Rula ya Mafisadi
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 404
- 852
Kama ni uongo Ntobi akanuahe mkuuRamli Chonganishi
Ramli Chochezi
Hana umuhimu wowote zaidi ya Uchawa.Naona Mbowe anakwenda kupoteza mtu muhimu sana 😆😆
Taarifa zinasema tayari ameshapewa barua ya Show cause ya kwanini asifutwe uongozi na Uanachama kwa kutukana Viongozi kwenye Mitandao ya Kijamii akiwemo Lissu na Heche,
Taarifa zinasema Ntobi anakabiliwa na kosa la ukosefu wa nidhamu kesi ambayo iliwahi kumfutia uongozi msimu uliopita lakini Rafiki yake Mbowe alimrejeshea uongozi kupitia Kamati kuu,
View attachment 3187846uso wake unaonekanaqna shida
Kiukweli hakumtendea haki makamu mwenyekiti, Yale maneno hayakuwa ya kiongozi anayejielewa, tangu lini kugombea uongozi ni kosa?Taarifa zinasema tayari ameshapewa barua ya Show cause ya kwanini asifutwe uongozi na Uanachama kwa kosa kutukana na kukashifu Viongozi kwenye Mitandao ya Kijamii akiwemo Mhe Tundu Lissu na John Heche,
Taarifa zinasema Ntobi anakabiliwa na kosa la ukosefu wa nidhamu kesi ambayo iliwahi kumfutia uongozi msimu uliopita lakini Rafiki yake Mbowe alimrejeshea uongozi kupitia Kamati kuu,
View attachment 3187846
Hawa ndo walijiunga kikundi na kumdanganya mbowe kwamba Bado anakubali la, kumbe ni uwongoHana umuhimu wowote zaidi ya Uchawa.
Wanataka kumnywea bia tu hawaHawa ndo walijiunga kikundi na kumdanganya mbowe kwamba Bado anakubali la, kumbe ni uwongo
Lissu kadhalilisha wapi mbowe? Muda wote lissu ni muungwana Sana katika kujenga hoja zakehata lisu nae ajiangalie anaweza kufukuzwa tu. kwani yeye nani !! hadi amdhalilishe mwenyekiti kiasi hicho?
hahahahahahahahahahahahahahahaha.....
Mbowe na chadema yako.hatari sana...!!
Lissu hatukani mtu kabisaLissu kadhalilisha wapi mbowe? Muda wote lissu ni muungwana Sana katika kujenga hoja zake
Haahaa Yaani, wakati wanachama wa kawaida wanataka mabadiliko...Wanataka kumnywea bia tu hawa
Lissu kadhalilisha wapi mbowe? Muda wote lissu ni muungwana Sana katika kujenga hoja zake
Na sijui ni kwanini Mwenyekiti aliingia kwenye mtego wao, Mbowe amechokwa na Wananchi wa Tanzania ambao ndio wapigakura wa Uchaguzi Mkuu, japo kura zinaibiwa na CCM lakini pia Mbowe ameshindwa kuzuia wizi wa kura unaofanywa na CCM tunaamini Lissu na siasa anazozifanya zitaifanya CCM na Serikali yake kuwekewa VIKWAZO VYA KIMATAIFA.Hawa ndo walijiunga kikundi na kumdanganya mbowe kwamba Bado anakubali la, kumbe ni uwongo