Kangi angalau alijaribu kuwadhibiti ST, huyu Simbachawene hamna kitu labda mengine!

Kangi angalau alijaribu kuwadhibiti ST, huyu Simbachawene hamna kitu labda mengine!

naunga mkono hoja.zile ni mashine za kazi.wakuu unakuta wanawah vikao muhim na alipotoka pia katoka katika majukumu muhimu.ndio mana dereva anakamua mashine kuwahi.ndio mana ni profeshno.acheni zipige kiatu.ili mradi suka anakua makin sasa mashine hujuiiuliz kwa nini ni v8? mana yake ipo.kikaz zaid.acheni gari ziende kikaz zaidi
Kwa hiyo wengine hapo kikazi?
 
Kazi anayoweza huyu Mbuzichawene ni kukata vitunguu na kukuna nazi huko jikoni...uwaziri kwake ni mziki mnene saana
 
Unateseka unapoona ST Inakupita kwenye kibao cha 50 Pole na wewe kaombe udereva serikalini...kifupi hao ni watendaji wa serikali hawezi kuwa ameitwa na KM kwa jambo muhimu aendelee kuobserve 50km Pole jikaze.
Hayo hapo chini ni maneno ya aliyekuwa Waziri Kangi

"Madereva wa viongozi wa serikali watakao sababisha ajali kwa kisingizio cha kuambiwa kuongeza speed na viongozi wa serikali kipindi wanawaendesha kuchukuliwa hatua kali za kisheria"
 
Unateseka unapoona ST Inakupita kwenye kibao cha 50 Pole na wewe kaombe udereva serikalini...kifupi hao ni watendaji wa serikali hawezi kuwa ameitwa na KM kwa jambo muhimu aendelee kuobserve 50km Pole jikaze.

Kwa hiyo Sheria za barabarani haziwahusu madereva na Viongozi wa Serikali ? Sasa kwa nini wengine wana misafara na ving'ora na wengine hawana ?

Low IQ !
 
Hilo swali gani? Kwani Simbachawene hafiki humu jukwaani kuu JF? Kama hafiki JF lazima atakuwa waziri asijejua majukumu yake
Kwenye job description yake iliandikwa anapaswa kuingia jamiiforums? mzee usitumie makalio kufikiri!!
 
Kangi alifanikiwa sana kwa hilo na kwa kukata mauno
Alishindwa magari ya taasisi nueti alijifanya kuyakamata akapewa za uso wapo kazini kama yeye alivyokazini aliulizwa yeye anapita na speed 50 akatazama pua ilikamatwa magari ya viongozi idala andamizi mjengoni.
 
Kwa hiyo Sheria za barabarani haziwahusu madereva na Viongozi wa Serikali ? Sasa kwa nini wengine wana misafara na ving'ora na wengine hawana ?

Low IQ !
Jitekenyetekenye hakuna kitakacho badilika huu uzi ulishakuja humu pekenyua wewe mwenye high IQ
 
Jitekenyetekenye hakuna kitakacho badilika huu uzi ulishakuja humu pekenyua wewe mwenye high IQ

Hata mimi najua hakuna kitakachobadilika au ulifikiri nimeandika au wote wanaoandika humu wanategemea kubadilisha chochote ? Hili ni jukwaa huru na kila anatoa duku duku lake na ndo maana watu wanaandika hapa kuhusu Putin au hata Zuma, unafikiri Putin anasoma JF ?
 
Simba wizara imempwaya sasa hivi hata trafiki wanatamba sana barabarani ila kangi aliwakomesha.
 
Unateseka unapoona ST Inakupita kwenye kibao cha 50 Pole na wewe kaombe udereva serikalini...kifupi hao ni watendaji wa serikali hawezi kuwa ameitwa na KM kwa jambo muhimu aendelee kuobserve 50km Pole jikaze.
na ndio maana zinanunuliwa mashine v8 .kwenda na muda na km za mkurungenz ingekua gar used au sijui rav 4 saa ngap.
haiwezekan mkuu kaitwa haraka mtumba et akae anaremba remba tu.hapo ndio mana madereva ni ma pro.180 ikinyooka unalamba kiatu mpk 200.na saa nyingine unapiga go and return.acheni madereva wafanye kazi zao.
 
Kama wewe ni mtumiaji na msafiri utakubaliana na mimi kwamba wavunjaji wakubwa wa Sheria za barabarani ni Serikali, magari ya ST hayafwati Sheria zozote, hayasimami kwenye taa, yanatanua, huko kwenye kibao cha 50 km/saa wanakwenda wanavyotaka, angalau Waziri aliyepita alikuwa anadili nao lakini huyu wa sasa hivi labda anafanya vizuri kwenye mambo mengine hilo silijui kjn kwenye kudhibiti magari ya ST barabarani hakuna kitu anafanya, sijui kwa nini Raisi Magufuli huwa Mawaziri wazuri anawapotezea, I mean huyu wa sasa anafanya nini sasa hapo Wizarani.

MH. KANGI LUGOLA "NINJA"

"Madereva wa viongozi wa serikali watakao sababisha ajali kwa kisingizio cha kuambiwa kuongeza speed na viongozi wa serikali kipindi wanawaendesha kuchukuliwa hatua kali za kisheria"

Ni kauli ya waziri wa mambo ya ndani mh.kangi lugola NINJA
Yaani MATAGA ni kama MALAYER.

Unanunuliwa bia siku moja unaliwa mzigo!!

*Halafu SSM anakuja kukumbushia bia ulizokunywa mwaka juzi na anakula mzigo!

*Yaani unakumbushiwa bia, unaliwa mzigo!

*Unajua kabisa unadanganywa, lakini unatoa uchi.....

*Unatoa uchi sababu nyie ni malayer
 
Back
Top Bottom