BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Kesi ambazo tunaweza shinda kwenye Mahakama yoyote ile Tanzania ni zile Individual ambazo Serikali haina masilahi nazo na wala hazina impact yoyote kkwa Serikali.
Kesi yoyote ambayo ina negative impact kubwa kwa Serikali hii ni kujisumbua nayo kwenye mahakama za Tanzania make ni ile Rostam alisema inapigwa simu mmoja tu basi kazi Kwisha.
Nikupoteza muda na pesa kuendesha kesi dhidi ya Serikali kwa mahakama za Tanzania sio rahisi kushinda kamwe na Daiama.
Kesi yoyote ambayo ina negative impact kubwa kwa Serikali hii ni kujisumbua nayo kwenye mahakama za Tanzania make ni ile Rostam alisema inapigwa simu mmoja tu basi kazi Kwisha.
Nikupoteza muda na pesa kuendesha kesi dhidi ya Serikali kwa mahakama za Tanzania sio rahisi kushinda kamwe na Daiama.