Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CCM kumeoza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wengine hapo kikazi?naunga mkono hoja.zile ni mashine za kazi.wakuu unakuta wanawah vikao muhim na alipotoka pia katoka katika majukumu muhimu.ndio mana dereva anakamua mashine kuwahi.ndio mana ni profeshno.acheni zipige kiatu.ili mradi suka anakua makin sasa mashine hujuiiuliz kwa nini ni v8? mana yake ipo.kikaz zaid.acheni gari ziende kikaz zaidi
Hayo hapo chini ni maneno ya aliyekuwa Waziri KangiUnateseka unapoona ST Inakupita kwenye kibao cha 50 Pole na wewe kaombe udereva serikalini...kifupi hao ni watendaji wa serikali hawezi kuwa ameitwa na KM kwa jambo muhimu aendelee kuobserve 50km Pole jikaze.
Unateseka unapoona ST Inakupita kwenye kibao cha 50 Pole na wewe kaombe udereva serikalini...kifupi hao ni watendaji wa serikali hawezi kuwa ameitwa na KM kwa jambo muhimu aendelee kuobserve 50km Pole jikaze.
Kwenye job description yake iliandikwa anapaswa kuingia jamiiforums? mzee usitumie makalio kufikiri!!Hilo swali gani? Kwani Simbachawene hafiki humu jukwaani kuu JF? Kama hafiki JF lazima atakuwa waziri asijejua majukumu yake
Mkuu alishawasamehe wote waliohusika na kusaini mkataba wa Drones na ndio maana alimrudisha Andengenye kazini huko Kigoma.Lugola atapelekwa mahakamani lini? Magu tuambie. Longo longo hatutaki
Alishindwa magari ya taasisi nueti alijifanya kuyakamata akapewa za uso wapo kazini kama yeye alivyokazini aliulizwa yeye anapita na speed 50 akatazama pua ilikamatwa magari ya viongozi idala andamizi mjengoni.Kangi alifanikiwa sana kwa hilo na kwa kukata mauno
Jitekenyetekenye hakuna kitakacho badilika huu uzi ulishakuja humu pekenyua wewe mwenye high IQKwa hiyo Sheria za barabarani haziwahusu madereva na Viongozi wa Serikali ? Sasa kwa nini wengine wana misafara na ving'ora na wengine hawana ?
Low IQ !
Jitekenyetekenye hakuna kitakacho badilika huu uzi ulishakuja humu pekenyua wewe mwenye high IQ
na ndio maana zinanunuliwa mashine v8 .kwenda na muda na km za mkurungenz ingekua gar used au sijui rav 4 saa ngap.Unateseka unapoona ST Inakupita kwenye kibao cha 50 Pole na wewe kaombe udereva serikalini...kifupi hao ni watendaji wa serikali hawezi kuwa ameitwa na KM kwa jambo muhimu aendelee kuobserve 50km Pole jikaze.
Nimechoka.Mkuu alishawasamehe wote waliohusika na kusaini mkataba wa Drones na ndio maana alimrudisha Andengenye kazini huko Kigoma.
Halafu huyu siyo kutoka kanda pendwa,apigwe chini tu.Naunga mkono hoja, Simba yupo yupo tu.
Yaani MATAGA ni kama MALAYER.Kama wewe ni mtumiaji na msafiri utakubaliana na mimi kwamba wavunjaji wakubwa wa Sheria za barabarani ni Serikali, magari ya ST hayafwati Sheria zozote, hayasimami kwenye taa, yanatanua, huko kwenye kibao cha 50 km/saa wanakwenda wanavyotaka, angalau Waziri aliyepita alikuwa anadili nao lakini huyu wa sasa hivi labda anafanya vizuri kwenye mambo mengine hilo silijui kjn kwenye kudhibiti magari ya ST barabarani hakuna kitu anafanya, sijui kwa nini Raisi Magufuli huwa Mawaziri wazuri anawapotezea, I mean huyu wa sasa anafanya nini sasa hapo Wizarani.
MH. KANGI LUGOLA "NINJA"
"Madereva wa viongozi wa serikali watakao sababisha ajali kwa kisingizio cha kuambiwa kuongeza speed na viongozi wa serikali kipindi wanawaendesha kuchukuliwa hatua kali za kisheria"
Ni kauli ya waziri wa mambo ya ndani mh.kangi lugola NINJA
Habari za kanda pendwa zinahusika vipi na uchapa kazi wa mtu?Halafu huyu siyo kutoka kanda pendwa,apigwe chini tu.