ya kuja kumtuhumu na Lissu ili nae wamfukuze uanachama.

Mbowe na watu wake sio wa kuwaamini sana.

Tofauti na hapo, basi utakuwa ni uamuzi wa busara.
 
hata lisu nae ajiangalie anaweza kufukuzwa tu. kwani yeye nani !! hadi amdhalilishe mwenyekiti kiasi hicho?

hahahahahahahahahahahahahahahaha.....
Mbowe na chadema yako.hatari sana...!!
Kaka umeona kwa mbaliiiiiiiiii kuna kitu kipo nyuma yake.
 
Kwenye siasa hatusemi kafukuzwa tunasema katenguliwa wadhifa wake.
 
Taarifa zinasema tayari ameshapewa barua ya Show cause ya kwanini asifutwe uongozi na Uanachama kwa kosa la kutukana na kukashifu Viongozi wake kwenye Mitandao ya Kijamii akiwemo Mhe Tundu Lissu na John Heche,

Taarifa zinasema Ntobi anakabiliwa na kosa la ukosefu wa nidhamu kesi ambayo iliwahi kumfutia uongozi msimu uliopita lakini Rafiki yake Mbowe alimrejeshea uongozi kupitia Kamati kuu,

Pia soma Tetesi: - Huenda Wakati wowote kuanzia Sasa Boniface Jaco, Yericko Nyerere na Emmanuel Ntobi wakavuliwa uongozi na kufukuzwa Uanachama

View attachment 3187846
Next ni mbowe, akishindwa kutaja matusi ambayo anadai Lissu kamtukana, haaa
 
Cha ajabu waporipori na walugaluga wa mitandaoni ndio wanamshabikia lissu...
Huku city centre wanakoishi wajumbe wa kamati kuu, kumepoa kama hakuna uchaguzi....
 
Taarifa zinasema tayari ameshapewa barua ya Show cause ya kwanini asifutwe uongozi na Uanachama kwa kosa la kutukana na kukashifu Viongozi wake kwenye Mitandao ya Kijamii akiwemo Mhe Tundu Lissu na John Heche,

Taarifa zinasema Ntobi anakabiliwa na kosa la ukosefu wa nidhamu kesi ambayo iliwahi kumfutia uongozi msimu uliopita lakini Rafiki yake Mbowe alimrejeshea uongozi kupitia Kamati kuu,

Pia soma Tetesi: - Huenda Wakati wowote kuanzia Sasa Boniface Jaco, Yericko Nyerere na Emmanuel Ntobi wakavuliwa uongozi na kufukuzwa Uanachama

View attachment 3187846
Tayari kashapigwa chini 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom